Tuesday, August 13, 2013


NIANZE kwa kumshukuru Mungu kwa kuweza kutupa uhai na tumuombe atuzidishie moyo wa upendo ili tuwe na amani katika nchi zote hasa za  Afrika Mashariki.
Hakuna shaka yoyote nikisema kwamba uhai na ustawi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) upo mashakani kutokana na viongozi wa nchi hizo kuonesha kutoshikamana.
Inanikumbusha mwaka 1977, EAC iliposambaratika na kutokana na itikadi za kisiasa licha ya kuasisiwa na Marais, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Tanzania), Jomo Kenyatta (Kenya) na Dk. Milton Obote (Uganda)  ingawa safari hii suala la itikadi zinazokinzana haliwezi tena kuwa sababu au chanzo cha kuparaganyika kwa jumuiya.
Kwa waliokuwa vijana au watu wazima zama hizo, wanakumbuka jinsi EAC ya wakati ule ilivyovunjika na kuiacha kila nchi kati ya Tanzania, Kenya na Uganda ikichukua mali, madeni ya jumuiya hiyo na kila moja na msimamo wake, ikiendesha pia mambo yake kwa mgawanyo wa mali ambao haukuwa wa haki.
Lakini baadaye marais wa nchi hizo, Benjamin Mkapa (Tanzania), Daniel arap Moi (Kenya) na Yoweri Museveni (Uganda) wakaanzisha juhudi mpya zikawezesha kurejea na kuzaliwa upya kwa EAC  yenye makazi yake Arusha, mahali ambako zimewekezwa fedha lukuki kujenga makao makuu mapya, ingawa kwa sasa jumuiya hiyo inayumba.
EAC ya sasa inayumba licha ya kuongezwa nguvu kwa kuzijumuisha nchi za Rwanda na Burundi kama wanachama wake wapya, jumuiya ina nyufa kubwa ambazo kwa mtazamo wangu zinaashiria kuanguka au kuporomoka siku si nyingi zijazo.
Baadhi ya watu walidhani kwamba EAC yetu ya sasa ingekuwa jumuiya moja kubwa yenye nguvu kibiashara, kisiasa, lakini ndoto hizo zimekwisha na tayari (EAC) imegawanyika katika makundi.
Hakuna shaka kwamba makundi hayo yanatokana na mitazamo ya kimasilahi zaidi ya viongozi wakuu wa nchi tatu,  hasa Rwanda, Kenya na Uganda, kwa kweli yanaiacha EAC ya sasa katika hatari ya kufa kabla ya kutimiza malengo yake.
Ni bahati nzuri kwamba Burundi, nchi ambayo imekuwa katika mizozo mingi ya ndani, vita ya wenyewe kwa wenyewe, haina upande katika mzozo huu wa sasa wa EAC.
Kwa mtazamo wa kawaida mgogoro unaweza kuonekana kuwa ni kati ya Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Rwanda, Paul Kagame huku wengine wakiwa ni mashabiki na huenda hata Kenya ya Rais Uhuru Kenyatta na Uganda ya Yoweri Museveni zinaiona Tanzania kama tishio kwa masilahi yao.
 Hakuna shaka kwamba matarajio ya wengi katika jumuiya hiyo ni kuifikiria Tanzania kama eneo la kuingia kiholela, kujichotea mali, ardhi, ajira kama wapendavyo kupitia EAC lakini sasa wanaona kuna ugumu, hivyo kuanzisha chokochoko.
Uganda kwa mfano, ni nchi  ambayo siku zote imekuwa ikifumbia macho magendo ya kahawa, maharage, ndizi kutoka Kagera kupitia njia za panya  mpakani.
Huenda nayo inaona kwamba biashara hii kuwa si endelevu kama ilivyo pengine kwa kufanya biashara au ushirikiano  mzuri zaidi na Kenya kwa njia ya barabara na reli.
Tuliwahi kushuhudia Museveni akimualika Kenyatta na Kagame nchini mwake na Kikwete hawakumualika, tena walisema walikuwa wanazungumzia maendeleo ya Afrika Mashariki!
Hii yote inatokana na Rais Kikwete, katika kikao cha mwaka cha Umoja wa Afrika (AU), kilichofanyika mwanzoni mwa Juni, mwaka huu, mjini Addis Ababa Ethiopia kutoa ushauri kwenye Kamisheni ya Ulinzi na Usalama ya umoja huo, kwamba ili kutafuta suluhisho la kudumu la hali ya kiusalama katika nchi za Maziwa Makuu, upo umuhimu kwa Marais Kagame, Museveni na Joseph Kabila wa DRC kuzungumza na makundi ya waasi wanayopambana nayo katika nchi zao.
Makundi hayo ya waasi ni pamoja na Democratic Forces for the Liberation of Rwanda (FDLR), kundi ambalo Rais Kagame amekuwa akisisitiza linaundwa na Wanyarwanda waliokimbilia DRC mwaka 1994, baada ya kutekeleza mauaji ya kimbari, wanaojulikana kwa jina la Interahamwe. Mengine ni Allied Democratic Force (ADF) kwa upande wa Uganda na M23 kwa Rais Kabila wa DRC.
Ushauri huo haikuwa amri, kinyume chake, Rais Kagame aliukataa kwa kutoa matusi na kejeli kwa mwenzake!
Marais hao hawatakuwa viongozi wa kwanza kupewa ushauri na Rais Kikwete kwani itakumbukwa alikuwa mmoja wa viongozi walioshiriki kumshauri Rais Mwai Kibaki wa Kenya akubali kuzungumza na mpinzani wake, Raila Odinga baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2007 uliomalizika kwa vurugu na uvunjifu wa amani na akakubali.
Inawezekana Kagame ana chuki ya muda mrefu dhidi ya Tanzania kwani hakufurahishwa hata kidogo na hatua ya Tanzania kushirikiana na nchi za Afrika Kusini, Malawi na Msumbiji, kupeleka majeshi ya kulinda amani nchini DRC, eneo lenye madini mengi na Rwanda wapo huko kwa kisingizio cha kuwasaka FDLR.
Nimwambie Rais Kagame kwamba hakuwa na sababu ya kumtukana Rais Kikwete kwani angeweza kutofuata ushauri aliopewa na kila kitu kikaishia hapo.




