Saturday, July 13, 2013



In a hushed conversation between Nando and Bimp, Nando narrated how he got infected with an STD after his liason with Selly!
For the past days we have been seeing Nando and Selly who were once an item getting distant and avoiding each other but not knowing what happened between them. Thank God that nothing can be kept secret forever and so we had to know the cause why the two fell out.
Nando disclosed that Selly gave him chlamydia a Sexually Transmitted Disease, but we can’t tell how true this is. However, if we are to go by the Tanzanian’s revelations, it explains why the two are no longer getting along well as it was the case at the beginning.
Nando for the past days has been ill, down in bed and if at all his words are to be believed, they answer the question; “What has he been suffering from?”
The Tanzanian lad and the Ghanaian dame had strong feelings for each other that it didn’t even take them  a day to open the sexual gates and enjoyed each other’s package through the deed. Despite the fact that he enjoyed Selly’s goodies, Nando made it crystal clear that he wasn’t ready for a serious relationship but just wanted to satisfy the hungry Nando in him.
All in all, we are not sure whether it was Selly who gave Nando the STD or he had it before. And there is also a possibility that he was suffering from another disease. But let’s scrutinize this; For Nando to have been sick and seeing doctors for the past days and with Selly mentioning to Oneal that Biggie told her to be using protection (condoms), it explains that she has also been treated for it.
The same Nando also openly called Selly out on her arena failure right before everyone else causing her to run off crying saying they should nominate her out to go home if that is how badly they all feel about her.
Did Selly make a mistake by getting involved with Nando who has only disgraced her every step of the way since then? What is your view on this issue?
 
 
Rais mstaafu, Benjamin Mkapa.
 
Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ameungana na wadau wengi wa amani nchini, kutaka viongozi wa dini nchini kuendelea kuhubiri amani ili kunusuru Taifa na matukio ya kuhatarisha amani ambayo yanaonekana kuinyemelea nchi.


Mkapa alisema hayo jana jijini hapa alipozungumza na maaskofu, mapadri na uongozi wa Chuo Kikuu cha Weill Bugando wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi katika jengo la maktaba ya chuo hicho, itakayopewa jina la Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kama ishara ya kutambua mchango wake katika sekta ya elimu wakati wa uhai wake.
Alisema siku za hivi karibuni, Taifa limeshuhudia matukio ya kuhatarisha amani yakiwamo yale ya waumini kuvamiwa katika nyumba za ibada, ambapo aliwataka viongozi wa dini kuungana na Watanzania kuombea nchi iendelee kuwa na amani na utulivu.
"Bila amani ni dhahiri nchi itaingia kwenye matatizo, rai yangu kwa wananchi waendelee kuombea viongozi wa dini waendelee kuhubiri amani na upendo katika Taifa letu, naomba viongozi wetu wa dini waendelee kuhubiri amani," alisema. 
Aliongeza kuwa uwepo wa amani katika Taifa lolote duniani ni muhimu, kwa sababu itasaidia kuendelea kufanyika shughuli za uzalishaji mali na ujenzi wa Taifa imara, kinyume na hapo mipango ya nchi haitatekelezwa kikamilifu amani ikitoweka.
Aliushukuru uongozi wa Chuo Kikuu cha Weill Bugando kwa kuamua kujenga maktaba hiyo, ambayo alisema yeye wakati anasoma wazazi wake walimtaka asomee upadri, udaktari au ualimu.
"Licha ya wazazi wangu kunitaka niwe padri, daktari au mwalimu, nilijikuta nikisomea fani zingine ikiwamo ya uandishi wa habari, lakini leo nafurahi kuungana nanyi katika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi katika jengo hili muhimu kwetu sote," alisema. 
Akiwa hapa, jana usiku Mkapa alitarajiwa kuwa mgeni rasmi katika harambee ya ujenzi wa jengo hilo.
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu hicho, Padri Cleophas Mabula, alisema jengo hilo limejengwa kwa lengo la kutekeleza azma ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania la utoaji elimu bora katika fani za afya.
"Lakini pia ni kutokana na ongezeko la wanafunzi chuoni hapa, ambapo kwa sasa chuo kina wanafunzi 1,536 kutoka 10 wakati kinaanzishwa mwaka 2003, hivyo tumeona kuna mahitaji ya maktaba kubwa na ya kisasa," alisema. 
Mabula alisema jengo hilo linatarajiwa kuwa Kituo cha kujifunzia, huku likiwa na maktaba, kituo cha Tehama, maabara zitakazokuwa zikiendeshwa kwa teknolojia ya Habari na Mawasiliano na huduma nyingine pia. 
Jengo hilo linajengwa na mkandarasi Shirika la Uchumi la JKT-SUMA, kwa gharama ya Sh bilioni 3.4 fedha za ndani, huku kazi ya usimamizi ikifanywa na kampuni ya MK ArchPlan Associates ya Mosh
 



 


 Mwanamuziki staa wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ambaye amepotea katika anga la muziki kwa kipindi kirefu kutokana na matatizo ya matumizi ya madawa ya kulevya, amejitokeza akiwa amefutuka. Hivi karibuni, Ray C ameibuka na kuanza kutundika picha na vipande vya video zake katika kurasa zake kwenye mitandao ya kijamii, ikiwa ni sehemu ya kujiweka karibu na mashabiki wake.
Kufuatia ishu hiyo, kumeibuka mshtuko mkubwa kwa baadhi ya watu kutokana na picha hizo kumuonesha ‘bidada’ akiwa amenenepeana ghafla tofauti na alivyozoeleka.



