Friday, June 13, 2014


Bastian Schweinsteiger anawindwa na Manchester United majira ya kiangazi mwaka huu. KLABU ya Manchester United inamuwinda zaidi Bastian Schweinsteiger katia usajili wa majira ya kiangazi mwaka huu. Mtandao huu kupitia mtandao rafiki wa Sportsmail iliweka wazi mwezi uliopita kuwa Man United wanavutiwa na nyota huyo mwenye miaka 29.
 Schweinsteiger kwa upande wake tayari ameshaonesha nia ya kujiunga na bosi wake wa zamani Louis van Gaal katika dimba la Old Trafford. Van Gaal ndiye aliyembadilisha Schweinsteiger kutoka nafasi ya winga na kuwa kiungo wa ulinzi na amecheza kwa mafanikio katika nafasi hiyo.
Mholanzi Van Gaal ambaye kwasasa anaiongoza Uholanzi katika fainali za kombe la dunia anamuona kiungo huyo kama mchezaji muhimu kwa Man united msimu ujao.


Louis van Gaal alifanya kazi kwa mafanikio na Schweinsteiger akiwa Bayern Munich

Schweinsteiger ni sehemu ya kikosi cha Ujerumani katika fainali za kombe la dunia, lakini nafasi yake ni wasiwasi.

Schweinsteiger alishinda kombe la Bundesliga na German Cup chini ya Van Gaal akiwa Bayern Munich.


French disconnection: Sagna leaves the Emirates after seven seasons in north London

Bacary Sagna has agreed to join Manchester City when his Arsenal contract expires on June 30.
Sagna, 31, yesterday said his good-byes to Arsenal after seven years with the Gunners and will officially join City on July 1 on a Bosman.
Arsenal confirmed the defender’s departure on their website today and thanked him for his service during his time with the Gunners, which culminated in last month’s FA Cup win.
The club said: “Everyone at Arsenal Football Club would like to thank Bacary for his fantastic contribution, and wish him all the best for the future.”

View image on TwitterThe Blues have been pursuing the France World Cup right-back for months and want him to ease some of the burden on Pablo Zabaleta.
Sagna becomes the latest Arsenal star to move to the Etihad, following the likes of Samir Nasri, Gael Clichy, Kolo Toure and Emmanuel Adebayor.



Na Baraka Mbolembole
Senegali ifikia hatua ya robo fainali ya michuano ya kombe la dunia mwaka 2002 katika nchi za Korea Kusini na Japan na kuwa timu ya pili ya Afrika kufika hatua hiyo baada ya Cameroon kufanya hivyo mwaka 1990 nchini Italia.
Senegal kama ilivyo kwa Cameroon ilifanya vizuri katika michuano yake ya kwanza ya fainali hizo kubwa zaidi za soka duniani. Wakati Ghana ilikuwa timu ya tatu ya Afrika kufika hatua hiyo . Wakicheza fainali za pili mwaka 2010, Black Stars ilifika hatua ya robo fainali na kuondolewa kwa changamoto ya mikwaju ya penalty na Uruguay. Saa moja usiku wa leo, miamba wa soka Afrika wataanza kutupa karata yao ya kwanza kwa kushuhudia Cameroon wakipambana na timu ya Mexico kutoka Marekani Ya Kati.
Cameroon ilifuzu kwa fainali za kombe la dunia kwa mara ya kwanza mwaka 1990 katika fainali ambazo zilifanyika nchini Italia. Cameroon walipangwa katika kundi moja na waliokuwa mabingwa watetezi wa michuano hiyo, Argentina na Romania na Urusi na walimaliza kama vinara wa kundi baada ya kuifunga Argentina katika mchezo wa ufunguzi kwa goli la mshambuliaji, Francois Omani Bjyik, wakaicha Romania katika mchezo wa pili kwa magoli 2-1 ingawa walipoteza dhidi ya Urusi kwa magoli 4-0 katika mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi.

Senegal maarufu kwa jina la `Simba wateranga` walifika robo fainali mwaka 2002.
Wakaichapa Colombia kwa magoli 2-1 katika mchezo wa hatua ya 16 na kuwa timu ya kwanza kutoka barani Afrika kufika hatua ya juu zaidi katika michuano hiyo. Walitinga robo fainali kwa msaada wa mshambiliaji Roger Millar ambaye alifunga magoli yote mawili akiwa na umri wa miaka 38.
Goli la David Platt katika dakika ya 25 lilifutwa na Emmanuel Kunde kabla ya Eugene Ekeke kuongeza goli lingine wakati Cameroon ilipotoka nyuma na kuongoza dhidi ya England katika mchezo war obo fainali. Magoli hayo yalifungwa katika dakika za 61 na 66 kabla ya Gery Lineker kusawazisha katika dakika ya 83 na kufanya mchezo huo kwenda katika hatua ya dakika 30 za nyongeza. Na katika dakika ya 105, England wakapata mkwaju wa penalty na Lineker akafunga goli la ushindi ambalo lilihitisha mafanikio ya ‘ Simba Wasioshindika’ katika fainali zao za kwanza.
Miaka minne iliyofuata nchini Marekani, Cameroon walipangwa katika kundi la pili sambamba na Brazil, Sweden na Urusi. Walianza na sare ya kufungana magoli 2-2 na Sweden, wakachapwa magoli 3-0 na Brazil na wakakutana na kipigo kikubwa zaidi mbele ya Urusi baada ya kutandikwa magoli 6-1. Walichoambulia katika fainali za mwaka 1994 ni rekodi iliyowekwa na mshambuliaji, Rogar Millar ambaye alifunga goli la kufutia machozi la Cameroon akiwa na umri wa miaka 42 na kuweka rekodi ya mfungaji mwenye umri mkubwa zaidi iliyodumu hadi sasa.