Chuo kilichopo mji wa Nsuka kimeshuhudia tena mauaji ya kikatili ya dereva wa tipa ambae amewapa mimba mjane na mtoto wake. Ripoti inasema dereva huyo amechomwa moto na mtoto wa kiume wa mjane huyo,Sunday Ugwoke.

 Kutokana na habari zilizokusanywa  Sylvester Ezema alikuwa amejishikiza kwenye kampuni ya Ferguso Nig. Limited huko Akpa Edem na alikokuwa anaishi  alikuwa anashea fensi ya kawaida tu na mpenzi wake mjane. Taarifa zinasema kuwa alikuwa pia na mahusiano ya kimapenzi na mtoto wa kike wa mjane huyo ambaye alikuwa hajui mpaka alipofariki siku chache zilizopita ndipo alipokuja kujua.

Sylvester alichomwa moto mpaka akafa na Sunday ambaye alishamwonya aachane na mama yake na aache kufanya nae mapenzi kwenye chumba cha marehemu baba yake,ambacho kimepakana na chumba chake,Onyo ambalo marehemu Sylvester hakulizingatia na kuendelea na tendo hilo baya.
Sylvester aliyapa kisogo maonyo ya Sunday akisema kuwa huyo mjane ni 'family friend' so hakuna atakayewashitukia. Kwa kutofuata maonyo,siku moja Sunday,alijikoki na pilipili ya kusagwa na petrol akamvamia yule 'lover boy'. Sylvester alipotoka tu mlangoni kwake, Sunday alimmwagia pilipili na petrol kisha akamuwasha  moto.
PICHA ya staa wa filamu, Hisani Muya ‘Tino’ na msichana aliyetajwa kwa jina moja la Hellen mkazi wa Arusha imezua utata ikidaiwa kuwa wawili hao huenda wakawa na uhusiano. 
Hisani Muya ‘Tino’ katika pozi tata na msichana aliyetajwa kwa jina moja la Hellen.
Chanzo kilichoipenyeza picha hiyo kimeitonya Stori 3 kuwa, Hellen aishiye jijini Arusha amekuwa akiwatambulisha mashosti zake kuwa wana uhusiano wa karibu sana na staa huyo ndiyo maana amekuwa akihifadhi picha nyingi walizopiga naye kimahaba.
Alipotafutwa Tino kuhusiana na picha hiyo, alidai hakumbuki kama ana mchumba aitwaye Hellen isipokuwa alikiri kupiga picha nyingi za kimalovee na wanawake tofauti.

