Saturday, December 27, 2014


Chini ya Uongozi wa Mtunzi na Mwimbaji Mahiri na mtunzi bora wa mwaka wa Kili Music Awards Christian Bella ilipotumbuiza mamia ya wapenzi wao katika ukumbi wa Raha Bukoba wa Lina's Night  Club akiwa sambamba na  Safu yake ya  ushambuliaji ya Malaika Band. 
BENDI ya muziki wa Dansi ya Malaika chini ya Christian Bella ‘Obama’ usiku huu ilitoa Burudani kali ya kukata na shoka kwenye ukumbi wa Lina's Night Club Bukoba ikiwa ni kumalizia sikukuu za X-mass siku ya Boxing Day" na kuwapagawisha mashabiki kwa shoo kali na ya nguvu.
Onyesho hilo lililoanza saa mbili usiku ambapo Malaika Bendi walikuwa wakiwapa ladha mashabiki kwa kupiga kopi mbalimbali ya nyimbo za Kikongo zinazobamba.
Ilipofika saa nne na nusu ukumbi ulilipuka kwa shangwe baada ya kiongozi wa bendi hiyo Christian Bella kupanda jukwaani kwa wimbo wake wa Yako Wapi Mapenzi ambao ulisababisha mashabiki kuinuka katika viti vyao na wale ambao walikuwa wakinyemelewa na usingizi kuamka.
Bella alizidi kuwapagawisha mashabiki kwa kupiga nyimbo kali mfululizo ambazo zinatamba katika redio na vyombo mbalimbali vya habari ukiwemo Nani Kama Mama, Yako wapi Mapenzi, Msaliti, Usilie na nyingine kibao.
Mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’ akifanya yake usiku huu siku ya sikukuu Boxing Day kwenye Ukumbi wa Lina's Night Club, Bukoba uliopo Bukoba mjini.
Madansa wa Malaika Music bendi wakifanya yao.
Christian Bella Christian Bella 'Obama' achengua mashabiki kwa kutoa Burudani kwa kuimba wimbo wa Nani kama Mama ambao uliamsha Shamra Shamra katika Ukumbi wa Lina's Night Club usiku huu wa Boxing Day' katika kumalizia sikukuu za x-mass na kusonga kuoona mwaka Mpya 2015.
Wanenguaji wa Malaika Band wakiwajibika kwenye ukumbi wa Lina's Night Club usiku huu wa
Boxing Day Ijumaa.


Chini ya Uongozi wa Mtunzi na Mwimbaji Mahiri na mtunzi bora wa mwaka wa Kili Music Awards Christian Bella ilipotumbuiza mamia ya wapenzi wao katika ukumbi wa Raha Bukoba wa Lina's Night  Club akiwa sambamba na  Safu yake ya  ushambuliaji ya Malaika Band. 
BENDI ya muziki wa Dansi ya Malaika chini ya Christian Bella ‘Obama’ usiku huu ilitoa Burudani kali ya kukata na shoka kwenye ukumbi wa Lina's Night Club Bukoba ikiwa ni kumalizia sikukuu za X-mass siku ya Boxing Day" na kuwapagawisha mashabiki kwa shoo kali na ya nguvu.
Onyesho hilo lililoanza saa mbili usiku ambapo Malaika Bendi walikuwa wakiwapa ladha mashabiki kwa kupiga kopi mbalimbali ya nyimbo za Kikongo zinazobamba.
Ilipofika saa nne na nusu ukumbi ulilipuka kwa shangwe baada ya kiongozi wa bendi hiyo Christian Bella kupanda jukwaani kwa wimbo wake wa Yako Wapi Mapenzi ambao ulisababisha mashabiki kuinuka katika viti vyao na wale ambao walikuwa wakinyemelewa na usingizi kuamka.
Bella alizidi kuwapagawisha mashabiki kwa kupiga nyimbo kali mfululizo ambazo zinatamba katika redio na vyombo mbalimbali vya habari ukiwemo Nani Kama Mama, Yako wapi Mapenzi, Msaliti, Usilie na nyingine kibao.
Mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’ akifanya yake usiku huu siku ya sikukuu Boxing Day kwenye Ukumbi wa Lina's Night Club, Bukoba uliopo Bukoba mjini.
Madansa wa Malaika Music bendi wakifanya yao.
Christian Bella Christian Bella 'Obama' achengua mashabiki kwa kutoa Burudani kwa kuimba wimbo wa Nani kama Mama ambao uliamsha Shamra Shamra katika Ukumbi wa Lina's Night Club usiku huu wa Boxing Day' katika kumalizia sikukuu za x-mass na kusonga kuoona mwaka Mpya 2015.
Wanenguaji wa Malaika Band wakiwajibika kwenye ukumbi wa Lina's Night Club usiku huu wa
Boxing Day Ijumaa.

Dada nao hawakuwa nyuma



Jamal na Mkewe nao walikuwepo ukumbin Lina's Night Club kushuhudia Bendi hiyo LiveJamal kalumuna akiwa meza kuu

Mtu wa Watu Ben Mulokozi


Nyomi ya Mashabiki walijitokeza kwa wingi katika Ukumbi huo wa Burudani Lina's Night Club.










Wadau wa Muziki wa Dansi...Bendi..

Wafanyakazi wa shirika la Cosad nao walitokelezea kwa namna yao siku ya Boxing Day na hapa walipata picha na Bella
Vinywaji vilitembea ukumbini hapo
Wadau
usipime!


Mwandaaji wa Shoo Mc Jerry akitokelezea na Mkali wa Masauti Bella



TAMASHA LA WAFALME: DIAMOND, MZEE YUSUF WAWEKA HISTORIA DAR LIVE

Diamond Platnumz akisema na mashabiki wake waliofurika Dar Live usiku wa kuamkia leo.
Diamond na Idris wakifanya yao stejini.

Idris Sultan akimtambulisha kwa mashabiki wa Dar Live mshikaji wake aliyekuwa naye kwenye mjengo wa BBA, Samantha wa Afrika Kusini.
Diamond akichana mistari ya wimbo wa Muziki Gani na mshikaji aliyepanda stejini kumwakilisha Nay wa Mitego.
Baada ya mshikaji huyo kufanya makamuzi ya hatari, Diamond aliamua kumpatia shilingi 50,000.
Diamond akizidi kuwapa raha mashabiki wake wa Dar Live.
Nyomi ya kutisha ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live.
Diamond akifanya makamuzi na dansa wake.
Dansa wa Diamond akionyesha umahiri wake stejini.
...Sebene time.
Diamond akilitawala jukwaa kwa sarakasi.
NIMEMALIZA: Diamond baada ya kuwakonga nyoyo mashabiki wake waliofurika Dar Live na wao kuridhika aliamua kupozi nao kwa picha hii.
Ijumaa Sexiest Bachelor anayemaliza muda wake, Yusuf Mlela akiwasalimia mashabiki.

waliotembelea blog