Kikosi cha Cameroon kilichofika robo fainali mwaka 1990
Cameroon waliondolewa katika hatua ya makundi wakiwa na pointi moja tu. Walifuzu kwa mara ya tatu katika fainali za Ufaransa, mwaka 1998 na wakaangukia katika kundi la pili sambamba na Italia, Chile na Austria. Walitoa sare dhidi ya Chile na Austria na kuifunga Italia kwa magoli 3-0. Katika fainali zao za nne katika nchi za Korea Kusini na Japan, 2002 walipangwa na Ujerumani, Ireland na Saudi Arabia. Walianza michuano kwa sare ya kufungana goli 1-1 na Ireland wakaishinda Saudi Arabia kwa goli 1-0 lakini wakajikuta wakipoteza mchezo wa mwisho dhidi Ujerumani baada ya kulazwa magoli 2-0.
Waliishia katika hatua ya makundi kwa mara nyingine. Mabingwa hao wa zamani wa Afrika walifuzu kwa fainali za Afrika ya Kusini, miaka minne iliyopita baada ya kushindwa kufuzu kwa michuano ya mwaka 2006, nchini, Ujerumani. Walipangwa na Denmark, Japan na Uholanzi. Walifungwa na Denmark kwa magoli 2-1 wakaishinda Japan kwa goli 1-0 katika mchezo wa pili kabla ya kupoteza mchezo wa mwisho dhidi ya Uholanzi baada ya kulala kwa magoli 2-1 na wakaishia hatua ya makundi.

Samuel Eto`o alishangilia kwa staili ya kibabu kinachotembelea mkongojo baada ya kufunga bao katika mechi ya kirafiki dhidi ya Ujerumani, hii ni kejeli kwa Jose Mourinho aliyemuita mzee. Leo nyota huyo anaiongoza Cameroon kombe la dunia.
Kuelekea mchezo wa jioni ya leo dhidi ya Mexico, kikosi cha Cameroon chini ya kocha, Voljer Finke kinakabiliwa na changamoto kubwa kuhakikisha wanapata ushindi ili kujiweka katika mazingira mazuri ya kufuzu kwa hatua ya mtoano. Baada ya ushindi wa Brazil dhidi ya Croatia, Cameroon itakuwa na nafasi nzuri ya kufuzu kwa hatua ya 16 kama watapata ushindi jioni ya leo. Ratiba inaonesha watakutana na Croatia katika mchezo wa pili kabla ya kumaliza na Brazil hivyo ushindi katika mchezo wa leo ni muhimu sana kama wanataka kufuzu kwa hatua inayofuata. Mshambuliaji, Samuel Eto’o atakuwa akicheza fainali zake za tatu za kombe la dunia na nchi yake itakuwa ikicheza fainali za sita. Cameroon wanauzoefu wa kutosha wanaweza kutinga hatua ya 16 bora wakishinda mchezo wa leo dhidi ya Mexico.


Warembo wanaogombania Miss Manyara 2014

Warembo wanaogombania Miss Manyara 2014 wakiwa wanacheza mmoja ya wimbo watakaoucheza katika siku ya mashindano ikiwa ni moja ya sehemu ya mazoezi. Picha na Woinde Shizza.

Na Woinde Shizza, Manyara
Kinyanganyiro cha kugombea Redd's Miss Manyara 2014, kinatarajia kufanyika kesho Jumamosi Juni 14 mwaka huu katika ukumbi wa CCM Mkoa, mjini Babati, ambapo warembo 10 wanatarajia kuchuana.
Mkurugenzi wa Mirerani Entertainment, Akon Clement ambaye ni Mratibu wa mashindano hayo alisema mgeni rasmi wa mashindano hayo anatarajiwa kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Mary Nagu.

