Friday, March 17, 2017


Juan Mata(kushoto) akipongezwa na wenzake kwa bao lake la pekee katika mchezo huo wa marudiano.Juan Mata helped Manchester United move into the last eight of the Europa League.cha pili dakika ya 70 Juan Mata aliwafungia Man United bao na kubadilisha matokeo ya awali na kuwa (2-1 kwenye Agg.) Hku katika Mchezo huo wa raundi ya 16 Man United wakimbadilisha Paul Pogba dakika ya 48 aliyeumia na kuondolewa na nafasi yake kuchukuliwa na Fellaini. Manchester United pia walimbadilisha Beki Blind dakika ya 64 na kumuingiza Jones. Pia katika mchezo huo Zlatan alicheza vyema kipindi cha kwanza na kidogo afunge aligonga mwamba.Hadi dakika 45 za kipindi cha kwanza zinamalizika Man Unied 0 Rostov 0.

waliotembelea blog