Sunday, October 26, 2014

Kocha wa Liverpool, Rogers baada ya Balotelli kubadilishana jezi Meneja wa Liverpool Brendan Rogers amesema atachukua hatua dhidi ya Baloteli baada ya Balotelli kubadilishana jezi na Pepe mchezajiwa Real Madrid muda wa mapumziko Jumatano katika mchezo wa klabu bungwa Ulaya ambapo liverpool ilifungwa 3-0 na mabingwa watetezi wa kombe hilo uwanja wa Anfield.
Rogers alisema “ kama unataka kufanya hivyo fanya mwisho wa mchezo. Nikitu ambacho nitakifanyia kazi alhamisi(leo)” Mario Balotelli dakika 45 za kwanza dhidi ya real Madrid alipiga mashuti mawili lakini yote yalizuiwa na walinzi wa Madrid huku akionekana kupiga pasi chache zaidi ya wachezaji wote (17) sawa na Lazar Markovic ambaye alicheza kwa dakika 23 tu.
Rogaers ambaye aligharifika baada ya msimu uliopita kushuhudia mlinzi wake Mamadou Sakho akibadilishana jezi na Samuel Etoo kwenye mchezo wao dhidi ya Chelsea  alisema: “ tulikuwa na hali hii mwaka jana na tuli ishughulikia ndani ya club”
Rogers , amemkosoa Mtaliano huyo baada ya Liverpool kucheza chini ya kiwango dhidi ya mabingwa hao wa Ulaya ambao walijipatia goli la kwanza kupitia kwa Cristiano Ronaldo ambaye alifunga goli la 70 katika michuano hiyo na mengine yakifungwa na Karim Benzema.
Balotelli alitolewa na nafasi yake ilichukuliwa na Adam Lallana baada ya mapumziko.


VIKOSI:
Manchester United XI: 
De Gea, Rafael, Smalling, Rojo, Shaw, Blind, Fellaini, Januzaj, Di Maria, Mata, van Persie.
Chelsea XI
Courtois, Ivanovic, Cahill, Terry, Felipe Luis, Fabregas, Matic, Willian, Oscar, Hazard, Drogba
Chelsea kuendelea kutema cheche tena leo?Diego Costa wenda akacheza kipindi cha pili!Radamel Falcao aliumia wenda hasicheze mtanange huu


Sammy Ameobi akishangilia bao lake la kusawazisha.1-1. Ayoze Pérez 
Newcastle United wametoka nyuma ya bao 1-0 na kuwapita Spurs kwa bao 2-1 katika kipindi cha pili. Bao la kusawazisha lilifungwa kipindi cha pili mapema dakika ya 46 kupitia kwa
Sammy Ameobi na bao la kuongoza lilifungwa na Ayoze Pérez katika dakika ya 58.

Emmanuel Adebayor aliwafungulia mlango Everton katika dakika ya 18 na kufanya 1-0 dhidi ya Newcastle.Emmanuel Adebayor alivyotupia bao lake kipindi cha kwanza.

waliotembelea blog