Agosti 8 pazia la ligi kuu ya Engaland linafunguliwa rasmi.
Klabu zote zimeonekana kujipanga vyema ili kukabiliana na mikiki ya
ligi hiyo, lakini wachezaji wapya wa Liverpool Christian Benteke na
kiungo Mbrazil Firmino wameonyesha wamepania kuiletea klau yao mambo
mazuri.
Katika mazoezi ya Liverpool, wachezaji hao na wenzao wamekuwa
wakifanya kila kitu kwa juhudi na kuonyesha kupanga kuleta...
Friday, July 31, 2015
Thursday, July 30, 2015



Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Edward Lowassa akiwa sambamba na Mkewe Mama
Reginal akiwasili makao Makuu ya chama cha CHADEMA yaliyopo Kinondoni
jijini Dar hivi punde ,kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais kupitia
chama hicho,Mhe.Lowassa amekihama chama chake cha CCM na kujiunga na
UKAWA kupitia chama cha CHADEMA na kukabidhiwa kadi ya uanachama hivi
karibu,jijini Dar es Salaam.
Mke...



Licha
ya kuhuzunishwa kufungwa 2-0 na Paris Saint-Germain huko Soldier Field,
Chicago, USA, Meneja wa Manchester United Louis van Gaal ameridhika na
Timu yake na kudai kufungwa huko kutawasaidia. Kipigo hicho
kimeifanya Man United washindwe kutetea Taji la International Champions
Cup licha ya kushinda Mechi 3 ikiwemo ile waliyowatwanga 3-1 Mabingwa wa
Ulaya Barcelona. Lakini Van Gaal...


Wakati klabu ya Paris Saint Germain (PSG) ya Ufaransa ikizidi kusisitiza kuwa uhamisho wa mchezaji wa Manchester United Angel Di Maria kwa asilimia kubwa umekamilika, kocha wa Manchester United Louis van Gaal amezungumza kitu cha kushangaza kidogo kuhusiana na Di Maria.
Di Maria alishindwa kuripoti July 25 San Jose kujiunga na timu na kuanza mazoezi ya...


Msanii maarufu wa Hip Hop Marekani Tyga ameingia kwenye headlines baada ya taarifa kusambaa kuwa msanii huyo yupo matatani kufukuzwa kwenye nyumba yake iliopo Calabasas kwa kukwepa kulipa kodi ya nyumba hiyo kwa miezi miwili.
Nyumba hiyo ni nyumba aliyokuwa akiishi na aliyekuwa girlfriend wake Blac Chyna na thamani ya kodi ya nyumba hiyo ni dola 25,ooo kwa mwezi sawa na Mil.50 za Kitanzania,...
Wednesday, July 29, 2015


Manchester
United wameshindwa kutetea Taji lao la International Champions Cup
baada ya kufungwa 2-0 na Paris Saint-Germain kwenye Mechi yao ya mwisho
Usiku wa kuamkia Leo huko Soldier Field, Chicago, USA na kuiacha PSG
ikibeba Kombe hilo.PSG
walifunga Bao lao la kwanza katika Dakika ya 25 baada Mpira mrefu
kutoka kwa Silva kumkuta Kipa David De Gea akiwa nafasi ovyo na Blaise
Matuidi...


Mbwana Samatta ni mshambuliaji wa kimataifa kutokea Tanzania anaeichezea klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo ambayo alijiunga nayo mwaka 2011 akitokea Simba ya Tanzania na mpaka sasa amekua mmoja kati ya wachezaji mahiri wanaounda safu imara ya ushambuliaji kwa TP Mazembe na timu ya taifa ya Tanzania.
Samatta aliingia kwenye headlines siku kadhaa zilizopita baada ya kukataa...



NYASI
za Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kesho zitakanyagika kwa mchezo wa
miamba ya Jiji, Azam FC na Yanga SC katika Robo Fainali ya Klabu Bingwa
Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame.
Itakuwa
mara ya pili, Yanga SC na Azam FC kukutana katika Kombe la Kagame,
baada ya mwaka 2012 kukutana katika fainali pale pale Uwanja wa Taifa wa
Dar es Salaam.
Ilikuwa
Julai 28, mwaka 2012 katika mchezo...



Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa jimbo la Monduli akiingia kwenye ukumbi
wa mikutano ndani ya hotel ya Bahari Beach jijini Dar,kwenye mkutano wa
Wanahabari jioni ya leo.
Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa akizungumza na mamia wakati wa
kutangaza adhima yake ya kujiunga na Chadema katika Hoteli ya Bahari
Beach jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa akijibu maswali...
Subscribe to:
Posts (Atom)