Monday, June 16, 2014


Bao la pili kwa Argentina lilifungwa na Staa Lionel Messi alipowachambua mabeki na kuachia shuti kali kipindi cha pili dakika ya 65, Akipewa pasi safi na Gonzalo Higuaín. 
Mchezaji aliyeingia kipindi cha pili akitokea benchi Vedad Ibisevic aliwafunga Argentina bao la kizembe katika dakika ya 84 baada ya wachezaji wa Argentina kupeana pasi hewa hisiyokuwa na macho na hatimaye Vedad Ibisevic kuwachoma bao akipewa pasi na Senad Lulic na kufanya 2-1.Vedad Ibisevic akiwachoma bao la kizembe Vedad Ibisevic akishangilia bao lake la dakika za mwishoni Zawadi yeu hii...1-0!!Aguero na mwenzake wakishangilia bao mapeeema huku wachezaji wa Bosnia-Herzegovina (kushoto) wakijiuliza!Lionel Messi akipongezwa baada ya kupiga frii kiki iliyosababisha mpaka Kolasinac kujifunga bao langoni mwao.Frii kiki iliyopigwa na Linel Messi katika dakika ya tatu na kutokea kujifunga bao kupitia kwa mchezaji wa Bosnia-Herzegovina Sead Kolasinac kujifunga bao na kuwapa zawadi ya bao la mapema dakika ya 3 Argentina.Mashabiki wa timu ya Argentina wakiipa sapoti timu yao usiku huu!! 
VIKOSI:
Argentina
: Romero, Zabaleta, Campagnaro, Federico Fernandez, Garay, Rojo, Maxi Rodriguez, Mascherano, Di Maria, Messi, Aguero.
Subs: Orion, Gago, Biglia, Perez, Higuain, Augusto Fernandez, Demichelis, Palacio, Alvarez, Lavezzi, Basanta, Andujar.

Bosnia-Herzegovina: Begovic, Mujdza, Bicakcic, Spahic, Kolasinac, Besic, Hajrovic, Pjanic, Misimovic, Lulic, Dzeko.
Subs: Fejzic, Vrsajevic, Vranjes, Ibisevic, Susic, Sunjic, Ibricic, Medunjanin, Visca, Hadzic, Salihovic, Avdukic.
Referee: Joel Aguilar (Slovakia)

waliotembelea blog