Tuesday, July 14, 2015

Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Dar es Salaam kwenye viwanja vya Zakheem Mbagala kwenye mkutano wake wa kujitambulisha kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam ambapo aliahidi kuwatumikia wananchi na kutenda haki.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wakazi wa jiji la Dar es Salaam kabla ya kumkaribisha mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kujitambulisha na kuwasalimia wakazi wa Dar es Salaam.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndugu Nape Nnauye akiwatambulisha viongozi mbali mbali waliomsindikiza mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli kwenye viwanja vya mikutano vya Mbagala Zakheem.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akipiga ngoma za tumba pamoja na Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye kwenye jukwaa la bendi ya TOT mara baada ya kumaliza kujitambulisha na kuhutubia wakazi wa jiji la Dar es Salaam.
Waandishi wa habari wakiwa kazini kwenye mkutano wa Dk. John Pombe Magufuli jijini Dar es salaam.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa mkutano wa Mbagala Zakheem tayari kwa kujitambulisha kwa wakazi wa Dar es Salaam.



Raheem Sterling sung the praises of his much-maligned agent after completing his move to Manchester City
Sterling, pictured with children from City's U6 academy squad, has signed for City from rivals Liverpool

Sterling becomes the club's record signing after completing his £49million transfer from Liverpool on Tuesday

The former Liverpool winger signs his City contract alongside the club's director of football Txiki Begiristain

From one iconic No 7 to another as Sterling meets City legend Mike Summerbee (left) at the club shop


Van Persie alipotambulishwa leo hii RVP akiwapungia Mashabiki mikonoMashabiki wakisalimiana na Van Persie leo wakati wa Utambulisho wake akitokea Manchester UnitedKaribu sana Van Pesie!
Van Persie, Mwenye Miaka 31 na Nahodha wa Netherlands, ametambulishwa rasmi hii Leo mbele ya Mashabiki 10,000 walioshangilia sana.
Van Persie alikaa Miaka Mitatu Man United baada ya kujiunga nao kutoka Arsenal na kuwasaidia kutwaa Ubingwa Msimu wa 2012/13, alipoifungia Bao 26 na kufuunga jumla ya Mabao 58 katika kipindi chake chote hicho.
Fenerbahce, ambao walimaliza Nafasi ya Pili kwenye Ligi Kuu ya Uturuki, wamesaini Wachezaji Wawili kutoka Man United katika kipindi mwingine akiwa Nani.
Van Persie akifanya yake!

Manchester City have completed signing of Raheem Sterling, pictured with City's football director Txiki Begiristain, has completed his £49m move to Raheem Sterling akisani mkataba mpya na Klabu ya  Manchester City karibu na  Director  Txiki Begiristain.
Man City rasmi wamemnunua Raheem Sterling kutoka Liverpool kwa kulipa Ada ya Pauni Milioni 44 mbele na 5 kullipwa baadae.
Tangu Januari, baada ya kukataa Mkataba mpya wa Liverpool, Sterling amehusishwa na kuihama Liverpool licha ya kubakisha Miaka Miwili kwenye Mkataba wake uliokuwepo.
Meneja wa Man City, Manuel Pellegrini, amemsifia Sterling na kusema ni mmoja wa Washambuliaji bora Duniani.
Sterling alijiunga na Liverpool kutoka QPR Mwezi February 2010 kwa Ada ya Pauni 600,000 na sasa QPR watavuna Asilimia 20 ya Ada ya Uhamisho huu wa kwenda City.
The 20-year-old was pictured leaving a Manchester hospital after taking a step closer to completing his move
Raheem mwenye umri wa miaka 20 alionekana akitoka katika hospitali Manchester baada ya ukamilishaji huo wa upimwaji afya leo hii. Akiwa Liverpool ameichezea timu hiyo mara 129 na amefunga bao 23. Liverpool pia wamemtakia safari njema. Imesemekana Raheem sterling akiwa hapo Etihad atavaa jezi No. 7
Manchester City have completed signing of Raheem Sterling, pictured with City's football director Txiki Begiristain, has completed his £49m move to Raheem Sterling akisani mkataba mpya na Klabu ya  Manchester City karibu na  Director  Txiki Begiristain.
Man City rasmi wamemnunua Raheem Sterling kutoka Liverpool kwa kulipa Ada ya Pauni Milioni 44 mbele na 5 kullipwa baadae.
Tangu Januari, baada ya kukataa Mkataba mpya wa Liverpool, Sterling amehusishwa na kuihama Liverpool licha ya kubakisha Miaka Miwili kwenye Mkataba wake uliokuwepo.
Meneja wa Man City, Manuel Pellegrini, amemsifia Sterling na kusema ni mmoja wa Washambuliaji bora Duniani.
Sterling alijiunga na Liverpool kutoka QPR Mwezi February 2010 kwa Ada ya Pauni 600,000 na sasa QPR watavuna Asilimia 20 ya Ada ya Uhamisho huu wa kwenda City.
The 20-year-old was pictured leaving a Manchester hospital after taking a step closer to completing his move
Raheem mwenye umri wa miaka 20 alionekana akitoka katika hospitali Manchester baada ya ukamilishaji huo wa upimwaji afya leo hii. Akiwa Liverpool ameichezea timu hiyo mara 129 na amefunga bao 23. Liverpool pia wamemtakia safari njema. Imesemekana Raheem sterling akiwa hapo Etihad atavaa jezi No. 7


