Saturday, November 29, 2014

Arsenal Jack Wilshere atakuwa nje ya Uwanja kwa Miezi Mitatu baada ya kufanyiwa operesheni ya enka yake hii Leo. Wilshere aliumia Jumamosi iliyopita wakati Arsenal inachapwa Bao 2-1 na Manchester United Uwanjani Emirates. Habari hizi za operesheni ya Wilshere zimethibitishwa na Arsenal na mwenyewe Wilshere aliposti Picha yake Mtandaoni akiwa Kitandani baada ya kufanyiwa hiyo operesheni....
RATIBA - LIGI KUU ENGLANDJumamosi Novemba 29 15:45 West Brom v Arsenal 18:00 Burnley v Aston Villa 18:00 Liverpool v Stoke 18:00 Man United v Hull 18:00 QPR v Leicester 18:00 Swansea v Crystal Palace 18:00 West Ham v Newcastle 20:30 Sunderland v Chelsea Jumapili Novemba 30 16:30 Southampton v...

Wednesday, November 26, 2014

Luis Suárez ndie aliyeanza kuliona lango la Apoel Nicosia kipindi cha kwanza dakika 27 kisha bao zilizofuata ni za supa Staa Lionel Messi akifunga Hat-trick usiku huu na Kuvunja Historia bao pili akilifunga dakika ya 38, Kipindi cha pili alifunga bao mbili dakika ya 58 na dakika ya lala salama dakika ya 87.Messiakifikisha bao 74 usiku huu na kuvunja rekodi ya RaulMessi akishangilia bao...
Wachezaji wa Chelsea wakipongezana baada ya kuisambaratisha Schalke 04Kocha Roberto Di Matheo wa SchalkeFundi na mbwembwe zake!!Kikosi kilichoanza cha Chelsea John Terry alifunga bao la mapema dakika ya 2 na kuifanya Chelsea kuongeza mabao zaidi kwa timu inayofundishwa na kocha wa zamani wa Chelsea Roberto Di Matheo. Willian alipachika bao la pili dakika ya 29 na bao la Tatu lilikuwa la...
Sergio Agüero alifunga bao zote tatu na kuipa ushindi Man City dhidi ya Bayern Munich ambao walikuwa wanacheza Mtu 10 Uwanjani. Ushindi huu unawatoa mkiani na kupanda kwa kutimiza pointi tano kwenye kundi lao E. City sasa Kukipiga sasa Roma huku Bayern wakikipiga na CSKA Moscow mchezo ujao.3-2 Hetitriki ya Sergio Aguero imeweka hai matumaini ya Man City kufuzu kuingia Raundi ya Mtoano...

Saturday, November 22, 2014

Jumamosi Novemba22 18:00 Chelsea v West Brom 18:00 Everton v West Ham 18:00 Leicester v Sunderland 18:00 Man City v Swansea 18:00 Newcastle v QPR 18:00 Stoke v Burnley 20:30 Arsenal v Man United Jumapili Novemba 23 16:30 Crystal Palace v Liverpool 19:00 Hull v Tottenham Jumatatu Novemba...

waliotembelea blog