Wednesday, December 30, 2015


www.bukobasports.comLA LIGA
RATIBA
Jumatano Desemba 30

18:00 Real Madrid CF v Real Sociedad
18:00 Levante v Malaga CF
20:15 Rayo Vallecano v Atletico de Madrid
20:15 Sevilla FC v RCD Espanyol
20:30 SD Eibar v Sporting Gijon
22:30 FC Barcelona v Real Betis
22:30 Celta de Vigo v Athletic de Bilbao
22:30 Getafe CF v Deportivo La Coruna
23:00 Las Palmas v Granada CF
Alhamisi Desemba 31
18:00 Villarreal CF v Valencia C.F


Barclays Premier League
PosLogo &TeamPWDLGDPts
1ArsenalArsenal1912341539
2Leicester CityLeicester City1911621239
3Manchester CityManchester City1911351736
4Tottenham HotspurTottenham Hotspur199821835
5Crystal PalaceCrystal Palace19946731
6Manchester UnitedManchester United19865630
7West Ham UnitedWest Ham United19784529
8WatfordWatford19856429
9Stoke CityStoke City19856129
10LiverpoolLiverpool18765-127
11EvertonEverton19685726
12SouthamptonSouthampton19667324
13West Bromwich AlbionWest Bromwich Albion19658-623
14ChelseaChelsea19559-620
15Norwich CityNorwich City19559-1020
16BournemouthBournemouth19559-1220
17Swansea CitySwansea City19478-819
18Newcastle UnitedNewcastle United194510-1517
19SunderlandSunderland183312-1812
20Aston VillaAston Villa191513-198


MARA baada ya Jumatatu Usiku kutoka Sare 0-0 na Mabingwa Watetezi Chelsea Uwanjani Old Trafford na kusitisha wimbi la kufungwa Mechi 4 mfululizo, Meneja wa Manchester United Louis van Gaal aliibuka na kutamba hana mipango ya kujiuzulu.
Baada ya kuchapwa 2-0 na Stoke City Siku ya Boksing Dei, Man United waliibuka na kusakata Soka safi na kustahili kuifunga Chelsea lakini, kama kawaida, umaliziaji uliwaangusha.
Hali hiyo ilimfanya Louis van Gaal apige ‘abauti tani’ na kudai Wachezaji wake wamempa sababu ya kutojiuzulu tofauti na alivyodokeza huko Britannia Stadium mara baada ya kufungwa na Stoke. Jana Van Gaal alisema: “Wachezaji wakicheza namna ile hasa wakati huu wa presha kubwa, hamna sababu ya mimi kujiuzulu. Labda Vyombo vya Habari wanataka hivyo, ila sitafanya.”
Wakati huo huo, Mchambuzi wa Soka anaeaminika huko England, Andy Gray, Mchezaji wa zamani wa Scotland aliechezea Klabu kadhaa huko England, amedai Man United hawana uchu wa kumwajiri Jose Mourinho kama Meneja.
Mourinho, ambae alitimuliwa na Chelsea Wiki iliyokwisha, amekuwa akitajwa na wengi kuwa atachukua wadhifa wa Van Gaal.

Jumatatu, nje ya Old Trafford, kwenye Mechi na Chelsea, Wachuuzi walikuwa wakitembeza bidhaa kadhaa zikiwa na Nembo ya Man United na Jina la Jose Mourinho wakimpigia debe kuwa Meneja wa Man United.
Lakini Andy Gray anaamini Bodi ya Man United bado inamsapoti Van Gaal na haimtaki Mourinho ambae wanaona hulka yake haiendani na utamaduni wa Man United.
Patashika za Ligi Kuu England kuendelea tena leo, Kuna Mechi moja pekee ambayo itaamua nani anamaliza 2015 akiwa anaongoza Ligi.
Jana, Arsenal iliichapa Bournemouth 2-0 na kutwaa uongozi wa Ligi wakiwa na Pointi 39 kwa Mechi 19 wakifuata Leicester wenye Pointi 38 kwa Mechi 18, Tottenham ni wa 3 na wana Pointi 35 kwa Mechi 19 na wa 4 ni Man City wenye Pointi 35 kwa Mechi 18.
Leo huko King Power Stadium, Leicester wanacheza na Man City na wakishinda watarudi kileleni na wakitoka Sare watabaki Nafasi ya Pili.
Ikiwa City itashinda basi watapanda hadi Nafasi ya Pili.
Leicester wanatinga kwenye Mechi hii wakitoka kufungwa 1-0 na Liverpool na kupoteza wimbi lao la kutofungwa katika Mechi 10 wakati City ikiichapa Sunderland 4-1.
Wakati Leicester wana Kikosi kamili bila Majeruhi ingawa mapema walipatwa na wasiwasi wa Staa wao Jamie Vardy, ambae ndie Mfungaji Bora wa Ligi, kutocheza kutokana na kuugua, City watamkosa Nahodha wao Vincent Kompany ambae ni Majeruhi pamoja na majeruhi wengine Pablo Zabaleta, Fernando na Samir Nasri.
Yaya Toure kendeleza tena wimbi la magoli!



Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015.
Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu.
  1. David De Gea (Man United/Hispania)
  2. Mesut Ozil (Arsenal/Ujerumani)
  3. Alexis Sanchez ( Arsenal/Chile)
  4. David Silva (Man City/Hispania)
  5. Sergio Aguero (Man City/Argentina)
  6. Chris Smalling (Man United/Uingereza)
  7. Santi Cazorla (Arsenal/Hispania)
  8. Harry Kane (Tottenham/Uingereza)
  9. Toby Alderweireld (Tottenham/Ubelgiji)
  10. Francis Coquelin (Arsenal/Ufaransa)
  11. Willian (Chelsea/Brazil)
  12. Riyad Mahrez (Leicester City/Algeria)
  13. Jamie Vardy (Leicester City/Uingereza)
  14. Philippe Coutinho (Liverpool/Brazil)
  15. Hector Bellerin (Arsenal/Hispania)
  16. Hugo Lloris (Tottenham/Ufaransa)
  17. Morgan Schneiderlin (Man United/Ufaransa)
  18. Scott Dann (Crystal Palace/ Uingereza)
  19. Sadio Mane (Southampton/Senegal)
  20. John Stones (Everton/Uingereza)


waliotembelea blog