Friday, July 24, 2015



Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mbrazil, Andrey Coutinho akishuka kwenye basi la Yanga muda mfupi uliopita tayari kwa mechi ya saa 10:00 dhidi ya KMKM ya Zanzibar

Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ (mbele) na Haruna Niyonzima (nyuma yake) wakielekea vyumba vya kubadilishia nguo tayari kwa kipute cha Kombe la Kagame dhidi ya KMKM

Joseph Zuttah kushoto anaanzia benchi leo

Kocha msaidizi wa Yanga na kocha mkuu wa Taifa Stars, Charles Mkwasa atakuwa kwenye benchi la ufundi akimsaidia mkuu wake, Mholanzi, Hans van der Pluijm.



article-2703330-1FE75F6800000578-371_634x509
Zaidi ya saa 48 zimepita toka habari kuhusu uhusiano mbaya kati ya mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayeichezea Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo na kocha wa Real Madrid Rafael Benitez zianze kuchukua headlines, na kuna ishu ambayo imekuwa ikiandikwa pia kwamba Ronaldo hana furaha Madrid na huenda akarejea Man United.
BARCELONA, SPAIN - OCTOBER 07:  Cristiano Ronaldo of Real Madrid celebrates scoring his sides opening goal during the la Liga match between FC Barcelona and Real Madrid at the Camp Nou stadium on October 7, 2012 in Barcelona, Spain.  (Photo by Jasper Juinen/Getty Images)
Hata hivyo Manchester United huenda ikaweka rekodi ya kumkurudisha Cristiano Ronaldo baada ya miaka sita toka aondoke klabuni hapo na kujiunga na Real Madrid ya Hispania kwa dau lililoweka rekodi ya dunia pound milioni 80.
Cristiano-Ronaldo-5
Licha ya kuwa Manchester United hadi sasa imewasajili Memphis Depay, Matteo Darmian, Bastian Schweinsteiger na Morgan Schneiderlin ziko stori pia kwamba wanataka kuimarisha Kikosi cha timu yao kwa kumrejesha Ronaldo.
Cristiano_Ronaldo_3103380b
Ronaldo alijiunga  Man United mwaka 2003 akitokea Sporting Lisbon ya Ureno kabla ya 2009 kuhamia Real Madrid ya Hispania kwa uhamisho ulioweka rekodi ya dunia na sasa habari za yeye kurejea Man United zimezidi kuenea baada ya kupishana kauli mazoezini na kocha Rafael Benitez wakiwa Australia.
Cristiano+Ronaldo+Manchester+United+v+West+CBbY4ruN-Chl
Nimekuwekea video hapo chini ya kilichotokea kati ya Ronaldo na Benitez na kusababisha kuwepo story nyingi kwamba hawako kwenye uhusiano mzuri kwa sasa.
Generated by  IJG JPEG Library
International Champions Cup bado inaendelea Australia kwa timu tatu kushiriki ambazo ni Manchester City kutokea Uingereza, Real Madrid ya Hispania na AS Roma ya Italia… Michuano imeandaliwa na kampuni ya Audi, ambapo July 21 2015 Man City ilicheza na AS Roma ya Italia katika uwanja  wa Melbourne Cricket Ground na Man City kushinda kwa jumla kwa penati 5-4 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya goli 2-2.
1690752_heroa
July 24 2015 tayari imekamilika mechi kati ya Man City na Real Madrid ya Hispania mchezo uliofanyika katika uwanja wa  Melbourne Cricket Ground, mchezo umemalizika kwa Real Madrid kushinda kwa kuifunga Man City kwa jumla goli 4-1, magoli ya Madrid yalifungwa na Karim Benzema dakika ya 21, Cristiano Ronaldo dakika ya 25, Pepe na Denis Cheryshev dakika ya 73 huku bao pekee la Man City likifungwa na Yaya Toure dakika ya 45.
3000
Nimekusogezea video na picha za mchezo huo ilivyokuwa.