UNENE UNATOKANA NA DOZI?
Baadhi ya mashabiki wake katika mtandao wa Instagram walidai kuwa inawezekana unene huo unatokana na dozi ya kuacha ‘unga’.
Hata hivyo, wengine walimshukuru Mungu kwa kuwa sasa afya ya mwanadada huyo inaonekana kurudi katika hali yake ya kawaida tofauti na miezi kadhaa aliporipotiwa na gazeti hili akiwa amezimika kutokana na matumizi ya unga.

AFUTUKA

Katika picha hizo, Ray C anaonekana kufutuka usoni, kifuani na mapajani ambapo awali kabla ya matatizo hakuwa hivyo.
Wengi walimshukuru Mungu kumuona tena Ray C akiwa mzima pamoja na ukimya wake katika muziki.
Ray C amekuwa akitundika picha hizo kwa ajili ya mashabiki na marafiki hasa kupitia Instagram akiambatanisha na maelezo huku nyingine zikizungumza zenyewe.

HATAKI KUTAJA ANAPOISHI

Maelezo ya picha hizo yamekuwa yakielezea maisha ya Ray C kwa sasa akiwa kwenye mjengo wa maana bila kutaja ni sehemu gani.
Kwa mujibu wa mashabiki wa Ray C, mwanadada huyo kwa sasa anakula bata tu huku akimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye anamuita ‘Daddy’ kwa kuwa ndiye aliyemsaidia kimatibabu.

DAKTARI ANASEMAJE?
Daktari mmoja maarufu jijini Dar aliyehojiwa na gazeti hili, alibainisha kuwa kinachosemwa na mashabiki wa Ray C kwamba kinachomnenepesha ni dozi ya kuacha madawa ya kulevya, kinaweza kuwa kweli au kisiwe kweli.
Aliongeza kuwa kunenepa kunachangiwa na vitu vingi kama kupata maisha mazuri yasiyohusisha msongo wa mawazo au mihangaiko ya hapa na pale hivyo anachofanya ni kula, kulala na kustarehe tu.


 Rapper Nay wa Mitego leo anasherehekea siku ya kuzaliwa ya mchumba wake aliyekuwa mjamzito kwa huzuni kubwa baada ya mchumba wake huyo kukipoteza kichanga chao kufuatia kuanguka jana usiku.


“Jana usiku mke wangu alianguka, alifikia tumbo kwahiyo akawa anasikia kizunguzungu nilipompeleka hospitali daktari akasema mtoto amekufa,” Nay .

Awali, Nay wa Mitego ameweka picha ya mchumba wake kwenye Instagram akiwa hospitali na kuandika: 


Happy bday my lv, Mungu akupe maisha marefu na yenye mafanikio tele. Japo imekukuta uko vibaya tumempoteza kijacho bt ni mipango ya mungu, nakupenda sana mke..!! #966#

Katika fundrising iliyofanyika goldcrest leo hii siku ya ijumaa tarehe 12/07/2013 ilikua ya mafanikio makubwa ambapo mawaziri kama mh wasira ,wiliam ngeleja ,anthon dialo na watu wengine kibao walikuepo na kufanikisha kupatikana kwa kiasi cha shiling mil 400 
hafla hiyo ilihostiwa na mh benjamin william mkapa
 
 sadru shaking hand with hon benjamin william mkapa

  ebwana ilikua ni bonge la paty ladoes walitokelezea kinomaaaaa

































                                                                                
                                                                                                













































 mdede akishake hand na mkapa




atukuzwe akimwaga sera



























































chezeaaaa atukuzwe weweeeee






ebwana  eee mambo kibao yalikuepo ila kwa hapa nadhani nimekufurahisha kiasi ila video zitakuiji hivi punde stay tuned na bugando blog
ila usiache kulike page yetu


   vitu vichache ambavyo unaweza kua hukuviskia au kuviona katika fund rising.
Dr kabangila alitoa michango miwili tofauti tofauti kwa niaba ya viongozi wa chama cha chadema.

haya ni majina ya watu na michango yao waliyotoa
STEVEN WASIRA.................5MIL
MAWE MATATU...................3MIL
MKUU WA MKOA MWANZA...........2MIL
WILLIAM NGELEJA...............10MIL
STEVEN KEBWE..................3MIL
BALUGU........................3MIL
WENJE.........................LAKI5(KABANGIRA ONBEHALF)
JAJI........................3MIL
CRDB MANAGER BUGANDO BRANCH.....3MIL
NHIF.........................3MIL
SUMA JKT..........1MIL
GOLD CREST...........MIL 2 NA LAK TATU +UKUMBI BUREEE
CF BULDING................2MIL
MKOMBOZI BANK................LAKI 5
TTCL ...................2MIL
POSTA.....................LAKI 5
KASHEKULO.................LAKI 5
BISHOPS ...................MIL 45
DIALLO....................2MIL
CCM MKOA...................1MIL
LPF.........................1.5MIL
MSTAHIKI MEYA MWANZA.........2MIL
KITIME..........................10MIL
CHENGE.......................2MIL
MADARAKA NYERERE...................3COWS
DC UKEREWE........................1MIL
SADRU MOHAMED (STUDENT)..............ELFU ISHIRINI
MSANA......................700000
STUDENTS....................50000
SERIKALI YA WANAFUNZI CHINI YA MDEDE..................300000























































































































































































































































waliotembelea blog