KOCHA mpya wa Real Madrid, Rafael Benitez ataonja joto ya pambano la watani Hispania, maarufu kama El Clasico wakati Los Blancos watapokutana na Barcelona kwa mara ya kwanza mechi ya mzunguko wa kwanza wa La Liga Novemba 8 Uwanja wa Bernabeu.
Mechi ya marudiano baina ya miamba hao walioweka kwenye 'viganja vyao' soka ya Hispania itafanyika April 3 mwakani, Uwanja wa Camp Nou.
Kocha Luis Enrique aloyeshinda mataji matatu na Blaugrana msimu uliopita, ataanzia kampeni yake ugenini kwa kumenyana na Athletic Bilbao Agosti 23 - mechi ya tatu ya wiki baina yao baada ya kikosi cha Ernesto Valverde kumenyana nao Barca mara mbili katika mechi za Super Cup. 
Lionel Messi alifunga katika mechi ambayo Barcelona iliifunga Atletico Madrid kujihakikishia taji la La Liga msimu uliopita

MECHI ZA UFUNGUZI LA LIGA

Athletic Bilbao vs Barcelona
Malaga vs Sevilla
Levante vs Celta Vigo
Sporting Gijon vs Real Madrid
Rayo Vallecano vs Valencia
Espanyol vs Getafe
Deportivo vs Real Sociedad
Granada vs Eibar
Real Betis vs Villarreal
Atletico Madrid vs Las Palmas 
Benitez yeye ataanza kampeni yake msimu huu kwa kumenyana na Sporting Gijon Uwanja wa El Molinon katika siku ya ufunguzi, wakati Malaga itaikaribisha Sevilla Uwanja wa La Rosaleda katika mechi ya mahasimu wa Andalucian.
Katika siku ya mwisho ya msimu wa 2015-2016, Mei 15, Real itasafiri hadi Galicia kuwafuata Deportivo La Coruna, wakati Barcelona pia watamalizia ugenini dhidi ya Granada, ambao walishika nafasi ya 17 katika msimu uliopita wa La Liga.
Kikosi cha Diego Simeone, Atletico Madrid chenyewe kitaanzia msimu mpya wa La Liga nyumbani wakiwakaaribisha Las Palmas na kumalizia nyumbani kwa Celta Vigo.
Atletico, ambayo msimu uliopita ilimaliza katika nafasi ya tatu ikiwa inazidiwa pointi na 16 na Barcelona, itamenyana na Real Madrid Uwanja wa Vicente Calderon Oktoba 4 na baadaye marudiano Uwanja wa Bernabeu, Februari 28



Liverpool 4 vs 0 True Thai All StarsKikosi cha Liverpool kilichowafunga Thai All stars bao 4-0 leo kwenye mchezo wa kirafiki
Bao za Liverpool leo lizilifungwa na Lazar Markovic dakika ya 3, Mamadou Sakho dakika ya 42, Adam Lallana dakika ya 52 na lile la dakika ya 86 la Mbelgian Origi wameipa Ushindi mnono Timu ya Liverpool leo wakiongozwa na Meneja wao Brendan Rodgers kwenye Mtanange wa kirafiki wa kujiima kujiandaa na msimu mpya wa 2015/2016 leo hii mchana huko Bangkok. Liverpool walikuwa wakicheza na wenyeji wao Timu Kombaini ya huko Bangkok ya Thai All Stars ambao wametoka kapa.
Mapema Danny Ings alifunga bao lakini bao hilo lilikataliwa kwani lilionekana lina utata!Danny Ings na Kolo Toure wakishangilia baoLazar ndie aliyeanza kuliona lango la wenyeji wao Thai All StarsSakho  akipongezwa!Mamado  Sakho  akiomba baada ya kuifungia bao LiverpoolChupuchuu!Mashabiki kabla ya mechi kuanzaWenyeji lakini ni mashabiki wa LiverpoolMashabiki lukuki wakisonga Uwanjani tayari kuucheki mtanange huo wa kirafikiShabiki wa kweli!


