Sunday, September 7, 2014



Wachezaji wa Simba wakishangilia ushindi wa timu yao baada ya kuifunga Gor Mahia ya Kenya 3-0 katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Gor Mahia ya Kenya, Kennedy Opiyo katika chezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika leo kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Simba ilishinda 3-0.

Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Gor Mahia ya Kenya, Kennedy Opiyo katika chezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika leo kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Simba ilishinda 3-0.

Uniwezi...

Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akimtoka Kennedy Opiyo.

Okwi akiambaa na mpira huku Kennedy Opiyo akimsindikiza kwa macho.

Okwi akiipangua ngoome ya Gor Mahia.

Beki wa Gor Mahia, Harun Shakana akijaribu kumzuia.

Okwi akimtoka Harun Shakana.

Okwi akimtoka beki wa Gor Mahia, Harun Shakana

Okwi akichuana na beki wa Gor Mahia, Harun Shakana

Ramadhani Singano 'Messi' akichuana na beki wa Gor Mahia ya Kenya.

Kikosi cha Gor Mahia.

Kikosi cha Simba.

Golikipa wa Gor Mahia, Fredrick Onyango akiokoa moja ya hatari langoni mwake.

Mashabiki wa Simba wakishangilia ushindi wa timu yao.(Picha na Francis Dande)
Screen Shot 2014-09-07 at 12.30.26 AM 
Pamoja na idadi ya matukio mengi ya Majambazi Tanzania imekua ni nadra sana kusikia Majambazi wamevamia kituo cha Polisi na kusababisha mauaji ya askari pamoja na kuiba silaha.
Kwa mujibu wa Radio One, hii imetokea kwenye mkoa mpya wa Geita katika kituo cha Polisi Bukombe ambapo Majambazi hawa walivamia na kuwauwa askari polisi wawili na wengine wawili kujeruhiwa na kisha kuiba silaha kadhaa kutoka kwenye kituo hicho.
Majambazi wameingia kwenye rekodi za matukio makubwa 2014 baada ya wengine wanaoaminika kuwa raia wa Burundi, kuirushia daladala bomu la kutupa kwa mkono huko Kigoma baada ya daladala hiyo kugoma kusimama iliposhtukia mchezo wa kutaka kutekwa hivi karibuni.

waliotembelea blog