Monday, July 13, 2015

KIUNGO wa kimataifa wa Ujerumani, Bastian Schweinsteiger atawasili Uwanja wa Ndege wa Manchester kukamilisha uhamisho wake wa Pauni Milioni 15 kuhamia Manchester United kutoka Bayern Munich.
Nahodha huyo wa Ujerumani, ambaye ameongozana na mpenzi wake, nyota wa tenisi, Ana Ivanovic, atakwenda moja kwa moja kufanyiwa vipimo vya afya na kufanya makubaliano ya maslahi binafsi kabla ya kukamilisha uhamisho wake Old Trafford. 
Schweinsteiger anatarajiwa kwenda Manchester United katika ziara ya Amerika kucheza Kombe la Mabingwa wa Kimataifa.  
Bastian Schweinsteiger akiwa kwenye ndege kuelekea mjini Manchester kukamilisha usajili wake

Manchester United confirmed the signing via their official Twitter account on Saturday afternoon
Schweinsteiger scored against Manchester United in a Champions League tie at Old Trafford in April 2014
The Bayern Munich midfielder will bring a wealth of experience to Old Trafford and is a World Cup winner
Former Manchester United star Bryan Robson believes Schweinsteiger will improve the Red Devils
Robson believes Schweinsteiger (pictured in 2008) can play a similar role at United as Michael Carrick

cech
Ikiwa ni siku kadhaa baada ya klabu Chelsea kumuachia mlinda mlango wao namba moja Peter Cech ajiunge na klabu ya Arsenal, leo hii Chelsea wamethibitisha kumsajili mlinda mlango Asmir Begovic kutokea kutokea katika klabu ya Stoke City.
Chelsea wamemsajili Asmir Begovic (28) kwa mkataba wa miaka minne na ataungana na wachezaji wenzie siku ya jumatano katika ziara ya maandalizi ya msimu mpya wa ligi kuu nchini Uingereza.
asmir-begovic
Begovic atatumia jezi namba moja ambayo ilikuwa ikitumiwa na Peter Cech klabuni hapo. Begovic anatajwa kusajiliwa kwa dau lisilopungua pound million 8.
“Nina furaha kujiunga na Chelsea Fc, baada ya kuzungumza kwa muda mrefu na mwalimu,nafikiri naweza kuendelea nakuwa sehemu muhimu ya timu “  aliandika  Begovic kupitia account yake ya twitter
Hata hivyo Begovic akusita kuishukuru klabu yake ya zamani ya Stoke City
“Ningependa kuishukuru kwa kila kitu klabu ya Stoke City ,mwenyekiti, Mark Hughes, Tony Pulis na mwalimu wa magoalkeeper Andy Quy na wachezaji wenzangu wote bila kusahau mashabiki walionipokea vizuri mimi na familia yangu” aliandika katika account yake ya twitter
begovic


TP Mazembe imecheza mechi ya pili mfululizo bila ya ushindi, baada ya usiku wa jana kulazimishwa sare ya bila kufungana na wenyeji Moghreb mjini Tetouan, Morocco katika mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Afrika.
Watanzania Thomas Ulimwengu na Mbwana Samatta wote walicheza mechi hiyo ya ugenini.
Ulimwengu alicheza dakika zote 90 akionyeshwa kadi ya njano dakika ya 77, wakati Samatta alitolewa dakika ya 83 kumpisha Jonathan Bolingi.
Matokeo hayo yanakuja wakati Al Hilal ya Sudan iliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Smouha ya Misri mjini Omdurman jana pia.
Hilal ambayo ililazimisha sare ya 0-0 na Mazembe katika mchezo wa kwanza mjini Lubumbashi, sasa inapanda kileleni mwa kundi hilo kwa pointi zake nne, ikifuatiwa na Smouha pointi tatu.
Mazembe inashika nafasi ya tatu kwa pointi zake mbili, wakati Moghreb Tetouan yenye pointi moja inashika mkia.
Mechi za kundi B, ES Setif iliwafunga Waalgeria wenzao MC Eulma 1-0 wakati El Merreikh ilifungwa 1-0 na USM Alger ya Algeria pia.
Sasa USM Alger inaongoza kundi hilo kwa pointi zake sita, ikifuatiwa na El Merreikh pointi tatu sawa na ES Setif wakati MC Eulma haina pointi baada ya kupoteza mechi zote mbili za mwanzo.

LIVERPOOL WATUA BANGKOK NA KUPOKELEWA NA MASHABIKI LUKUKI! BRENDAN RODGERS AMWONGELEA RAHEEM STERLING!