Wednesday, August 7, 2013


Diamond ni miongoni mwa waliokwama Nairobi, picha alizopost na za mlipuko ziko hapa
2
1
2
Diamond Platnums akiwa ni miongoni wa abiria waliokwama kutokana na uwanja huo kulipuliwa, ameiambia millardayo.com kwamba imebidi abiria wapelekwe hotelini na kuambiwa inawezekana ndege zikaanza kuruka saa moja au saa mbili usiku leo ambapo taarifa walizozisikia ni kwamba ni shambulio la bomu.
Bado tunaendelea kuwa karibu na vyanzo ili kupata info zaidi lakini kwa sasa ni kwamba imetangazwa abiria wako salama ambapo ndege zote zilizokua zinatua Nairobi zimeelekezwa kutua Mombasa.



Reports are coming in through the Kenya Red Cross, the country’s foremost emergency response organization, that a major fire is raging at Jomo Kenyatta International Airport. Courtesy of twitter picture via this tweet: ‘FIRE reported at Jomo Kenyatta International Airport #Nairobi via #iVolunteer @decibyte ^PO’ this is the first available image of the raging inferno, which seems to have fully engulfed one of the main buildings.

Stand by for more reports and updates in due course.

The latest update at 06.17 hrs speaks of the main arrival building, at least the upper floors, being completely engulfed in a major fire and the arrival hall and immigration area has been cleared of passengers while those outside the main arrival hall, beyond customs check points, too has been cleared of people and cars normally waiting there. Parked cars should be removed to make way for fire brigade units coming from the city too.

UPDATE: 0617 hours EAT
The latest update at 0617 hours speaks of the main arrival building, at least the upper floors, being completely engulfed in a major fire and the arrival hall and immigration area has been cleared of passengers while those outside the main arrival call, beyond customs, has also been cleared of people and cars normally waiting there. Parked cars should be removed to make way for fire brigade units coming from the city, too.
UPDATE: 0634 hours EAT
Kenya Airport Authority Statement:

We confirm reports of a fire at JKIA affecting part of the International Arrivals building and Unit 1 departures. The KAA Fire and Rescue Team is on the ground being assisted by G4S and the Nairobi Fire Brigade. Passengers have been evacuated to safety.

This correspondent also urges to refrain from any speculation over the cause of the fire, which will no doubt be fully investigated.
At present there is NO information about any injuries or loss of life.

UPDATE: 0648 hours EAT
Reliable sources from JKIA now speak of a development just taking place at JKIA, that access to the airport has been closed for passengers trying to depart on morning flights, domestic, regional and international, to allow additional firefighting services from the Kenya Army, the National Youth Service, and other government organizations priority access to the arrival/departure buildings as the sheer size of the blaze requires additional resources.

Unit One departures according to some reports is also affected.

Still no reports of injuries or loss of life.

Passengers should be aware that their departure may be delayed considerably until the blaze has been brought under full control and no more danger exists for travelers and staff working at JKIA.

And just in, news that inbound flights may have to be diverted to avoid passengers piling up at JKIA and authorities being unable to process them into the country.


UPDATE: 0725 hours EAT
It has now been confirmed that parked aircraft near the terminal have been towed away to a safe distance and that equipment like high loaders, movable stairs, and vehicles have also been taken away from the apron area just outside Terminal 3, 2, and 1.

Incoming flights are being diverted to Mombasa, Eldoret, Entebbe, Kilimanjaro International, and Dar es Salaam.

Due to the major airline offices located in the affected area, there is no landline communication possible right now, and unless mobile numbers of airline staff at the JKIA station are available, authoritative statements about where respective flights have been diverted to can only be obtained through the airline city offices in due course.

