Thursday, March 12, 2015


MABINGWA wa Dunia, Germany, bado wapo Nambari Wani mbele ya Argentina na Colombia huku Tanzania ikipanda Nafasi 7 na kukamata Nafasi ya 100.
 Kwa Nchi za Afrika, Algeria ndio ipo juu ikiwa Nafasi ya 18 ikifuatiwa na Ivory Coast walio Nafasi ya 20.
 Italy wameingia 10 Bora kwa mara ya kwanza tangu Juni 2014 na kuwaporomosha Mabingwa wa Dunia wa zamani Spain ambao sasa wako Nafasi ya 11.
Listi nyingine ya Ubora Duniani itatolewa hapo Aprili 9.
KUMI BORA:
 1. Germany 
 2. Argentina 
 3. Colombia 
 4. Belgium  
 5. Netherlands 
 6. Brazil 
 7. Portugal  
 8. France  
 9. Uruguay  
10. Italy


www.bukobasports.comRATIBA:
Jumamosi Machi 14

15:45 Crystal Palace vs QPR
18:00 Arsenal vs West Ham
18:00 Leicester vs Hull
18:00 Sunderland vs Aston Villa
18:00 West Brom vs Stoke
20:30 Burnley vs Man City

Jumapili Machi 15
16:30 Chelsea vs Southampton
19:00 Everton vs Newcastle
19:00 Man United vs Tottenham
 

Jumatatu Machi 16
23:00 Swansea vs Liverpool


PSG yawaondoa Chelsea kwenye Uefa kwa dakika 120 usiku huu. Bao la Ugenini likiwabeba baada ya Silva kusawazisha bao dakika ya 114.Thiago Silva akishangilia bao lake la kusawazisha 2-2 kwa kichwa baada ya kona kupigwa dakika ya 114 kwenye mchezo uliopigwa dakika 120.Wachezaji wa PSG wakishangilia kwa Mashabiki wao Stamford BridgeUshindi wa kwetu PSG!!Raha ya UshindiMkali wa kipindi cha Top Gear cha BBC Jeremy Clarkson akisepa baada ya kuona hakuna jipya tena!!1-1David Luiz baada ya kuisawazishia bao PSG
Thiago Silva celebrates after scoring the second goal for PSG
Thiago Silva baada ya kusawazisha bao.2-2Eden Hazard akifunga bao la pili kwa mkwaju wa penati na kuipatia bao la pili Chelsea na Tihiago Silva dakika ya 114 aliipachikia bao la kusawazisha PSG baada ya kupigwa kona na kujitwisha kichwa mpaka langoni mwa Blues na kufanya bao kuwa 2-2 Agg 3-3.Viongozi wa Chelsea wakiongozwa na Jose kushangilia bao la penati la Eden Hazard dakika ya 96 kwa mkwaju wa penati baada ya mpira kwenda dakika 120 baada ya kumaliza za kawaida 90 ngoma ikiwa sare ya 1-1 na Agg 2-2.David Luiz alipoisawazishia bao PSG kwa kichwa katika dakika ya 86.David Luiz akishangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Timu yake ya zamaniKocha Jose Mourinho akiwa kati hali tofauti kwenye Uwanja wa Stamford Bridge.
Gary Cahill aliipachikia bao Chelsea dakika ya 81 kwa shuti kali nae David Luiz Mchezaji wa zamani wa Chelsea aliwazawazishia PSG kwa kwa kufanya 1-1 kwa kichwa baada ya kupigwa kona katika dakika ya 86 kipindi cha pili.Cavan alipokosa nafasi ya wazi kufunga bao wakiwa 10 uwanjani Mpaka dakika 45 za kipindi cha kwanza zinakamilika hakuna Timu iliyokuwa imeziona nyavu za mwenzake licha ya PSG kucheza pungufu 10 Uwanjani baada ya mwenzao Zlatan Ibrahimovic kuoneshwa kadi nyekundu mchezaji wa Chelsea.Zlatan Ibrahimovic akiomba samahani...Wachezaji wa Chelsea wakiwa wamemwandama Mwamuzi Zlatan Ibrahimovic akitoka Uwanjani baada ya kuoneshwa kadi nyekunduDavid Luiz akichuana na Diego CostaTaswira Uwanja wa Stamford Bridge usiku huu
VIKOSI:
Chelsea XI:
Courtois; Ivanovic, Cahill, Terry (c), Azpilicueta; Fabregas, Matic; Ramires, Oscar, Hazard; Diego Costa.
Subs: Cech, Zouma, Filipe Luis, Willian, Cuadrado, Remy, Drogba.


PSG XI: Sirigu; Marquinhos, David Luiz, Thiago Silva, Maxwell; Verratti, Motta, Matuidi; Cavani, Ibrahimovic, Pastore.


waliotembelea blog