Generated by  IJG JPEG Library 

Generated by  IJG JPEG Library
Shabiki aliingia uwanjani ili amshike mkono Bale huku mtu mwingine akionekana kumzuia.

Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library
Generated by  IJG JPEG Library

Generated by  IJG JPEG Library

2015-07-23_ENTRENO_48.v1437689442
Pique kushoto akiwa na kombe la NBA, Harrison Barnes katikati akiwa na kombe la URFA na Busquet kulia akiwa na mpira wa Basketball
Klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambayo ipo Marekani kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu Hispania imezidi kujenga uhusiano mzuri na NBA Barcelona siku chache zilizopita ilimualika mkali wa Basketball anayeichezea Los Angels Lakers Kobe Bryant kutembelea timu yao wakati wa mazoezi sambamba na kutazama mataji yao.
CKpPnucWEAAnvrJ
July 23 FC Barcelona ilitembelea  San Francisco State University mahali ambapo ilikutana na mkali mwingine wa Basketball Harrison Barnes wa Golden State Warrios akiwa na kombe la NBA walilotwaa mwaka huu, huku Fc Barcelona wakiwa na kombe la klabu bingwa barani Ulaya.
CKnwH_NWEAAlrpU
Kitu kilichovutia zaidi pale Harrison Barnes alipokuwa anawafundisha Iniesta, Busquets na Pique namna ya kucheza Basketball lakini Gerard Pique ndiye alionekana kuelewa haraka mafunzo ya mchezo huo.
CKnwH_NWEAAlrpU
1724414_1019640838080044_2059384265_n 

2015-07-23_ENTRENO_49.v1437689446 

CKnr5xgWgAAYOvx 

11356570_859414310818080_630464025_n 

10950442_468659939962684_433280039_n
2015-07-23_ENTRENO_43.v1437689423
2015-07-23_ENTRENO_47.v1437689439 

2015-07-23_ENTRENO_18.v1437689401 

2015-07-23_ENTRENO_19.v1437689405 

2015-07-23_ENTRENO_39.v1437689409 

2015-07-23_ENTRENO_41.v1437689416 (1) 

2015-07-23_ENTRENO_41.v1437689416 

@fcbarcelona-and-@warriors-tourFCB-MeetTheChampions 

2015-07-23_ENTRENO_10.v1437693734 (1) 

2015-07-23_ENTRENO_15.v1437689386



indoor10
Uliwahi kufikiria kuna beach zinajengwa ndani ya majengo?  katika nchi nyingi zilizoendelea hilo ni jambo la kawaida kuwepo kwa fukwe za kupumzika ndani ya majengo makubwa.
hese are the incredible images of a tropical island paradise INSIDE a building so big could easily fit eight football pitches. A sandy beach, spa, waterfall, whirlpools and water slides are just a few of the attractions inside the old airship hanger. The indoor tropical island, located in Brandenburg, Germany, boasts an air temperature of 26 degrees, with water being 28C in the Tropical Sea and 32 C in the Bali Lagoon. Inside the paradise also host to the worlds biggest indoor rainforest, which features over 50,000 plants and spans over a 10,000 metre square area
Fukwe ya ndani inayoongoza kwa ukubwa zaidi duniani, inapatikana Ujerumani..ukubwa wake ni sawa na viwanja nane vya mpira wa miguu
hese are the incredible images of a tropical island paradise INSIDE a building so big could easily fit eight football pitches. A sandy beach, spa, waterfall, whirlpools and water slides are just a few of the attractions inside the old airship hanger. The indoor tropical island, located in Brandenburg, Germany, boasts an air temperature of 26 degrees, with water being 28C in the Tropical Sea and 32 C in the Bali Lagoon. Inside the paradise also host to the worlds biggest indoor rainforest, which features over 50,000 plants and spans over a 10,000 metre square area
Krausnick Indoor Beach, kutoka Ujerumani.
hese are the incredible images of a tropical island paradise INSIDE a building so big could easily fit eight football pitches. A sandy beach, spa, waterfall, whirlpools and water slides are just a few of the attractions inside the old airship hanger. The indoor tropical island, located in Brandenburg, Germany, boasts an air temperature of 26 degrees, with water being 28C in the Tropical Sea and 32 C in the Bali Lagoon. Inside the paradise also host to the worlds biggest indoor rainforest, which features over 50,000 plants and spans over a 10,000 metre square area
Indoor Rainforest beach-Berlin
hese are the incredible images of a tropical island paradise INSIDE a building so big could easily fit eight football pitches. A sandy beach, spa, waterfall, whirlpools and water slides are just a few of the attractions inside the old airship hanger. The indoor tropical island, located in Brandenburg, Germany, boasts an air temperature of 26 degrees, with water being 28C in the Tropical Sea and 32 C in the Bali Lagoon. Inside the paradise also host to the worlds biggest indoor rainforest, which features over 50,000 plants and spans over a 10,000 metre square area
Sand Indoor beach-Newyork
indoor8
Venus Fort ipo Tokyo,Japan
indoor10
Sheraton Seagaia Resort-USA
indoor11
Indoor Beach Resort, ipo Ujerumani
indoor13
Tropical Holiday Resort, ipo Ujerumani
indoor14
Waterparks ipo Canada
indoor15
Bali-Pavillon Tropica-Texas
new cent
New Century Indoor beach, ipo China
Indoor Beach – Tropical Island Resort-