Katibu mkuu wa Baraza la wazee Ibrahim Akilimali (katikati) akiongea na waandishi wa habari le makao makuu ya klabu, kushoto kwake ni mzee Bilal Chakupewa na kulia kwake ni mzee Jabir Katundu
Uongozi wa klabu ya Young Africans umetangaza mkutano mkuu wa dharura wa wanachama wote utakaofanyika tarehe 18.08.2013 katika ukumbi wa PTA sabasaba eneo la mtoni jijini Dar es salaam.
Akiongea na waandishi wa habari leo makao makuu ya klabu hiyo, katibu mkuu wa Yanga Lawrence Mwalusako amesema mwenyekiti wa klabu ameamua kuitisha mkutano mkuu huo wa dharula  kwa ajili ya kupata maoni ya wanachama juu ya mustakabali wa TPL kuingia makubaliano na TV ya Azam kuonyesha michezo ya Ligi Kuu.
Mwalusako amesema kwa mfumo wa klabu ya Yanga, wanachama ndio wana maamuzi ya mwisho juu ya mustakabali wa timu yao kuhusiana na masuala ya klabu yao, hivyo tumeona ni bora kurirudisha suala hili kwa wanachama ili waweze kutoa mchango wao.
Katibu wa baraza la wazee wa klabu ya Yanga mzee Ibrahim Akilimali akiongea kwa niaba ya wazee wa klab hyo, amesema wao wanaungana na kamati ya utendaji  juu ya msimamo wao wa kutotaka Azam Tv kurusha michezo yake yote watakayocheza.
Sisi wazee wa Yanga tunaunagana na mwenyekiti, Kamati Kuu ya Utendaji na viongozi wa matawi kuwa hatupo tayari kuona kampuni ya Azam Media kupitia kupitia kituo chake cha Azam TV inaonyesha mchezo wetu wowote wa Ligi Kuu.
Ifuatayo ni  Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari,
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.
1. Hivi karibuni tumepata uhakika kuwa Tanzania Premier League (TPL) na Azam Media wanayo nia ya kuingia mkataba wa kuonyesha mechi za Ligi Kuu (Premier League) kwa msimu wa 2013/2014, 2014/2015 na 2015/2016
2. Baada ya Kamati ya Utendaji ya YANGA kufanya uchambuzi wa kina juu ya taarifa ya makubaliano ya kibiashara ya TPL / Azam Media ilihitimisha kuwa mkataba huu hauna maslahi kwa YANGA, na kwa hivyo Kamati ya Utendaji ya YANGA ilifikia uamuzi kuwa mechi za YANGA zisirushwe hewani na Azam Media.
Kwa kuwa wawazi, Kamati ya Utendaji ya YANGA ilitoa taarifa kwa wanachama wa YANGA kupitia vyombo vya habari tarehe 29 Julai, 2013 ambapo iliweka bayana sababu zake na kueleza kuwa YANGA haina tatizo na vilabu vingine vya mpira wa miguu ikiruhusu mechi zao kurushwa na Azam Television ila haifurahii kuwa TPL inalazimisha YANGA kuonyesha mechi zake za Vodacom Premier League katika Azam Television.
3. Sote tumeona baada ya hapo kuwa “nguvu ya ziada” inatumika kupotosha msimamo wa Kamati ya Utendaji ya YANGA na kuidhalilisha Klabu ya YANGA hadharani.
Juu ya hayo na kwa kushangaza sana, baadhi ya vilabu vya mpira wa miguu ambavyo vina sifa kuwa havijawahi kushinda Ligi Kuu, vimeundwa hivi juzi tu, havina uzoefu wowote wa kucheza soka kimataifa n.k. vina kuja kuyapinga Kamati ya Utendaji ya YANGA jinsi ya kuendesha shughuli za klabu ya Yanga, vikiwa vinasahau vilabu vyao wenyewe na badala yake kuiingilia YANGA kwa sababu zinazojionyesha wazi.
Inadhihirika wazi kwamba kuna ushirikiano usio mzuri unaoashiria kula njama kuilazimisha YANGA iruhusu mechi zake zirushwe na Azam Television.
Kwa kuwa YANGA ni Klabu ya Wanachama yenye kupata nguvu kutokana na misingi yake ya kidemokrasia iliyojijengea na uamuzi wake wa mwisho unatokana na Wanachama wake mwenyewe, umeamua kuliweka suala hili zima kwa Wanachama wa Yanga ili waamue ni njia gani ya kufuata kwa maslahi ya Klabu yetu.
Kwa kuzingatia hali hiyo basi, na kulingana na mamlaka niliyonayo kama Mwenyekiti wa YANGA, natangaza mkutano wa dharura wa Wanachama wa YANGA tarehe 18 Agosti, 2013 utakaofanyika uwanja wa Sabasaba kwenye ukumbi wa PTA saa 3.30 asubuhi waje tujadiliane na kuamua suala la Azam Television kurusha mechi za YANGA.