Mkurugenzi wa Ufundi wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Salum Madadi (kushoto) akimtambulisha Mkufunzi wa FIFA Elaxander kutoka Ufaransa (wa pili toka kushoto) wakati wa ufunguzi wa kozi ya makocha wa magolikipa inayoendelea katika Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam jana. Wa pili toka kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu nchini, Said Mohamed na kulia ni Katibu Mkuu wa TFF, Selestine Mwesigwa.Mkufunzi wa FIFA Elaxander kutoka Ufaransa (aliye katikati ya waliosimama) kwa pamoja na washiriki wa kozi ya makocha wa golikipa inayoendelea katika Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam
MAKAMU Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi nchini, Said Mohamed amewataka washiriki wa kozi ya makipa kutumia vizuri mafunzo watakayopata katika kuendeleza mpira nchini.
Said Mohamed ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya utendaji ya TFF, aliyasema hayo jana wakati akifungua kozi ya makocha wa golikipa inayoendelea katika Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam.
“Naishukuru FIFA kwa kuipa Tanzania nafasi ya kuendesha mafunzo hayo ya makocha wa makipa kwa mara ya kwanza nchini pia nawaomba washiriki wa kozi hii mtumie vema nafasi kwa ajili ya kuendeleza mpira wa miguu”, alisema Said
Naye mshiriki Mohamed Mwameja ‘Tanzania One’ ambaye amewahi kuidakia Simba na timu ya Taifa alishukuru kupata kozi hiyo na kusema itawasaidia kujua makosa yao kwani wamekuwa wakifundisha kwa uzoefu ambao waliupata wakati wakicheza.

“Sisi tunafundisha kwa kutumia uzoefu tuliopata kutoka kwa waliotufundisha wakati tukicheza hivyo kozi hii itatufanya tujitambue wapi tulikuwa tukikosea ili turekebishe na tupate makipa bora”, alisema Mwameja
Jumla ya makocha 31 wanashiriki kozi hiyo kutoka vilabu vyote viliyovopo Ligi Kuu ya Tanzania Bara na Zanzibar na magolikipa wa zamani walio wahi kudaka timu za Taifa.
Kozi hiyo inaendeshwa na mkufunzi wa FIFA Elaxander kutoka nchini Ufaransa, ambaye alidumu kama golikipa kwa miaka 20 na inatarajiwa kufungwa Julai 17, mwaka huu


Mkurugenzi wa Ufundi wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Salum Madadi (kushoto) akimtambulisha Mkufunzi wa FIFA Elaxander kutoka Ufaransa (wa pili toka kushoto) wakati wa ufunguzi wa kozi ya makocha wa magolikipa inayoendelea katika Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam jana. Wa pili toka kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu nchini, Said Mohamed na kulia ni Katibu Mkuu wa TFF, Selestine Mwesigwa.Mkufunzi wa FIFA Elaxander kutoka Ufaransa (aliye katikati ya waliosimama) kwa pamoja na washiriki wa kozi ya makocha wa golikipa inayoendelea katika Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam
MAKAMU Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi nchini, Said Mohamed amewataka washiriki wa kozi ya makipa kutumia vizuri mafunzo watakayopata katika kuendeleza mpira nchini.
Said Mohamed ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya utendaji ya TFF, aliyasema hayo jana wakati akifungua kozi ya makocha wa golikipa inayoendelea katika Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam.
“Naishukuru FIFA kwa kuipa Tanzania nafasi ya kuendesha mafunzo hayo ya makocha wa makipa kwa mara ya kwanza nchini pia nawaomba washiriki wa kozi hii mtumie vema nafasi kwa ajili ya kuendeleza mpira wa miguu”, alisema Said
Naye mshiriki Mohamed Mwameja ‘Tanzania One’ ambaye amewahi kuidakia Simba na timu ya Taifa alishukuru kupata kozi hiyo na kusema itawasaidia kujua makosa yao kwani wamekuwa wakifundisha kwa uzoefu ambao waliupata wakati wakicheza.

