Thursday, July 17, 2014



Ujerumani imechukua namba moja katika msimamo wa Fifa kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 24. Mabingwa hao mara nne, wamechukua nafasi iliyokuwa inashikiliwa na Spain. Argentina ni ya pili, na Uhoanzi ni ya tatu. Spain imeporomoka hadi namba nane. Ureno namba 11, Italy 14 na England ni ya 20.
Msimamo ni kama ifuatavyo, pamoja na timu kutoka Afrika Mashariki. Nafasi ilizopanda au kushuka kwenye mabano.

1. Ujerumani (+1)
2. Argentina (+3)
3. Uholanzi (+12)
4. Colombia (+4)
5. Ubelgiji (+6)
6. Uruguay (+1)
7. Brazil (-4)
8. Spain (-7)
9. Uswisi (-3)
10. Ufaransa (+7)


AFRIKA MASHARIKI NA KATI
87. Uganda (-1)
95. Kenya (+13)
96. DRC (-12)
106. Tanzania (+7)
109. Rwanda (+7)
126. Burundi (+2)

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog