Saturday, July 18, 2015


Mchezaji wa Manchester City  Samir Nasri akipongezwa na wenzake akiwemo  Yaya Toure alipoifungia bao dakika za mwishoni dakika ya 86 leo hii huko Australia kwenye mechi ya Kirafiki kujiandaa na msimu mpya wa 2015/2016

Ushindi! Nasri akipongezwa
Nahodha wa City  Vincent Kompany akipambana kwenye mpira wa Kona leo dhidi ya Melbourne City ya huko Australia.

Yaya Toure akipambana na Wachezaji wawili wa Timu ya Melbourne leo kwenye mtanange wa kirafiki.


Yanga SC wanafungua dimba na Gor Mahia ya Kenya leo Kombe la Kagame

RATIBA KOMBE LA KAGAME 2015

Julai 18, 2015
KMKM vs Telecom           
APR  Vs  Shandy               
Yanga Vs Gor Mahia       
Julai 19, 2015
LLB AFC Vs Hegaan FC  
Adama City Vs Malaika
Azam Vs KCCA                 
Julai 20, 2015
Telecom Vs Khartoum 
Gor Mahia Vs KMKM 
Julai 21, 2015
Shandy Vs LLB AFC      
Hegaan Vs  APR   
Malaika Vs Azam        
Julai 22, 2015
Khartoum Vs KMKM
KCCA Vs Adama City
Telecom Vs Yanga    
Julai 23, 2015
Hegaan Vs Shandy
APR Vs LLB AFC     
Julai 24, 2015
Khartoum Vs Gor Mahia
KMKM Vs Yanga
Julai 25, 2015
KCCA Vs Malakia
Adama City Vs Azam    
Julai 26, 2015
Gor Mahia Vs Telecom    
Yanga Vs Khartoum     
Julai 27, 2015 MAPUMZIKO
Julai 28, 2015 ROBO FAINALI
B1 Vs A3
A1 Vs Mshindi wa tatu Bora
Julai 29, 2015
B2 Vs C2
C1 Vs A2
Julai 29, 2015 MAPUMZIKO
Julai 31, 2015 NUSU FAINALI
Mshindi 25 Vs Mshindi 26
Mshindi 23 Vs Mshindi 24
Agosti 1, 2015 MAPUMZIKO
Agosti 2, 2015 
MSHINDI WA TATU NA FAINALI
Aliyefungwa 27 Vs Aliyefungwa 28
Mshindi 27 Vs Mshindi 28
Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KIPYENGA cha michuano ya 40 ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame kinapulizwa leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Kutakuwa na mechi tatu katika siku ya kwanza leo kwenye viwanja viwili tofauti, kwanza KMKM ya Zanzibar na Telecom ya Djibouti kuanzia Saa 8:00 mchana na baadaye wenyeji Yanga SC dhidi ya Gor Mahia ya Kenya Saa 10:00 jioni Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, muda ambao pia APR ya Rwanda itamenyana na Al Shandy ya Sudan Uwanja wa Karume.
Waziri wa Ujenzi, Dk John Pombe Joseph Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa michuano hiyo na mgombea huyo wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (CCM) atawasili muda mfupi kabla ya mechi rasmi ya ufunguzi wa Kagame ya 40 kuanza, kati ya Yanga na Gor. 
Michuano hiyo ina makundi matatu, A likijumuisha timu za Yanga SC, KMKM, Telecom na Gor Mahia wakati wenyeji wengine, Azam FC wapo Kundi C pamoja na Malakia ya Sudan Kusini, Adama City ya Ethiopia na KCCA ya Uganda na Kundi B kuna APR ya Rwanda, Al-Shandy ya Sudan, LLB AFC ya Burundi na Heegan FC ya Somalia.
Azam FC itafungua dimba na KCCA Jumapili Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam Saa 10: 00 jioni mchezo utakaotanguliwa na mechi nyingine kati ya Adama City na Malakia utakaonza Saa 8:00 mchana, wakati jioni Saa 10:00 Uwanja wa Karume, LLB AFC itamenyana na Hegaan FC.
Mabingwa wa michuano hiyo, El Merreikh ya Sudan hawakuja kutetea taji, kwa sababu wapo kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Washindi wa pili wa Ligi Kuu ya Sudan, El Hilal pia nao hawajaja kwa kuwa wapo kwenye hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. 
Simba SC ndiyo timu iliyotwaa mara nyingi zaidi Kombe la Kagame

