Wednesday, May 13, 2015


Cristiano Ronaldo akshangilia bao lake la PenatiDakika ya 23 kipindi cha kwanza Cristiano Ronaldo anaipachikia bao la kwanza Real Madrid kwa mkwaju wa Penati na kufanya 1-0 dhidi ya Juventus. Bao hilo la Cristiano Ronaldo lilidumu na kuwapeleka mapumziko wakiwa mbele  na huku jumla ya magoli ya mtanange wa kwanza na huu japo bado dakika ya 45 ikiwa ni (Agg 2-2).Wachezaji wa Juve wakimjia juu Mwamuzi wa mtanange baada ya kutokea penatiRonaldo chini akiutafuta mpira!
VIKOSI:
Real Madrid wanaoanza:
Casillas, Carvajal, Varane, Sergio Ramos, Marcelo, Rodriguez, Isco, Kroos, Bale, Benzema, Ronaldo
Real Madrid Akiba: Navas, Pepe, Fabio Coentrao, Hernandez, Arbeloa, Jese, Illarramendi
Juventus wanaoanza: Buffon, Lichtsteiner, Bonucci, Chiellini, Evra, Marchisio, Pirlo, Pogba, Vidal, Tevez, Morata
Juventus akiba: Storari, Coman, Llorente, Barzagli, Padoin, Sturaro, Pereyra

waliotembelea blog