 Ni mwili wa marehemu Tumaini mzibua mitaro ya maji machafu kashai amekutwa kafariki katika mtaro wa kashai maeneo ya kiwanda cha pepsi zamani,chanzo cha kifo chake hakijafahamika
                                              umati wa watu waliokuja kushuhudia tukio la kusikitisha
                                    mwili wa marehemu kabla ya kutolewa kwenye mtaro
                                                  mwili wa marehemu ukitolewa mtaroni
                                                        mwili ukitolewa kwenye maji
                                        mwili ukipakiwa kupelekwa hospital kwa uchunguzi
eneo yalipomkuta mauti marehemu Tumain mzibua mitaro maarufu kashai,PICHA KWA HISANI YA DJ ANAS



Usher and Jay-Z

Illuminati/Kabbalah rapper, Jay-Z, is so very desperate for attention and money. So much so the unscrupulous rapper made an appearance in public wearing a blasphemous t-shirt said to feature Satan having sex with Jesus. People need to stop supporting this man. All he's doing is exposing you and your kids to toxic trash.


Rapper Young Jeezy wearing the same sacrilegious Satanic shirt

Jay-Z, who has released songs such as "Lucifer" which is another name for Satan, featuring lyrics that praise the devil, in addition to other songs denouncing Jesus, is clearly depraved and disrespectful of other people's religion. This man will do anything for money and attention and it is going to be his downfall.

STORY SOURCE

Jay Z Spreading Sacrilegious Sentiments?

2013-07-30-at-1.14.41-AM - "He was the Anti Christ to a certain kind of Hip-Hop fan." ~Questlove. HSK Exclusive - Jay Z’s most recent sporting of a t-shirt — bearing the image of Satan having sex with Jesus Christ — may not be blatant, but sources say, in person, the rapper’s message is clear. Don’t believe me.. Just ask Young Jeezy, who could be reppin’ the same suspected sacrilegious values. "Polo T all black, welcome to the afterlife Money is the root of all evil meet the anti Christ." Is Jay Z responsible for turning out a Jeezy back in 2010, when the 35-year-old rapper was lending his hand in promoting Jigga’s "Blueprint 3? tour? Of course. Don’t believe me.. Ask Trey Songz.

Tuesday, August 6, 2013




Usagaji (lesbianism) ni tabia ya wasichana/wanawake kujiridhisha kimapenzi wenyewe pasi kuhitaji kuridhishwa na mwanaume. Wasichana hawa hutumia vidole, ulimi na hata sex toys (dildo) kama zana wakati wa kufanya tendo hilo. Wengi wa wasichana wanaojihusisha na tabia hiyo hufurahia zaid tendo hilo tena kuliko hata wakifanya na wanaume na hivyo kuwafanya wajione kwamba hawana sababu ya kuwa na partners wa kiume. Zifuatazo hapa chini ni sababu ambazo kwa mtazamo wangu ambazo naziona ndio sababisho la wasichana wengi kujiingiza kwenye tabia hii na hata kuona ndiyo maisha yao.
Sababu hizo  ni hizi hapa
• Kuiga kutoka kwa wenzao: wengi wa wasichana ambao wamejikuta wanatabia hii wameiiga kwa wenzao, hasa wanapokuwa kwenye eneo ambalo wapo wenyewe kama vile shule hasa za bweni na maisha ya hosteli. Wasichana wengi ambao walisoma shule za bweni ama kuish maisha ya hosteli walijikuta wanafundishwa tabia hii na wenzao ambao tayari walikuwa wameshaanza tabia hizi toka kabla ya kuja shule


