Monday, January 13, 2014

 

Hans Van Der Plyum ameingia mkataba wa kuinoa Young Africans kuanzia leo na moja kwa moja kesho mchana ataungana na wachezaji wake waliopo nchini Uturuki kwenye kambi ya mafunzo ya wiki mbili kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom na mashindano ya kimataifa baadae.Kocha huyo mwenye mafanikio makubwa nchini Ghana aliwasili nchini Tanzania juzi na leo kumalizana na uongozi wa klabu ya Young Africans kisha usiku huu kuanza safari ya kuelekea nchini Uturuki kuungana na timu yake mpya ambayo ipo katika kambi ya mafunzo kwenye jiji la Antlaya.

Uongozi wa Young Africans umefikia hatua hiyo baada ya kuridhika na wasifu na rekodi yake na kuwa kocha pekee aliyeweza kuushawishi uongozi na kumpa kazi kutoka katika maombi mengi ambayo yalikuwa yametumwa na yakiendelea kumiminika kuomba ajira katika klabu kongwe nchini Tanzania.
 
 
Kuajairiwa kwa mholanzi Hans Van Der Plyum kunafunga mjadala juu ya nani anakua mrithi wa Ernie Brandts ambaye alisitishiwa mkataba wake mwishoni mwa mwaka jana na kumalizana na uongozi wa klabu ya Yanga kabla ya kurejeja kwao nchini Uholanzi.
Akiongea na mtando rasmi wa klabu ya Young Africans SC mwenyekiti wa kamati ya mashindano Abdallah Bin Kleb amesema kwa pamoja wamekubaliana baada ya kurizika na uwezo na rekodi yake ambayo wanaamini itasaidia kuipeleka timu katika hatua nyingine.
Sisi tumeamua kuingia mkataba na kocha Van der Plyum ili aweze kuisaidia timu yetu kutoka katika hatua iliyo na kwenda mbele zaidi, mtazamo wetu mkubwa ni katika mashindano ya kimataifa hasa Klabu Bingwa kwa kushirikiana na kocha msaidizi mzoefu mwenye elimu ya juu pia ya ukocha nchini Mkwasa tunaamini tufanya vizuri katika Ligi Kuu na Klabu Bingwa Afrika.
Aidha Hans Van der Plyum amesema anashukru uongozi wa Young Africans kwa kumuamini na kumpa nafasi hyo na kuahidi kwa kushirikiana na kocha Mkwasa na Pondamali ambao atakutana nao Uturuki watakiimarisha kikosi na pindi kitaporejea nchini kitakua katika hali nzuri na kucheza soka safi.
Pia kocha huyo mholanzi amesema anamjua vizuri kocha mkuu wa Simba SC Zdravko Logarusic kwani mwaka 2011 alikua akifundisha timu ya Ashanti Gold SC nchini Ghana na walipokutana katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya timu yake ya Berekum Chelsea aliweza kuibuka mbabe kwa kuifunga timu ya Ashanti mabao 4-0.


Huu ndo Wasifu wa Hans Van Der Plyum:
CAREER DETAILS

Playing Career

• 18 year goalkeeping career in Eredivisie (Dutch Premier League) and Dutch First Division 
• 1965-1967 Wilhelmina SC
• 1967 – 1985 Den Bosch FC
• 1971 Goalkeeper of Dutch National Under-23 Team
Trainer/Coach

• Dutch Eredivisie and First Division
Head Coach:

FC Den Bosch (1993 -1997), Excelsior Rotterdam (1997 – 1998) 
Youth/Reserve Team Coach and Assistant First Team Coach:
FC Den Bosch (1990 – 1993)


 Ghana Premier League
(Ashanti Goldfields SC [Now AshantiGold](1998-2001, 2004 -2005), Heart of Lions FC (2002-2003, 2006 – 2007 2010 –2011) , Kessben FC (2008 – 2009) Berekum  Chelsea  (2011 current team).
• Ethiopia Premier League
St. George FC (2003 -2004)
•CAF Champions League
St George FC, Ethiopia (2003-2004)
• CAF Confederation Cup
Ashanti Goldfields SC, Ghana (1999-2000)
• Football Academies
Red Bull Academy 2007 – 2008)
Feyenoord Academy (2009 – 2010)


QUALIFICATION AND COMPETENCY DETAILS
 • UEFA  License A. - Certificate Team building. - CAF License B. 
• Fluent in Dutch and English
• Experienced with different cultures and religions 

