Newcastle United wametoka nyuma ya bao 1-0 na kuwapita Spurs kwa bao 2-1 katika kipindi cha pili. Bao la kusawazisha lilifungwa kipindi cha pili mapema dakika ya 46 kupitia kwa
Sammy Ameobi na bao la kuongoza lilifungwa na Ayoze Pérez katika dakika ya 58.
0 maoni:
Post a Comment