 Kutaka kujiexplore: kwa kawaida watoto hupenda kujiexplore viungo vyako, yaani watoto wakiwa wadogo hutaka kujidadisi wawe wa kiume ama wa kike. Mfano mzuri watoto wa kiume wanapokuwa pamoja hata wakioga hujikuta wanachezeana sehem zao za siri hadi uume unasimama, like wise watoto wa kike hupenda kujidadisi kwa kucunguliana sehem zao za siri. Tabia hii kwa umri wa udogo huwa haina neon manake khuishia hapo lakini wapo wachache ambao tabia hii hawaiachi huiendeleza hadi ukubwani na hivyo kuwa ni sababisho la kujiingiza kwenye same sex plays.
• Hormonal make up: hii hutokana na jinsi binti alivyzaliwa. Kuna baadhi ya mabianti ambao wamezaliwa na hormone za kiume na hivyo kujikuta kwamba wanatabia za kiume. Wengi wa mabinti ambao wana tabia hizi kwenye mashule ya bweni huwa na desturi ya kuoa na hivyo kuitana mume na mke na wao huwa na tabia za kukaa kimapenzi mapenzi na hwa wanaowaita waume ama wake. Wasichana kama hawa huweza kuwashawishi sana wale ambao ni wasichana wa kawaida hadi kujikuta wanaanza tabia hii ya kusagana wakiwa mashuleni na wakisha ianza basi huwa siyo rahisi kuiacha mpaka nguvu nying zimetumika kumfanya aache.


• Raha itokanayo na tendo lenyewe: wengi wa wasichana /mabinti wanaoshiriki tendo hili huwa wanadai wanaridhika sana kimapenzi wanapofanya hivi ukilinganisha na wakiwa wanafanya na wanaume. Kutokana na tabia hii wengi wa wanwake ambao wako kwenye mahusiano ya kindoa hujikuta wanafanya hii tabia ili tu kuridhika kwasababu wanapofanya na jinsia ya kiume hawaridhiki.

• Maudhi ya mahusiano ya heterosexual, maudhi yatokanayo na mahusianoa ya jinsia mbili huwa yanawakinai wengi wa wasichana/ wanawake na hivyo kugeukia upande wa pili ambapo wanaamini kwamba hakuna maudhi hayo. Wanajua wazi kwamba wakiwa wenyewe watabembelezana, na kupeana raha zisizokuwa na maudhi.


• Umbali kutoka walipo wenzi wao: kuna tabia ambayo imeibuka siku hizi na kwa masiksitiko makubwa sana inafanywa na wanawake ambao wenzi wao wako mbali nao. Baadhi ya wanawake ambao waume zao wako mbali nao kwa mauda mrefu wamejikuta wakiwa na mahusiano na jinsia moja kwa kigezo kwamba hawataki kuwasaliti waume zao. Na kwamba wanataka waume zao wakirudi wawakute hawajatumika kabisa. Sikatai usaliti ni mbaya lakini hata huu wa jinsia moja nao ni usaliti tu.

Ikumbukwe kwamba mahusiano ya jinsia ya aina moja haimaaniash kwamba hayana maambukizi ya magonjwa kama HIV/AIDS and the like hivyo yeyote anayefanya hivi kwa kigezo kwamba anataka kujikinga na magonjwa anajiongopea na kwamba chances za infection huwa kubwa tu.

Pia ni kujidanganya sana kusema kwamba mapenzi ya jinsia moja ama ya usagaji ni matamu sana kwani huwa mwanaume akifundishwa kufanya kama vile ambavyo mwanamke msagaji anaweza kufanya basi mapenzi haya yatakuwa na raha kama kawaida. Haina maana kwamba mwanamke tu ndio anayeweza kutumia ulimi wake ama kidole chake ili kumpatia mwenzie raha, ila hata mwanaume pia anaweza kutumia vitu hivi na hivyo kumpatia raha mwenzie.


Pia tabia hii ya usagaji kwa wale ambao wanaifanya hasa pale waume zao wanapokuwa safarini, eti kisa wanataka waume wakirudi wawakute hawajazini wanajidaganya sana kwani kusagana na kuzini kwa kawaida kote ni kuzini hata kama hukuingiziwa kitu ndani ya uke. Kinacho determine kutokuwa mwaminifu ni kitendo cha usaliti iwe umezini na mtu mume ama mwanamke mwenzio. Hivyo usidanganye nafsi yako kwamba huwez kuzini na mwanaume kisa utamsaliti mumeo, ukasahau kwamba hata na huyo mwanamke mwenzio pia ni usaliti.

Chokochoko  zinazoendelezwa na Rais wa Rwanda, Paul Kagame (pichani) dhidi ya Rais Jakaya Kikwete zimewakasirisha baadhi ya wananchi wakiwemo askari wa Tanzania na wakadai kuwa kiongozi huyo wa Rwanda atakiona cha moto akianza uchokozi.

