Saturday, March 22, 2014

Wataalamu wanaendelea na juhudi za kuchunguza iliko ndege ya Malaysia China imeanza kuchunguza picha mpya za setilite zinazoonyesha kitu kama mabaki ya ndege kwenye eneo la kusini mwa bahari ya Hindi. Picha hizo ni...
Sir Alex Ferguson (katikati) akiwa amesimama na viongozi wa chuo cha Ulster Ireland baada ya kupewa degree ya heshima kutokana na mchango mkubwa aliyoutoa kwenye soka hususani Man utd. Katika maneno yake mbele ya wanachuo 500 Sir Alex alisema ' Najivunia kupokea degree hii ya heshima kutoka kwenye chuo kikubwa kama hiki. Ninayo furaha sana kuona hata chuo kimeona mchango wangu...
Matokeo ya vipimo vya majeraha aliyoyapata Van Persie kwenye mechi dhidi ya Olympiacos yameonesha mchezaji huyu atakuwa kwenye matibabu kwa wiki sita. Majibu ya vipimo hivi yamekuwa tofauti ya fikra za wengi akiwemo kocha Moyes waliofikiri RVP amepata majeraha madogo. Kutokana na majeraha haya RVP ataweza kukosa mechi zifuatazo; Mar 23: West Ham (A) Mar 25: Man City (H) Mar...
Ronaldo, Pepe na wapenzi wao wakiangalia mechi ya basketball kati ya Real Madrid na CSKA Moscow     Alex Oxlade-Chamberlain, Keiran Gibbs na  Aaron Ramsey wakicheza pool. Rio Ferdinand akiwa mwenye furaha huku akiimba ndani ya gari yake siku ya alhamisi asubuhi siku moja baada ya United kuipiga Olympiacos.   Kiungo wa Arsenal,...

Thursday, March 20, 2014

  Hawa jamaa wanapokuja na njiwa au kuku uwanjani wanamaanisha nini?, au ndio mikwara kwa wapinzani?. Lakini njiwa hawa huwa hawaonekani pale timu inapofungwa. Unaanzaje kumwambia shabiki kama huyu, mwenye mapenzi makubwa na klabu yake ahamie timu nyingine. Lakini wapo watu wanaendesha klabu watakavyo, wanasahau kuwa kuna uwepo wa watu wenye hisia kali kama...
KINYANG`ANYIRO cha ubingwa wa ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2013/2014, bado kinabaki kuwa kitendawili kwa timu zilizopo juu katika msimamo. Sare ya bao 1-1 jana uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam baina ya vinara Azam fc dhidi ya Yanga imezidi kuweka mazingira magumu kwa mabingwa watetezi, Young African. Katika mchezo huo  uliovuta hisia za mashabiki, Yanga walikuwa wa kwanza...
NAIROBI, KENYA – 20th March, 2014 – Bharti Airtel (“Airtel”), a leading telecommunications services provider with operations in 20 countries across Asia and Africa and Nokia have announced that the new Nokia X smartphone will be available to purchase across 17countries in Africa from mid April 2014. Designed for consumers in high-growth markets, the affordable...
Dar es Salaam. Kampuni ya Microsoft, inayojishughulisha na utengenezaji wa kompyuta pamoja na programu, imebuni mbinu mpya ya kukabiliana na wizi wa mitandaoni ambao umezisababishia hasara benki, kampuni na watu binafsi katika maeneo mengi duniani Mkakati huo umekuja wakati benki nyingi nchini zikiathiriwa...
Msanii wa filamu nchini Yusuph Mlela kushoto akikabidhi vifaa mbalimbali kwa kocha wa klab ya Msisiri Daudi Muhunzi ikiwa ni uboreshwaji wa klabhiyo iliyopo CCM Msisiri Kinondoni Dasr es salaam katikati ni mdau wa mchezo huo Ally  Msanii...
...

Wednesday, March 19, 2014

Man Utd: De Gea, Da Silva, Jones, Ferdinand, Evra, Welbeck, Giggs, Carrick, Valencia, Rooney, van Persie. Subs: Lindegaard, Hernandez, Young, Fletcher, Kagawa, Fellaini, Januzaj. Olympiacos: Roberto, Leandro Salino, Manolas, Marcano, Holebas, Perez, Ndinga, Dominguez, Maniatis, David Fuster, Campbell. Subs: Megyeri, Paulo Machado, Samaris, Haedo Valdez, Papadopoulos, Vergos, Bong...
Wayne Rooney Mshambulizi wa Manchester United Wayne Rooney amesema kuwa kipigo cha mabao 3-0 walichokipata kutoka kwa Liverpool ni kama janga kwake na hiki ndio kipindi kigumu kwake kuwahi kukishuhudia tangu kuanza kucheza soka ya kulipwa. Steven Gerrard aliingiza mabao mawili kutokana na mikwaju miwili ya Penalti na kukosa la tatu kabla ya Luis Suarez kuongeza bao la tatu. Mchezaji...
  Didier Drogba husakata soka yake Galatasaray Meneja wa Chelsea Jose Mourinho anaamini kuwa gwiji wa soka Didier Drogba angali mmoja wa washambuliaji bora zaidi duniani. Drogba anayesakata soka yake na klabu ya Galatasaray na ambaye aliondoka Stamford Bridge Juni mwaka 2012, leo anarejea...
Wafungaji bora wa Uefa champions tokea michuano hii ianzishwe  #PlayerTeam(s)M.GoalsPenaltyØ 1Raúl * FC Schalke 04 Real Madrid1427110.50 2Lionel Messi * FC Barcelona846780.80 3Cristiano Ronaldo * Real Madrid Manchester United996350.64 4Ruud van Nistelrooy Real Madrid Manchester United PSV Eindhoven7356100.77 5Thierry Henry * FC...

waliotembelea blog