Monday, November 25, 2013

Mico the Best ni msanii mkubwa sana nchini Rwanda.... Kwasasa yupo hapa Tz kwaajili ya
Collabo ya wimbo wake mpya Sinakwibagiwe(Sijakusahau) Pale Mj-Recordz chini ya Dr. Chaliii! 
Dr. Chali mtamboni akisababisha yake....

THE MAKING OF NATAKA KULEWA (MUSIC VIDEO)

Haya ni maandalizi ya awali yakifanyika,Mafundi wakifunga vyombo vya muziki n.k
Director Raqey toka I-VIEW akifanya yake pia...
Hawa ni baadhi ya Models waliyoshiriki katika Video hii....
Esma Khan
Lady Naa
Super Model Nance
Jully
Hapa Wasafi tukitupia nini na nini...
Mose Iyobo
Dumi Utamu
Mose Iyobo,Emma Platnumz & Rama (Wasafii)
Hata mimi kiti hiki kilikuwa kinanihusu pia....


Nikifanya Interview na Martin Kadinda

Me,Raqey & Martin
Ndio kwanza shughuri imeanza ....Platnenga tena nikujipigia tu Drums


Mose Iyobo




Emma Platnumz

Dumi Utamu





Nisha kageuka kuwa Pedeshee wa Kike nikumwaga minoti tu LOL!
& Ma` Sister Esma
Hawa ni Wazee waliyoshiriki pia kwenye Video hii

GET READY FOR THE NEW VIDEO TOKA KWA KEISHA ft. DIAMOND PLATNUMZ

Nikiteta jambo na Keysher kabla ya kushoot...
Taym ya Makeup sasa....


Hii ndio ilikua scene ya mwanzo kushoot...



Basi wadaku msije mkazua yenu tena... maana hamkawii....Video tu HIII!!!

Baadhi ya crew ya Next Level ikitimiza wajibu wake....
 Basi mwanadada huyu anavyonishangaa navyopaka wanja...LOL!
Kwa mara nyingine tena mmmh! mwenzangu....


Hii ni moja ya scene...tulizozishoot tukiwa ndani ya Gari










Hizi ndo scene nnazozipenda mie sasa za maakuli






Kazi na dawa...huu ulikuwa ni muda wa makulakula



Dumi Utamu tena...



Baadhi ya models walioshiriki
Keisha akifanya Makeup...



Alawi Junior & Mubenga

waliotembelea blog