Tuesday, December 15, 2015


KAMATI ya Marefa ya UEFA imeteua Marefa 18 ambao watasimamia Mechi 51 za Fainali za Kombe la Mataifa ya Ulaya, EURO 2016, zitakazochezwa Nchi France Makani.
Kama ilivyokuwa kwa EURO 2012 na Mechi za kufuzu Fainali za UEFA EURO 2016, Mechi 1 itachezwa na Refa akisaidiwa na Wasaidizi Wawili wa pembeni mwa Uwanja na Wawili kwenye Mstari wa nyuma ya Magoli.
Wengi wa Marefa Wasaidizi watatoka Nchi moja na Refa wa Mechi.
Listi ya mwisho ya Marefa kwa ajili ya Fainali za EURO 2016 itathibitishwa Februari 2016.
LISTI KAMILI:
Martin Atkinson (England)
Felix Brych (Germany)
Cüneyt Çakir (Turkey)
Mark Clattenburg (England)
William Collum (Scotland)
Jonas Eriksson (Sweden)
Ovidiu Hategan (Romania)
Sergey Karasev (Russia)
Viktor Kassai (Hungary)
Pavel Královec (Czech Republic)
Björn Kuipers (Netherlands)
Szymon Marciniak (Poland)
Milorad Mažić (Serbia)
Svein Moen (Norway)
Nicola Rizzoli (Italy)
Damir Skomina (Slovenia)
Clément Turpin (France)
Carlos Velasco Carballo (Spain)


Remy dakika ya 77 aliipatia Chelsea bao na kufanya 2-1 kwa kuunganisha mpira wa kichwa.Riyad Mahrez dakika ya 48 aliwachoma Chelsea bao la pili na kufanya 2-0.Vardy dakika ya 34Diego Costa kaanza kwa ChelseaRiyad Mahrez dakika ya 48
VIKOSI:
Leicester:
Schmeichel; Simpson, Huth, Morgan (c), Fuchs; Mahrez, Kanté, Drinkwater, Albrighton; Ulloa, Vard
Subs: Schwarzer, Wasilewski, Benalouane, Dyer, King, Inler, Okazaki
Chelsea: Courtois; Ivanovic, Zouma, Terry (c), Azpilicueta; Ramires, Matic; Willian, Oscar, Hazard; Diego Costa
Subs: Begovic, Cahill, Mikel, Fabregas, Kenedy, Pedro, Remy



Dani Alves, right, wears sunglasses on arrival ahead of Barca's bid to win the title for a third time in six years

Autograph hunters ask for the signatures of Sergio Busquets, left and Thomas Vermaelen

Brazil star Neymar (centre) wore dark sunglasses, and kept his headphones in as the players went through

Manager Luis Enrique will be hoping to secure a fifth trophy of 2015 when his side play in the tournament



Msaani maarufu wa bongofleva, Linex akifanya vitu vyake katika uwanja wa Mlandege mjini Iringa juzi kwenye tamasha la muziki (Mtikisiko) lililoandaliwa na redio Ebony FM ya mjini Iringa kwa udhamini wa kampuni ya simu za mkononi Tigo. Tamasha hilo hufanyika kila mwaka katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.
Msaani maarufu wa Hip hop,Darasa akifanya vitu vyake katika uwanja wa Mlandege mjini Iringa juzi kwenye tamasha la muziki (Mtikisiko) lililoandaliwa na redio Ebony FM ya mjini Iringa kwa udhamini wa kampuni ya simu za mkononi Tigo. Tamasha hilo hufanyika kila mwaka katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini
Umati wa wananchi wa Iringa waliojitokeza katika uwanja wa Mlandege mjini Iringa juzi kwenye tamasha la muziki (Mtikisiko) lililoandaliwa na redio Ebony FM ya mjini Iringa kwa udhamini wa kampuni ya simu za mkononi Tigo. Tamasha hilo hufanyika kila mwaka katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini .
Msaani maarufu wa Hip hop, Roma Mkatoliki akifanya vitu vyake katika uwanja wa Mlandege mjini Iringa juzi kwenye tamasha la muziki (Mtikisiko) lililoandaliwa na redio Ebony FM ya mjini Iringa kwa udhamini wa kampuni ya simu za mkononi Tigo. Tamasha hilo hufanyika kila mwaka katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini

waliotembelea blog