Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya
Afrika Mashariki, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (wa kwanza kulia) kwa
pamoja na Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museven (wa pili kulia), Rais wa
Afrika Kusini, Mhe Jacob Zuma (wa tatu kutoka kulia), Waziri wa Mambo ya
Nje wa Burundi, Mhe. Alain Nyamitwe (wa tatu kushoto) na Katibu Mkuu wa
Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dkt....
Sunday, May 31, 2015



Mbunge wa Monduli na waziri mkuu wa
zamani Mh. Edward Lowassa ametangaza rasmi nia ya kuwania urais wa
Tanzania kupitia chama cha mapinduzi mbele ya umati wa watu waliofurika
uwanja wa Sheik Amri Abeid jijini Arusha na kutaja vipaumbele vyake kuwa
ni elimu,kupambana na umaskini,kulinda rasilimali za nchi na
kuwaunganisha watanzania .
Mh.Lowassa ambaye aliingia.uwanjani...
Subscribe to:
Posts (Atom)