Sunday-Oliseh
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars inatarajia kucheza mchezo wa pili wa kuwania kufuzu kucheza michuano ya AFCON 2017Tanzania ambayo ipo nafasi ya mwisho katika kundi G lenye timu za Nigeria, Chad na Misri inatarajia kucheza na timu ya taifa ya Nigeria September 5 2015 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Oliseh
Kwa upande wa Nigeria ambao wameonesha kujiimarisha zaidi kwa ajili ya mchezo huo, kocha wa timu hiyo Sunday Oliseh akiwa na siku kadhaa toka arithi nafasi hiyo kutoka kwa kocha aliyetimuliwa Stephen Keshi ameanza kutaja nyota atakaowatumia kwa ajili ya mchezo huo.
_60300059_mikel_obi_guinea_gtty
Katika mipango ya Kocha Oliseh, kikosini anatajwa pia kuwepo kiungo wa Chelsea John Obi Mikel ambaye hakuitwa timu ya taifa ya Nigeria tangu November 2014, taarifa kutoka kwa afisa wa ngazi za juu za  soka nchini Nigeria amevujisha stori ya kuitwa kwa Obi.
LUBANGO, ANGOLA - JANUARY 25:  John Obi Mikel of Nigeria during the Africa Cup of Nations Quarter Final match between Zambia and Nigeria from the Alto da Chela Stadium on January 25, 2010 in Lubango, Angola. (Photo by Lefty Shivambu/Gallo Images/Getty Images)
Mikel bado anabakia kuwa moja kati ya nyota wa Nigeria wanaocheza Ulaya licha ya kuwa hapati nafasi ya kucheza mara kwa mara na Chelsea, hizo ndio sababu za Oliseh kumjumuisha katika mipango yake ya kuanza kuwania nafasi kufuzu kucheza AFCON dhidi ya Tanzania mwezi ujao… Mikel atacheza nafasi ya kiungo mkabaji kama anavyocheza akiwa na klabu yake” >>>> hii ni sehemu ya nukuu kwenye stori za Nigeria ambapo wanasema aliyetoa taarifa ni mmoja ya Viongozi wa juu kwenye Soka Nigeria japo hawakumtaja jina.
Chelsea's John Obi Mikel smiles after scoring a goal against Sporting during their Champions League soccer match at Stamford Bridge in London December 10, 2014. REUTERS/Eddie Keogh      (BRITAIN - Tags: SPORT SOCCER)
Nigeria ipo nafasi ya pili kwa point tatu katika msimamo wa kundi G nyuma ya Misri ambayo ina point tatu na magoli matatu baada ya kuifunga timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars.

waliotembelea blog