ORODHA YA MABINGWA NA WASHINDI WA PILI KOMBE LA KAGAME
MwakaNchiBingwaMatokeoMshindi wa piliNchiMwenyeji







1974 TanzaniaSimbaAbaluhya Kenya Tanzania
1975 TanzaniaYoung Africans2–0Simba Tanzania Zanzibar
1976 KenyaLuo Union2–1Young Africans Tanzania Uganda
1977 KenyaLuo Union2–1Horsed Somalia Tanzania
1978 UgandaKampala City Council0–0*[C]Simba Tanzania Uganda
1979 KenyaAbaluhya1–0Kampala City Council Uganda Somalia
1980 KenyaGor Mahia3–2Abaluhya Kenya Malawi
1981 KenyaGor Mahia1–0Simba Tanzania Kenya
1982 KenyaA.F.C. Leopards1–0Rio Tinto Zimbabwe Kenya
1983 KenyaA.F.C. Leopards2–1ADMARC Tigers Malawi Zanzibar
1984 KenyaA.F.C. Leopards2–1Gor Mahia Kenya Kenya
1985 KenyaGor Mahia2–0A.F.C. Leopards Kenya Sudan
1986 SudanAl-Merrikh2–2*[D]Young Africans Tanzania Tanzania
1987 UgandaVilla1–0Al-Merrikh Sudan Uganda
1988 KenyaKenya Breweries2–0Al-Merrikh Sudan Sudan
1989 KenyaKenya Breweries3–0Coastal Union Tanzania Kenya
1990
Mashindano hayakufanyika[E]
1991 TanzaniaSimba3–0Villa Uganda Tanzania
1992 TanzaniaSimba1–1*[F]Young Africans Tanzania Zanzibar
1993 TanzaniaYoung Africans2–1Villa Uganda Uganda
1994 SudanAl-Merrikh2–1Express Uganda Sudan
1995 TanzaniaSimba1–1*[G]Express Uganda Tanzania
1996 TanzaniaSimba1–0Armée Patriotique Rwandaise Rwanda Tanzania
1997 KenyaA.F.C. Leopards1–0Kenya Breweries Kenya Kenya
1998 RwandaRayon Sports2–1Mlandege Zanzibar Zanzibar
1999 TanzaniaYoung Africans1–1*[H]Villa Uganda Uganda
2000 KenyaTusker3–1Armée Patriotique Rwandaise Rwanda Rwanda
2001 KenyaTusker0–0*[I]Oserian Kenya Kenya
2002 TanzaniaSimba1–0Prince Louis Burundi Zanzibar
2003 UgandaVilla1–0Simba Tanzania Uganda
2004 RwandaArmée Patriotique Rwandaise3–1Ulinzi Stars Kenya Rwanda
2005 UgandaVilla3–0Armée Patriotique Rwandaise Rwanda Tanzania
2006 UgandaPolice2–1Moro United Tanzania Tanzania
2007 RwandaArmée Patriotique Rwandaise2–1Uganda Revenue Authority Uganda Rwanda
2008 KenyaTusker2–1Uganda Revenue Authority Uganda Tanzania
2009 SudanATRACO1–0Al-Merrikh Sudan Sudan
2010
Mashindano hayakufanyikadagger[J]
2011 TanzaniaYoung Africans1–0Simba Tanzania Tanzania
2012 TanzaniaYoung Africans2–0Azam Tanzania Tanzania
2013 BurundiVital'O2–0A.P.R. Rwanda Sudan
2014 SudanAl-Merrikh1–0A.P.R. Rwanda Rwanda

waliotembelea blog