Akon alisema msanii maarufu wa kizazi kipya, Bob Junior kutoka jijini Dar es salaam anatarajiwa kutoa burudani kali wakati akisindikiza michuano hiyo ambapo pia wasanii chipukizi kutoka mjini Babati watashiriki kunogesha.
Aliwataja wanyange hao wanaotarajia kushiriki mashindano hayo kuwa ni Miss Mirerani 2014 Amina Omary, Miss Mirerani namba mbili Catherine Emmanuel na Miss Mirerani namba tatu Happy William.
Wengine ni Fatuma Salim, Betha Fredrick, Rose Evason, Edna Mushi, Hosiana John, Mary Ruta na Flora Godlizen, ambao ni warembo walioshinda kwenye mashindano ya wilaya za Babati, Hanang' na Mbulu, alisema Clement.
Aliwataja wadhamini wa mashindano hayo ni kampuni ya Tanzania Breweries (TBL), kupitia kinywaji chake cha Redd's Original, Open University, Manyara Computer, mireranitanzanite.blogspot.com,libeneke la kaskazini blog na Active Classic Fashion.


Mratibu huyo alisema kuwa wadhamini wengine wa shindano hilo ni TanzaniteOne, Assey Printing company, Trimus Saloon, Kifaru Agrovet, Winners Hotel, Sarafina Lodge na Kimweri Sport Wear.



Eyeing each other up: Neymar and Luka Modric prepare to collide in Sao Paulo
Wakitazamana: Neymar na Luka Modric wakijiandaa kuruka juu  Sao Paulo.
 MWAMUZI Yuichi Nishimura hatausahau usiku wa leo baada ya kuwasaidia kwa kiasi kikubwa wenyeji Brazil kuvuna pointi tatu dhidi ya Croatia katika mchezo wao wa kwanza wa kombe la dunia mwaka 2014.
Mjapani huyo alimwacha Neymar aendelee kuwepo uwanjani baada ya kumpiga kiwiko Luka Modric katika kipindi cha kwanza, kabla ya kuwazawadia wenyeji penati nyepesi.

High ball: Neymar (front left) and Modric battle for possession... but the Brazilian appears to gain an unfair advantage
Mpira wa juu: Neymar (mbele kushoto) na Modric wakigombaniana mpira...lakini Mbrazil aliweza kwa njia isiyosahihi.

Pain game: Modric winces and falls to the floor after clashing with Neymar

Going down: Modric falls to the floor after feeling the full force of Neymar
Flashpoint: Croatia's furious players rush to referee Yuichi Nishimura as Neymar protests his innocence
Wachezaji wa Croatia wakimzonga Mwamuzi Yuichi Nishimura, huku Neymar akijitetea
Yellow peril: Nishimura shows Neymar yellow as Modric writhes on the floor

BRAZIL YAANZA KWA KUITANDIKA CROATIA 3-1, NEYMAR APIGA MAWILI NA KUKIMBIA KADI NYEKUNDU...OSCAR NAYE APIGA MPIRA MKUBWA MNO


Neymar the Redeemer: Brazil's No 10 strikes a pose after his second goal and looks like the famous statue in Rio
Spot on (just about): Neymar puts his penalty past Stipe Pletikosa despite the Croatia keeper getting a hand to it
Kikosi cha Brazil na viwango vyao: Julio Cesar 6; Dani Alves 5.5, Thiago Silva 6, Luiz 6, Marcelo 5.5, Paulinho 6, Gustavo 7, Hulk 6 (Bernard 68), Oscar 7, Neymar 8, Fred 6.5.
Wachezaji wa akiba: Jefferson, Fernandinho, Dante, Maxwell, Henrique, Ramires, Hernanes, Willian, Jo, Maicon, Victor.
Kikosi cha Croatia na viwango vyao: Pletikosa 6, Srna 6.5, Corluka 7, Lovren 6.5, Vrsaljko 6; Modric 7, Rakitic 7, Perisic 6.5, Kovacic 6 (Brozovic 62), Olic 6, Jelavic 6.
Wachezaji wa akiba: Zelenika, Pranjic, Vukojevic, Schildenfeld, Rebic, Sammir, Vida, Eduardo, Subasic.
A big hug from Big Phil: Luiz Felipe Scolari embraces Neymar following his equaliser for Brazil
 Luiz Felipe Scolari akimkumbatia Neymar baada ya kufunga bao la kusawazisha.

Running the show: Neymar (left) is jubilant after scoring Brazil's first goal of the World Cup
Neymar (kushoto)akishangilia bao lake la kwanza
Left foot forward: Neymar rifles in a shot from outside the box which sneaks into the corner

Despairing dive: Croatia goalkeeper Stipe Pletikosa fails to save Neymar's effort from the edge of the box
Kipa wa Croatia  Stipe Pletikosa akijaribu kuokoa shuti la Neymar lakini aliambulia manyoya tu
Long-range effort: Neymar's goal was from well outside the box
Arrowing in: Neymar's shot was powerful and accurate
Unexpected: Marcelo (second right) steers the ball beyond his own keeper Julio Cesar

waliotembelea blog