ACHIEVEMENT AND AWARD DETAILS
Total Career: 500+ matches for FC Den Bosch in the Dutch National League
League Cup Final (1993 – 1994) – FC Den Bosch
Promotion to Dutch Premier League (1994-1995) – FC Den Bosch
Promotion to the Ghana Premier League (2002 – 2003) – Heart of Lions FC
Ethiopian Super Cup Winner (2004 – 2005) – St George FC
CAF Champions League Qualification (2004 – 2005) – St George FC, Ethiopia
Two-time Qualifier – CAF Confederation Cup (1998 – 2001) – Goldfields SC, Ghana
CAF Champions League Qualification (2006 – 2007) – Heart of Lions FC, Ghana
Runners Up – GHALCA Top Four Competition (2006 – 2007) – Heart of Lions FC, Ghana
Awarded Best Coach in Ghana Premier League (2006 – 2007)
Awarded Honourary Membership (1992) – FC Den Bosch
Enzo Ferrari International Youth (Under-18) Tournament Winner in Modena, Italy (1998) – with Shizuoka FC, Japan
Runners-Up - International Under-17 Tournament for Professional Teams in Tiel, Netherlands 2009) – Feyenoord Academy, Ghana
Winners - International Under-17 Tournament for Professional Teams in Groesbeek, Holland (2009) – Feyenoord Academy, Ghana
Loyalty and Sportsmanship Award by the Dutch Football Association for Silver Jubilee (25 years) with FC Den Bosch, Holland
Supporters Player of the year Award – FC Den Bosch, Holland


Recent Coaching Details
Winners – President’s Cup (Ghana), June 2012 (with Berekum Chelsea FC)
Ongoing campaign in the final group stages (Money Zone) of the 2011/2012 CAF Champions League with Berekum Chelsea FC  [Group B with Al-Ahly (Egypt),
       Zamalek (Egypt) and TP Mazembe (DR Congo)].


Pos.Logo &TeamPWDLGDPts
1ArsenalArsenal2115332248
2Manchester CityManchester City2115243647
3ChelseaChelsea2114432146
4LiverpoolLiverpool2113352542
5EvertonEverton2111821541
6Tottenham HotspurTottenham Hotspur211245140
7Manchester UnitedManchester United2111461137
8Newcastle UnitedNewcastle United211038233
9SouthamptonSouthampton21867430
10Hull CityHull City216510-523
11Aston VillaAston Villa216510-723
12Stoke CityStoke City21579-1322
13Swansea CitySwansea City215610-421
14West Bromwich AlbionWest Bromwich Albion21498-521
15Norwich CityNorwich City215511-1820
16FulhamFulham216114-2419
17West Ham UnitedWest Ham United214611-918
18Cardiff CityCardiff City214611-1918
19SunderlandSunderland214512-1517
20Crystal PalaceCrystal Palace215214-1817

  

 Ballon d'Or 2013 trophy is displayed at the Kongresshaus in Zurich

Joseph Blatter poses with Pele prior to the FIFA Ballon d'Or Gala
Legend: Pele was honoured for his contribution to the sport in ZurichHappy Roy: England manager Hodgson reveals Jupp Heynckes as the Men's Coach of the Year winnerStar-studded: Dani Alves (left), Thiago Silva, Sergio Ramos, Philipp Lahm and Manuel Neuer made up part of the Team of the Year


On the carpet: Cristiano Ronaldo (left) with girldfriend Irina Shayk and his son at the ceremony
Grabbing the attention:Lionel Messi and Antonella Roccuzzo arrive at the Ballon d'Or ceremony Real Madrid's Portuguese forward Cristiano RonaldoBayern Munich's French midfielder Franck RiberyFormer Dutch football player and presentReal Madrid's Portuguese forward Cristiano RonaldoFormer Dutch football player and present(L-R) FIFA secretary general Jerome Valc(L-R) Barcelona's Brazilian defender DanReal Madrid's Portuguese forward CristiaThe nominees for the Women's and Men's World Soccer Player of the Year 2013 Award stand on stage at the FIFA Ballon d'Or ceremony in Zurich
Brazil's former striker Ronaldo (R) and
 
 CR7

FIFA Ballon d'Or Gala 2013

FIFA Ballon d'Or Gala 2013

FIFA Ballon d'Or Gala 2013

FIFA Ballon d'Or Gala 2013ZURICH, SWITZERLAND - JANUARY 13: FIFA Ballon d'Or nominee Franck Ribery of France and Bayern Munich poses for a portrait with model Adriana Lima prior to the FIFA Ballon d'Or Gala 2013 at the Park Hyatt hotel on January 13, 2014 in Zurich, Switzerland. (Photo by Mike Hewitt - FIFA/FIFA via Getty Images)
Cristiano Ronaldo, Lionel Messi and Franck Ribery attend a press conference prior to the FIFA Ballon d'Or Gala 
Lionel Messi and Cristiano Ronaldo at the Ballon d'Or press conferenceReunion: FIFA Ballon d'Or nominee Franck Ribery poses with FIFA World Coach of the Year nominee and former manager of Bayern Munich Jupp HeynckesFIFA Ballon d'Or nominee nominee Jupp Heynckes
 
 Cristiano Ronaldo signs footballs prior to the FIFA Ballon d'Or Gala
 Ballon d'Or 2013 trophy is displayed at the Kongresshaus in Zurich

waliotembelea blog