Thursday, May 21, 2015



Meza ya kufanya usajili kabla ya kuingia ndani kuonesha kipaji chako kwa majaji wa TMT

Foleni ya wasanii wa Mkoa wa mbeya waliojitokeza kuchukua form kujisajili katika Shindano hilo

Foleni ya wasanii wa Mkoa wa mbeya waliojitokeza kuchukua form kujisajili katika Shindano hilo

Wasanii wa Mkoa wa Mbeya walipokuwa wakipewa maelezo na kuuliza maswali kuhusu shindano la TMT


Msaani maarufu wa Bongo Movie Mboto ni mmoja wa team ya TMT katika kuwapa maelekezo wasanii waliojitokeza kushiriki shindano hilo

Mpaka Kieleweke....!!!!!!

Majaji wa TMT Rich,Monalisa na Roy katika meza yao wakitazama na kujaji vipaji vya wasanii waliojitokeza katika mashindano

Mboto akiwa kazini

Meneja wa mradi wa TMT 2015 Saul Mpoki akizungumza na wasanii wa mkoa wa Mbeya kuhusu makusudio ya mradi huu katika kukukuza vipaji vyao na kuwatengenezea mwanya wa ajira.

Jaji Mkuu Roy akitoa maelekezo namna ya kuigiza kwa kutumia mswada (script) kuusoma na kuuelewa vizuri

Washiriki wakiwa mbele ya majaji wakipewa maelekezo namna ya kuigiza kwa kutumia mswada (script) hasahasa kuusoma na kuuelewa.

Washiriki wakisoma mswada (script) na kuigiza kabla ya kwenda kwa majaji kuonesha uwezo wao

Washiriki wakisoma mswada (script) na kuigiza







Washiriki wakisoma mswada (script) na kuigiza kabla ya kwenda kwa majaji kuonesha uwezo wao



Baada ya kusoma Script wanasubiri kuingia ndani kwa majaji kuonesha ujuzi wao katika kuigiza kutumia mswada (script)
foleni kuingia ndani kwa majaji kuonesha ujuzi wao katika kuigiza kutumia mswada (script)


Majaji watatu wa TMT 2015
Shindano la Tanzania Movie Talents linaloendeshwa na kampuni ya Proin Promotions linalolenga kuinua vipaji kwa vijana ikiwa ni katika kuwatengenezea mazingira ya ajira katika maisha yao Nchi nzima kikanda lionekana kuwa msaada kwa vijana wengi waliokuwa wakijitokeza kushiriki mashindano hayo katika mikoa mbalimbali tulikopita.
Shindano la ya Tanzania Movie Talents msimu wa pili 2015 lilioanza mwezi wanne kikanda kwa kuanza na kanda ya ziwa mwanza,Kanda ya kaskazini Arusha,Kanda ya kati Dodoma na kisha kanda ya nyanda za juu kusini Mbeya limekamilika kwa siku ya jana kupatikana washindi watatu na kujinyakulia kitita cha shilingi laki tano kila mmoja kati ya washiriki mia tatu waliojitokeza kushindana

Jana jioni Jijini Mbeya Soko matora Mkapa Conference Center ndipo mashindano hayo yalipofanyika na kuhudhuliwa na vijana kutoka wiraya zote za mkoa wa Mbeya na mikoa ya jirani kama Iringa na mikoa mingine ya jirani.

Washindi hao watatu watakwenda kuungana na wenzao wa kutoka kanda zote nchini kwa kuingia kwenye nyumba ya TMT wakifundishwa sanaa na waalimu mbali mbali kutoka Chuo kikuu Mlimani,kisha kuwepo na mtoano wa kila wiki ilikubaki washiriki kumi na mwisho kupata mmoja atakayeibuka na shilling Milioni Hamsini za kitanzani,hao kumi watakao baki wataigiza movie ya pamoja ikiwa ni katika kuwatambulisha katika tasni ya sanaa nchini ili iwe ajira kwako.

Baada ya kutoka Jijini Mbeya ni Mtwara tarehe 26 na 27 mwezi huu kisha Dar es salaam 5-7 mwezi wa 6,kwa taraifa zaidi tazama ITV na sikiliza Redio one au redio za mkoa husika kujua taharifa zaidi za mahala na muda. TMT2015 #mpakakieleweke


Wachezaji wa Juventus wakisherekea kutwaa  Coppa Italia baada ya kuilaza  Lazio bao 2-1 kwenye dakika za majeruhi.

Kepteni wa Juventus Giorgio Chiellini akiwa amebeba Kombe walilolitwaa usiku baada ya kuibuka na Ushindi wa bao 2-1 dhidi ya Juventus.

Tangu 1995 na sasa wanalinyanyua kwa mara ya 10

Carlos Tevez na Roberto Pereyra wakiwa na Mwali wao kwenye chumba cha kubadilishia nguo
Juve sasa wanaelekezea nguvu zao Uefa Champions Ligi dhidi ya Barcelona

Juve sasa wanasonga mbele kukwaana na Barca kwenye Uefa Champions

Mbele ya Mashabiki!! Juve wakishangilia ushindi wao baada ya ukame

Alessandro Matri akipongezwa

Matri akitupia bao kwenye dakika za nyongeza huku kipute kikifika dakika ya 97

Mpaka na jezi alivua!

Juventus walimzunguka Matri kwa kuwapatia bao la ushindi kwenye Stadio OlimpicoAlessandro Matri akishangilia bao lake la dakika za majeruhi baada ya kuifungia bao la ushindi Juventus kwa
2-1.
Juve Wamefanikiwa kutwaa Coppa Italia kwa mara yao ya 10 kulitwaa Kombe hili ambalo hawajalibeba tangu 1995 na imewafanya wawe wametwaa Dabo huku pia wakiwania Trebo, yaani Mataji Matatu, kwa vile pia Juni 6 watacheza Fainali ya UEFA CHAMPIONS LIGI na Barcelona huko Berlin, Germany.
Timu Kepteni wa Lazio Stefan Radu akipongezwa baada ya kuifungia bao la Mapema dakika ya 4 na kufanya 1-0.

waliotembelea blog