Wakizungumza na gazeti  la UWAZI  mwishoni mwa wiki iliyopita kwa sharti la kutoandikwa majina yao gazetini, baadhi ya askari walisema wanamshangaa Kagame kuitishia Tanzania wakati anajua kuwa hana ubavu wa kupigana nayo.


Askari wengi waliohojiwa, walisema Rwanda haina uzoefu wowote katika vita ya kimataifa ukilinganisha na Tanzania na Kagame akianzisha vita ni yeye atakayekufa kwa sababu vita haina macho.


“Kagame anajua kwamba Rais Kikwete si mgomvi na alimpa ushauri tu kwa kumwambia azungumze na waasi nchini mwake sasa kwa nini anaendelea kufanya chokochoko? Akianza vita itamuua. Kwa nini anamdhalilisha rais wetu?” alisema askari mmoja.

 
 Akaongeza: “Kagame amezoea vita ya wao kwa wao lakini Tanzania tumeshakwenda nchini Comoro ili kumng’oa Kanali Mohamed Bacar ambaye alikuwa aking’ang’ania madaraka katika Kisiwa cha Anjouan, tulipigana na Nduli Iddi Amin na akakimbia nchi, sembuse Kagame?” alihoji askari huyo.

Akaongeza: “Tumekwenda Msumbiji, Angola, Visiwa vya Shelisheli, Darfur na hata Lebanon, siyo kwa kuvamia bali kwa kuombwa na mataifa, hivyo Kagame aache kabisa kumkashifu rais wetu, amheshimu kama anavyoheshimiwa yeye.”

Licha ya askari, wananchi mbalimbali waliohojiwa na gazeti hili, wamemshangaa Kagame kwa kumtusi Kikwete.


“Kwangu mimi nasema ni bora tukaachana na huu mpango wa Shirikisho la Afrika Mashariki kwa sababu dalili mbaya zinaonekana hata kabla ya kuungana,” alisema Naomi Erasto, Mkazi wa Masaki, Dar.

Akaongeza kuwa Kagame  ni  lazima  atambue  kwamba  Watanzania  wapo  tayari  kuilinda  nchi  yao kwa  gharama  yoyote  na  kamwe  hawawezi  kuwa  vibaraka wa Rwanda.

Rais Kikwete alimpa ushauri Kagame wakati wa mkutano wa kujadili amani na mpango wa ulinzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo uliofanyika katika Makao Makuu ya AU, Addis Ababa, Ethiopia mwaka huu.

Katika ushauri huo, Rais Kikwete alisema kwamba ni vyema Rais Kagame akakaa katika meza ya mazungumzo ya amani na Rais wa Kongo, Joseph Kabila ili kumaliza tofauti zao badala ya kutumia nguvu za kijeshi.

Badala yake, Kagame akajibu: “Nimekaa kimya kwa kipindi kirefu na kwa jinsi nilivyoweza kwa sababu nilifikiri kwamba mazungumzo ya kipuuzi yaliyozungumzwa na watu wajinga yamemalizika,” alisema Rais Kagame.

Akasema ushauri huo wa Rais Kikwete ni sawa na kuwachezea Wanyarandwa mbele ya mataifa.

Kagame aliyasema hayo katika sherehe za kuhitimu mafunzo ya maofisa wa jeshi wapatao 45 katika kituo cha mafunzo huko kwao na alipowahutubia vijana, Juni 30, 2013 kwenye mkutano wao wa “Youth Konnect” uliofadhiliwa na mke wake, Janet Kagame.

Kwa mara ya kwanza, Rais Kikwete alimtolea uvivu Rais Kagame mwishoni mwa wiki iliyopita, akasema ushauri ule aliutoa kwa nia njema kabisa kwani bado anaamini kuwa kama jambo linaweza kumalizwa kwa njia ya mazungumzo, ni vyema itumike.


“Isitoshe, ushauri ule niliutoa pia kwa Serikali za Kongo na Uganda. Katika mkutano ule Rais Museveni wa Uganda aliunga mkono kauli yangu. Rais Kagame hakusema chochote pale mkutanoni.


“Kwa upande wangu sijasema lolote kuhusu Rwanda pamoja na maneno mengi ya matusi na kejeli yanayotoka kwenye vinywa vya viongozi wake dhidi yangu. Siyo kwamba siambiwi yanayosemwa au sijui kusema au sina la kusema, la hasha, sijafanya hivyo kwa sababu sioni faida yake,” alisema Kikwete
.


waliotembelea blog