“Sisi tunafundisha kwa kutumia uzoefu tuliopata kutoka kwa waliotufundisha wakati tukicheza hivyo kozi hii itatufanya tujitambue wapi tulikuwa tukikosea ili turekebishe na tupate makipa bora”, alisema Mwameja
Jumla ya makocha 31 wanashiriki kozi hiyo kutoka vilabu vyote viliyovopo Ligi Kuu ya Tanzania Bara na Zanzibar na magolikipa wa zamani walio wahi kudaka timu za Taifa.
Kozi hiyo inaendeshwa na mkufunzi wa FIFA Elaxander kutoka nchini Ufaransa, ambaye alidumu kama golikipa kwa miaka 20 na inatarajiwa kufungwa Julai 17, mwaka huu


Fabio Capello ameondolewa kama Kocha Mkuu wa Russia baada kushika wadhifa huo kwa Miaka Mitatu.
Mwaka Jana, Capello alisaini nyongeza ya Mkataba wake kwa Miaka Minne ambao ungemweka huko Urusi hadi baada ya Fainali za Kombe la Dunia za Mwaka 2018 ambazo Urusi ndio Wenyaji wake.
Lakini, baada ya matokeo mabovu, ambayo yameifanya Russia iwe na Pointi 8 tu katika Mechi 6 za kufuzu Fainali za EURO 2016, Russia imestuka.
Hata huko Brazil kwenye Fainali za Kombe la Dunia Mwaka Jana Russia, chini ya Capello, ilitupwa nje hatua za Makundi tu bila ya kushinda hata Mechi moja katika Mechi zao 3.
Chama cha Soka cha Russia (RFU kimesema kimefikia makubaliano na Kocha huyo kutoka Italy, ambae pia aliwahi kuifundisha England, kuutengua Mkataba wake.
Inaaminika RFU imemlipa Capello Euro Milioni 15 kufuatia uamuzi huo.
Mwezi uliopita, Mashabiki wa Russia walianzisha kampeni ya kuchangishana Fedha ili kuununua Mkataba wa Capello na kumng'oa.


www.bukobasports.com
Waziri wa Ujenzi nchini Tanzania, John Pombe Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa michuano ya Kombe la Kagame siku ya Jumamosi, Julai 18 2015 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Magufuli baada ya kufungua rasmi michuano hiyo, atashuhudia mchezo wa ufunguzi rasmi wa mashindano ya Kagame, mechi itakayowakutanisha miamba ya Afrika Mashariki timu ya Yanga dhidi ya Gor Mahia kutoka nchini Kenya.
Michuano ya Kagame inatarajiwa kuanza kutimua vumbi siku ya jumamosi kwa michezo mitatu, ukindoa mecho ya Yanga Vs Gor Mahia, mechi zingine zitakua ni kati ya APR dhidi ya Al Shandy uwanja wa Taifa saa 8 mchana, KMKM Vs Telecom saa 10 jioni uwanja wa Karume.
Kuanzia leo tutakua tunawaleta kwa ufupi timu zinazoshiriki michuano hiyo mwaka huu, na kwa kuanza tunaanza na kundi A;
Mchezo wa ufunguzi kati ya Yanga dhidi ya Gor Mahia unaonekana kuteka hisia za wapenzi wa soka kwa ukanda wa Afrika Mashariki, kwani ni takribani miaka 19 timu hizo mbili haaziwaji kukutana katika ardhi ya Tanzania.


Stori  za watu kutumia jeneza katika shughuli zao mbalimbali zimeendelea kutokea sehemu nyingi duniani..Millardayo.com iliwahi kuandika stori ya bibi harusi  kutumia jeneza kuingia nalo ukumbini  na nyingine ilimuhusu mwanafuzi kuingia kwenye mahafali yake akiwa ndani ya jeneza.
kufa2
Stori nyingine inayofanana na hizo imeingia kwenye headlines leo inatokea Singapore baada ya wapenzi kuamua kufunga ndoa yao huku wakitumia jeneza kama sehemu ya kuongeza mvuto kwenye sherehe yao.
kufa3
Jenny Tay, na  Darren Cheng, waliamua kunogesha sherehe yao baada ya kuona ni muhimu kwao kutokana na kufanya kazi ya mazishi kwa muda mrefu na kuamini kifo ni sehemu ya maisha ya binadamu hivyo ni jambo la kawaida kwao.
kufa4
Wamesema pia wameamua kufanya hivyo ili watu wengine waone kifo ni jambo la kawaida na ni sehemu ya kila mmoja kuwa ni lazima atapitia.
kufa5 

