Sunday, April 19, 2015


Harry Kane celebrates scoringHarry akituma salaam kwa mashabikiHarry Kane scoresKane akifunga baoNacer Chadli dakika ya 30 aliifungia bao la kuongoza Spurs kwa kufanya 1-0 dhidi ya Newcastle United.Jack Colback celebrates with team mates after scoring
Kipindi cha pili dakika ya 45 walifanya mabadili kwa makini kwa
Sammy Ameobi kumbadili Yoan Gouffran na Gabriel Obertan kumbadili Mehdi Abeid na kupata bao dakika ya mapema bao la kusawazisha katika dakika ya 46 kwa kufanya 1-1 bao lililofungwa na Jack Colback.

Jack Colback reacts during the match
Dakika ya 53 Spurs walipiga mpira wa adhabu frii kiki na kuzama moja kwa moja ndani ya lango la Newcastle United na kujipatia bao la kuongoza la pili, Frii kiki iliyopigwa na Christian Eriksen na kufanya 2-1.

Christian Eriksen celebrates with team mates after scoring
Bao la mwisho la tatu kwa Spurs lilifungwa na Staa wao wa mabao Harry Kane katika dakika ya majeruhi na mtanange kumalizika kwa 3-1 dhidi ya Newcastle United. Harry Kane akifikisha jumla ya mabao 20 msimu huu.Tim Krul watches Christian Eriksen's freekick go in his goalUshindi huu wa Tottenham umewapandisha hadi Nafasi ya 6 wakifungana Pointi na Liverpool walio Nafasi ya 5 wote wakiwa Pointi 7 nyuma ya Timu ya 4 Man City.Christian Eriksen scores with a freekickJack Colback and Ayoze Perez prepare to restart after conceding the first goalMaelfu ya Mashabiki wao wakigomea kuhudhuria Mechi ya Timu yao Newcastle ilipocheza Uwanjani kwao Saint James Park dhidi ya Tottenham wakionyesha mshikamano wa kumpinga Mmiliki wa Klabu yao, Mike Ashley, Tottenham haikuwa na huruma ilipowashindilia Bao 3-1 katika Mechi ya Ligi Kuu


Liverpool wakiongozwa na Nahodha wao Steven Gerrard ambae Leo ni kumbukumbu ya Siku yake ya Kuzaliwa, ndio waliotangulia kufunga kwa Bao la Dakika ya 30 la Philippe Coutinho aliepokea pasi ya Raheem Sterling lakini Dakika 6 baadae Straika wa Aston Villa Christian Benteke alisawazisha Bao hilo baada ya kuikamata pasi safi ya Fabian Delph.Kipindi cha pili dakika ya 54 Fabian Delph aliwafungia bao la pili Aston Villa na kufanya 2-1.
Coutinho dakika ya 30 anaipachikia bao la kuongoza Liverpool kwa kufanya 1-0 dhidi ya Aston Villa.Gerrard akipagawa bada ya kipigo hicho.Steven GerrardNi Homa ya kipigo cha Nusu Fainali WembleyChristian Benteke aliisawazishia bao Aston Villa kwa kufanya 1-1 katika kipindi hicho cha kwanza dakika ya 36.Christian Benteke celebrates after scoringChristian Benteke celebrates scoring their first goalChristian Benteke celebrates after scoringChristian Benteke celebrates Aston Villa's first goalChristian Benteke celebrates his equalising goalChristian Benteke scoresRaha ya kupata bao
Hadi Mapumziko Aston Villa 1 Liverpool 1
Kipindi cha Pili, Dakika ya 54, Fabian Delph alianzisha muvu safi na kumpa Benteke aliemsogezea Grealish aliemrudishia Fabian Delph na kupiga Bao la Pili safi na la ushindi.
Fainali ya FA CUP itachezwa Mei 30 Uwanja wa Wembley.
Philippe Coutinho celebrates with team mates after scoringPhilippe Coutinho celebrates after putting Liverpool aheadPhilippe Coutinho celebrates after scoring the first goalPhilippe Coutinho celebrates after scoring the first goalPhilippe Coutinho scores the first goalPhilippe Coutinho scores the first goal for LiverpoolPhilippe Coutinho shoots and scores past Shay Given

Sergio Ramos kaifungia bao dakika ya 24 kipindi cha kwanza kufanya 1-0 dhidi ya Malaga.

Kipindi cha pili dakika ya 69 James Rodríguez aliifungia bao la pili Real Madrid huku Cristiano Ronaldo akimaliza mchezo huo kwa kufunga bao dakika za majeruhi bao la tatu kwa 3-1 dhidi ya Malaga na kwenye Dakika ya lala salama dakika ya 90.
Ronaldo pia alikosa mkwaju wa penati kipindi cha pili katika mchezo huu wa leo dhidi ya Malaga. Bao la pekee la Malaga lilifungwa na Juanmi dakika ya 71.

 

Wachezaji wa Chelsea wakishangilia baada ya kuibuka na pointi 3 muhimu dhidi ya Man United.Chelsea players celebrate victoryChelsea ikiwa watashinda Mechi zao 2 zinazofuata basi wao ni Mabingwa.Eden Hazard celebrates scoring thr first goal with team matesUbingwa ni wa kwetu!!Marouane Fellaini challenges Cesar AzpilicuetaFellaini akifanya yake Wayne Rooney and Radamel Falcao complain to referee Michael DeanRooney akipata maelezo juu ya rafu kwa FalcaoJohn Terry goes close with a headerJohn Terry akigombea mpira wa kichwa kupitia kona
Kocha Jose Mourinho 
Ushindi huu umewapa Chelsea uongozi wa Pointi 10 mbele ya Timu ya Pili Arsenal na Man United kubaki Nafasi ya 3 wakiwa Pointi 11 nyuma.
Chelsea walifunga Bao lao la ushindi Dakika ya 38 kupitia Eden Hazard baada ya pasi nzuri ya kisigino ya Oscar kwenye Mechi ambayo Man United walimiliki Mpira kwa Asilimia 70 dhidi ya 30 ya Chelsea.

Katika Dakika za mwishoni Refa Mike Dean aliinyima Man United Penati baada ya Ander Herrera kuangushwa ndani ya Boksi na badala yake kumpa Kadi ya Njano.
Eden Hazard dakika ya 38 kipindi cha kwanza aliipatia bao la kuongoza kwa kufanya 1-0 dhidi ya Manchester United. Baaada ya kupata pasi safi ya kisigino kutoka Oscar na kumfunga kipa wa Man United De Gea na mechi kwenda mapumziko Chelsea wakiongoza. Eden Hazard akipongezwa na Mashabiki kwa kufanya 1-0Eden Hazard after a missed chanceHazard chupuchupu apate bao tenaEden Hazard attempts an acrobatic shotCesc Fabregas and Ander Herrera battle for the ballAnder akimbana Cesc FabrigasReferee Mike Dean is surrounded by Manchester United playersMwamuzi akizungukwa na wavchezaji wa Man United juu ya rafu Marouane Fellaini in action with Kurt ZoumaFellaini na ZoumaCesc Fabregas in action with Ander HerreraAnder na CescDidier Drogba in actionDrogba kwenye patashikaDidier Drogba tackles Ander HerreraDrogba dhidi ya Ander Herrera

waliotembelea blog