Liverpool manager Brendan Rodgers said that there was no problem with his relationship with Raheem Sterling

The Liverpool manager spoke from the team's Plaza Athenee Bangkok hotel in Thailand after the team landed on Monday

Sterling (right), pictured with Rodgers in training last season, did not go on Liverpool's pre-season tour of Asia as he prepares to leave

Rodgers and captain Jordan Henderson are mobbed during a tour of the grand palace in Bangkok on Monday

The Liverpool manager and captain were the centre of attention during their tour of the Grand Palace

Rodgers, Henderson and Robbie Fowler (left) pose for a photo during their tour on Monday in Bangkok

Sheyi Ojo, Dejan Lovren, Lucas Leiva, Joe Maguire, Andre Wisdom and Martin Skrtel host a meet-and-greet session at the team's hotel
Skrtel (left), Rodgers (second left) and Henderson (right) on arrival in Bangkok earlier on Monday
Photographers take pictures of Henderson, Rodgers and Skrtel after their arrival in Thailand for the pre-season tour
 

Muigizaji Benson Wanjau wa Kenya maarufu kama Mzee Ojwang wa vipindi kama Vitimbi, Vioja 
Mahakamani, Vituko, Kinyonga na vingine vingi afariki dunia jana Usiku akiwa amelazwa hospitali ya taifa ya Kenyatta National Hospital. Mzee Ojwang alikuwa anasumbuliwa na Pneumonia.
ojwang3
Wakenya wengi wameguswa na msiba huu huku baadhi ya watu wakipost ujumbe tofauti kwenye mitandao wa Twitter kuonyesha kuguswa kwa msiba huu wa aliekuwa mchekeshaji mkongwe wa Kenya.


Ofa iliyokubaliwa ya Manchester City kumsajili kiungo Raheem Sterling kutoka klabu ya Liverpool imeweka rekodi mpya katika listi ya wachezaji ghali zaidi wenye asili ya taifa la Uingereza.
 
Man city imekubali kuilipa Liverpool ada ya kiasi cha £49m kwa ajili ya Sterling na kumfanya kuwa mchezaji ghali zaidi ambaye bado yupo chini ya umri wa miaka 21.
Raheem Sterling sasa anashika nafasi ya pili nyuma ya Gareth Bale aliyeuzwa miaka miwili iliyopita kwa ada iliyovunja rekodi ya Dunia ya paundi millioni 85.3 – akitokea Tottenham kwenda Madrid.
 
Andy Carrol anashika nafasi ya 3 kwa kuuzwa kiasi cha paundi millioni 35 akitokea Newcastle kwenda Liverpool.
Rio Ferdinand alinunuliwa na Manchester United kutokea Leeds United kwa £30m na kuweka rekodi ya kuwa beki ghali zaidi kwa kipindi hicho.
 
Listi kamili ya Wachezaji Ghali zaidi wa Kiingereza
  85.3m – Gareth Bale (Tottenham to Real Madrid, 2013)
£49m* – Raheem Sterling (Liverpool to Manchester City, 2015) *subject to deal going through
£35m – Andy Carroll (Newcastle to Liverpool, 2011)
£30m – Rio Ferdinand (Leeds to Manchester United, 2002)
 
£27m – Luke Shaw (Southampton to Manchester United, 2015)
£27m – Wayne Rooney (Everton to Manchester United, 2004)
£26m – James Milner (Aston Villa to Manchester City, 2010)



Izzoooo
.
Inawezekana ukawa na maswali kwamba kwanini muziki wa Hip Hop bado haujatusua kimataifa sasa Emmanuel Simwinga aka Izzo Bizness amefunguka na kuelezea sababu zinazopelekea kwa kukwama.
.
.Izzo Bizness
‘Muziki  wa Hip Hop sio kama Haupenyi kimataifa ila kuna vitu ambavyo vinakwamisha kama uongozi mbaya, mtaji mdogo kwahiyo kuna vitu vingi lakini sio kwamba muziki wetu haupenyi au hauwezi kufika ukapendwa hapana labda sasa hivi tukamzungumzia Joh Makini anafanya rapper anafanya Hip Hop na tunaona anapata rotation nzuri tu TV kubwa na wimbo wake wa Nusu Nusu hiyo inaonesha kabisa ni njia kwa wasanii wengine ambao wanafanya muziki kama wa Joh Makini’ – Izzo Bizness
joh makini
.
‘Na yeye pia amewekeza kwenye biashara yake ile kwa hiyo point ya msingi ni connection  kuwa na mtaji wa kutosha wa kuendesha biashara yako wa kupiga ngoma kali mbona tuko huku tunawajua wakina Ice Prince, Sarkodi ni ma rapper wa Africa wanao rapper kwa hiyo tufika tu cha msingi ndio kama hayo mambo niliyoyataja’ – Izzo Bizness
Wakati Bastian Schweinsteiger, Matteo Darmian na Morgan Schneiderlin wakielekea Old Trafford kukamilisha  ndoto zao za kujiunga na moja ya vilabu vikibwa duniani, Robin van Persie yeye ameondoka kwenye klabu hiyo.
  Mshambuliaji huyo wa kiholanzi ambaye alijiunga na Manchester United mnamo mwaka 2012 akitokea Arsenal kwa ada ya uhamisho wa paundi millioni 24, sasa anaelekea klabu ya Fernabahce.
Mshambuliaji huyo jana alisafiri kwenda Istanbul na alipokelewa kama mfalme na mashabiki wa klabu yake mpya.
 
Van Persie ambaye aliiwezesha United kushinda ubingwa wa 20, akifunga magoli zaidi ya 20, msimu uliopita alikumbwa na balaa la majeruhi akiishia kufunga magoli 10 tu.
“Nimekuja kujiunga na klabu nzuri na kubwa, ni heshima kubwa kwangu.” Alisema Van Persie. 
Fenerbahce walithibitisha Alhamisi kwamba wameingia kwenye mazungumzo na United  juu ya uhamisho wa ndachi huyo.
Van Persie sasa anaungana na mchezaji mwenzie wa zamani wa United, Luis Nani.

waliotembelea blog