kufasita
Federal police patrol near the Altiplano maximum security prison in Almoloya, Toluca, Mexico, early Sunday, July 12, 2015. Mexico's most powerful drug lord, Joaquin "El Chapo" Guzman, escaped on Saturday night from a maximum security prison through a tunnel that opened into the shower area of his cell, the country's top security official announced. (AP Photo/Marco Ugarte)
Joaquin “El Chapo” Guzman ndio jina la mfanyabiashara wa Mexico ambalo limechukua headlines kubwa kwa siku kama tatu hivi mfululizo, jamaa ni mfanyabiashara mkubwa wa dawa Kulevya, kile kitendo cha kutoroka kwenye Gereza lenye ulinzi mkubwa kimefanya kila mtu ashtuke !!
Police keep watch outside the Altiplano Federal Penitentiary, after drug lord Joaquin "El Chapo" Guzman escaped, in Almoloya de Juarez, on the outskirts of Mexico City, July 12, 2015. Guzman escaped from high security prison in a tunnel built under his cell, the government said, his second jailbreak in 15 years and a major embarrassment for President Enrique Pena Nieto.   REUTERS/Tomas Bravo       TPX IMAGES OF THE DAY
Jamaa alikamatwa kama mwaka 2014, juzi July 12 2015 ikaibuka BREAKING NEWS  ya jamaa kutoroka Gereza la Altiplano lililopo Almoloya, Mexico.
Gereza lina Ulinzi mkubwa sana lakini ndio hivyo alifanikiwa kuutumia mtaro wa majitaka unaopita chini ya gereza kutoroka usiku.
.
Joaquín Guzmán Loera akiwa Mikononi mwa Polisi baada ya kukamatwa mwaka 2014.
.
Vikosi vya Askari wakiendelea na msako usiku baada ya jamaa kutoroka.
.
Policemen inspect a trailer at a checkpoint outside the Altiplano Federal Penitentiary, after drug lord Joaquin 'El Chapo' Guzman escaped, in Almoloya de Juarez, on the outskirts of Mexico City, July 12, 2015. Mexico's most notorious drug lord Joaquin "El Chapo" Guzman has escaped from a high security prison in central Mexico, officials said on Sunday, the second time he has given his captors the slip in 15 years. REUTERS/Tomas Bravo
.
Police stand guard on the perimeter of the Altiplano Federal Penitentiary, where the drug lord Joaquin "El Chapo" Guzman escaped, in Almoloya de Juarez, on the outskirts of Mexico City, July 12, 2015. Mexico's most notorious drug lord Guzman escaped from high security prison in a tunnel built under his cell, the government said, his second jailbreak in 15 years and a major embarrassment for President Enrique Pena Nieto. REUTERS/Tomas Bravo
A general view shows a part of the Altiplano Federal Penitentiary, where the drug lord Joaquin "El Chapo" Guzman escaped, in Almoloya de Juarez, on the outskirts of Mexico City, July 12, 2015. Mexico's most notorious drug lord Guzman escaped from high security prison in a tunnel built under his cell, the government said, his second jailbreak in 15 years and a major embarrassment for President Enrique Pena Nieto.  REUTERS/Tomas Bravo
Federal police patrol near the maximum security prison Altiplano in Almoloya, west of Mexico City, early Sunday, July 12, 2015.  Mexico's most powerful drug lord, Joaquin "El Chapo" Guzman, escaped from a maximum security prison through a tunnel that opened into the shower area of his cell, the country's top security official announced. (AP Photo/Marco Ugarte)
Huu ndio mtaro ambao Joaquín Guzmán Loera ametorokea.
Federal police inspect a drainage pipe outside the Altiplano maximum security prison in Almoloya, west of Mexico City, Sunday, July 12, 2015. Mexico's most powerful drug lord, Joaquin "El Chapo" Guzman, escaped from a maximum security prison through a tunnel that opened into the shower area of his cell, the country's top security official announced. (AP Photo/Marco Ugarte)
A Federal police inspects a drainage pipe outside the Altiplano maximum security prison in Almoloya, west of Mexico City, Sunday, July 12, 2015. Mexico's most powerful drug lord, Joaquin "El Chapo" Guzman, escaped from a maximum security prison through a tunnel that opened into the shower area of his cell, the country's top security official announced. (AP Photo/Marco Ugarte)

waliotembelea blog