KUNDI A
Atletico Madrid
Juventus
Olympiakos
Malmo
KUNDI B
Real Madrid
Basle
LIVERPOOL
Ludogorets
KUNDI C
Benfica
Zenit St Petersburg
Bayer Leverkusen
Monaco
KUNDI D
ARSENAL
Borussia Dortmund
Galatasaray
Anderlecht
KUNDI E
Bayern Munich
MANCHESTER CITY
CSKA Moscow
Roma
KUNDI...
Friday, August 29, 2014



UEFA Leo imempa Tuzo yao ya Mchezaji
Bora wa Mwaka Cristiano Ronaldo baada ya kuwabwaga kwenye Kura Kipa wa
Mabingwa wa Dunia Germany, Manuel Neuer na Mchezaji mwenzake wa Klabu ya
Bayern Munich anaechezea Holland, Arjen Robben.Ronaldo, Miaka 29,
alifunga Bao 17 katika Mechi 11 za Ulaya wakati Real Madrid inaelekea
kutwaa Taji lao la 10 la Ulaya walipobeba Kombe la UEFA CHAMPIONS LIGI...


DROO
ya Makundi ya UEFA CHAMPIONS LIGI imefanyika leo hii usiku huko Monaco na
Timu 4 za England, Manchester City, Liverpool, Chelsea,na Arsenal zimepata timu za kucheza nazo.
Taswira huko MonacoRonaldo Mchezaji Bora 2014 Ulaya.Ronaldo akibusu tuzo yake yake baada ya kuchaguliwa mchezaji boraRonaldo amewabwaga chini wachezaji wa Bayern Munich kipa Manuel Neuer na Arjen RobbenMchezaji
...


KEPTENI wa Manchester United Wayne Rooney ndie ameteuliwa Nahodha mpya wa England na Meneja wa Timu Roy Hodgson. Rooney,
mwenye Miaka 28, anachukua wadhifa huo kutoka kwa Steven Gerrard wa
Liverpool ambae amestaafu kuichezea England mara baada ya Nchi hiyo
kutolewa hatua ya Makundi ya Fainali za Kombe la Dunia Mwezi Juni huko
Brazil.
Rooney
ameichezea England mara 95 na kufunga Bao 40...



Emanuel Okwi wa Uganda ambaye msimu uliopita alikuwa anaichezea Yanga,
akiwa na jezi namba 25 aliyokabidhiwa mara baada ya kusaini tena Simba
baada ya kukachwa na Yanga katika usajili wa Ligi Kuu ya Vodacom
Tanzania Bara inayotarajia kuanza mwezi ujao.
Yametimia, hatimaye Emmanuel Okwi amerejea katika kikosi chake cha zamani cha Simba. Okwi rasmi anasaini leo kujiunga na Simba...
Thursday, August 28, 2014


Toka
nimeanza kuandika na kufatilia habari sijawahi kusikia jeshi la nchi
limechukua hatamu kuendesha mashindano ya urembo tena mashindano
yanayokutanisha warembo kutoka sehemu mbalimbali za taifa ili kumtafuta
mshindi.
Stori
hii ya kipekee inatokea Uganda ambapo jeshi la nchi hiyo limeamua hivyo
baada ya kuona ubabaishaji unaofanywa na Waandaaji wa Miss Uganda
shindano ambalo...


Siku
kadhaa baada ya Frank Lampard kutangaza kustaafu soka la kimataifa –
jana ilikuwa siku nyingine kwa wanasoka wawili wa kimataifa barani nao
walitangaza uamuzi wa kuachana na soka la kimataifa.
Samuel Eto’o na Xabi Alonso kwa wakati tofauti jana walitumia
mitandao ya kijamii kutangaza uamuzi wao wa kuachana na soka la
kimataifa.
Alianza Xabi Alonso kupitia mtandao wa Twitter...


Wiki kadhaa baada ya kuteuliwa kuwa nahodha mpya wa Manchester
United, mshambuliaji Wayne Rooney leo amepata uongozi mpya kwenye medani
za soka.
Rooney ameteuliwa na kocha Roy Hodgson amemteua mshambuliaji huyo kuwa nahodha mpya wa timu hiyo ya taifa.
Rooney mwenye miaka 28 amechukua mikoba iliyoachwa na kiungo wa Liverpool, Steven Gerrard aliyestaafu.
Rooney aliwahi kuvaa kitambaa...


Serengeti fiesta Moshi wapewa fursa ya kuonja radha
Mhehimiwa Temba ametangaza rasmi kuachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la “Wazee
wa jiji” jumamosi hii. Serengeti fiesta Moshi wamepewa fursa ya kuonja
radha ya wimbo huo siku ya Jumamosi katika uwanja Majengo Jijini humo.
Mheshimiwa Temba ambaye ni mzawa wa jiji
hilo anatarajia kutumia fura ya Serengeti fiesta Moshi kuuzindua...



Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi
alipowasili eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero
wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo la Nteritare
kwa upande wa Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa programu ya
uimarishaji wa mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiongea...


Ethiopia na Kenya zimetangaza niya ya kutaka kuwa wenyeji wa kombe la
mataifa bingwa barani Afrika mwaka wa 2017 baada ya Libya kujiondoa.Libya
ilitangaza kauli hiyo baada ya mapigano kuchacha baina ya makundi
mawili hasimu yaliyowanyima waandalizi fursa ya kujenga viwanja vipya
vya mashindano hayo.Ethiopia, ambayo imewahi kuwa mwenyeji wa
mashindano hayo katika miaka ya 1962, 1968 na...
Subscribe to:
Posts (Atom)