Wednesday, September 30, 2015


Ukitaja Tuzo kubwa zinazohusu Muziki wa Tanzania ni Tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards… Nigeria nao wanazo za kwao, zinaitwa Headies Awards na good news ni kwamba tayari wakali wanaowania Tuzo hizo wamefahamika.. yani ile list ya Nominees wote niko nayo tayari.
Tumeona kwa KTMA huwa inatoa Tuzo pia kwa baadhi ya wasanii wa nje, mfano kipengele cha ‘Wimbo Bora Afrika Mashariki‘… YES, Nigeria nao wana Category ya AFRICAN ARTISTE ambapo Nominees wa hapo ni wasanii wanaofanya poa kutoka Nchi mbalimbali za Afrika nje ya Nigeria.
Category hiyo kwenye Headies Awards 2015 imewakutanisha wakali kama AKACassper Nyovest, na Uhuru toka South AfricaSarkodie wa Ghana pamoja na Diamond Platnumz toka Tanzania.
List ya Nominees yote hii hapa mtu wangu.
BEST RECORDING OF THE YEAR
Ojuelegba – Wizkid
Eyo – Asa
Wish Me Well – Timi Dakolo
Bez – There’s A Fire
Cobhams – Do the right Thing
PRODUCER OF THE YEAR
Don Jazzy – Godwin (Korede Bello)
Mastakraft – Wiser (Flavour)
Young John – Bobo (Olamide)
Shizzi – Fans Mi (DavidO)
Legendury Beatz – Ojuelegba
Cobhams – There’s A Fire (Bez)
BEST MUSIC VIDEO
This award goes to the video director.
Jamb Question (Simi) – Mex
Crazy (Seyi Shay) – Meji Alabi
The Sound (Davido Feat. Uhuru & Dj Buckz) – Sesan
Katapot (Reekado Banks) – UnLimited LA
Baby Jollof (Solid Star Feat. Tiwa Savage) – Clarence Peters
BEST R&B/POP ALBUM
Bed of Stone – Asa
A.Y.O. – Wizkid
King of Queens – Yemi Alade
Rich & Famous – Praiz
Double Trouble – P Square
BEST R&B SINGLE
Heartbeat – Praiz
Baby Daddy – Iyanya
Say You Love Me – Leriq ft. Wizkid
Do the Right Thing – Cobhams Ft. Bez
Wish Me Well – Timi Dakolo
BEST POP SINGLE
Ojuelegba – Wizkid
Collabo – P-Square Feat. Don Jazzy
My Woman, My Everything – Patoranking Feat. Wande Coal
Woju – Kiss Daniel
Godwin – Korede Bello
Bobo – Olamide
BEST REGGAE/DANCEHALL SINGLE
German Juice – Cynthia Morgan
Sanko – Timaya
My Body – Solid Star Feat. Timaya
Daniella Whyne – Patoranking
Cheques and Balance – Burna Boy
Bad Girl Special (Remix) – Mr. 2Kay feat. Cynthia Morgan & Seyi Shay
BEST RAP ALBUM
Baba Hafusa – Reminisce
Street OT – Olamide
Chairman – M.I.
Above Ground Level – Modenine
BEST COLLABO
Local Rapper – Reminisce Feat. Olamide & Phyno
Hold on – Joe El Feat. 2Face Idibia
Bad Girl Special (Remix) – Mr. 2Kay Feat. Cynthia Morgan & Seyi Shay
Shoki (Remix) – Lil’Kesh Feat. Olamide & David O
Do The right Thing – Cobhams ft. Bez
Sisi – Praiz ft. Wizkid
BEST RAP SINGLE
King Kong – Vector
Bad Belle – M.I
Bank Alert – Ill Bliss
Local Rapper – Reminisce Feat. Olamide, Phyno & Stomrex
G.O.D – T.R
BEST VOCAL PERFORMANCE (MALE)
Praiz – If I fall
Shaydee – High
Timi Dakolo – Wish Me Well
Cobhams – Do The Right Thing
Bez – There’s A Fire
BEST VOCAL PERFORMANCE (FEMALE)
Waje – Coco Baby
Aramide – Iwo Nikan
Asa – Bed of Stone
Simi – Tiff
Yemi Alade – Duro Timi
NEXT RATED
Reekado Bankz
Kiss Daniel
Cynthia Morgan
Korede Bello
Lil’ Kesh
HIP HOP WORLD REVELATION
Praiz – Rich n Famous
Yemi Alade – King of Queens
Skales – Man of the Year
LYRICIST ON THE ROLL
Ill Bliss – Bank Alert (remix) Feat. Ice Prince, Eva Alordiah & Phyno
Vector – King Kong
Reminisce – Baba Hafusa
G.O.D – T.R
BEST STREET-HOP ARTISTE
Reminisce – Skillashi
Olamide – Bobo
Small Doctor – Mosquito Killer
Mastakraft feat. Olamide, CDQ and David O – Indomie
Falz The Bad Guy Feat. Yemi Alade & Poe – Hello Bae
BEST ‘ALTERNATIVE SONG
Di’Ja – Awwwwww
Bez – There’s A Fire
Asa – Satan Be Gone
Adekunle Gold – Sade
Ugovinna – Rain On Me
Simi – Tiff
ALBUM OF THE YEAR
Rich n Famous – Praiz
King of Queens – Yemi Alade
Street OT – Olamide
Chairman – M.I.
A.Y.O. – Wizkid
Double Trouble – P Square
ARTISTE OF THE YEAR
Olamide
Davido
Wizkid
Yemi Alade
P Square
SONG OF THE YEAR
Ojuelegba – Wizkid
Godwin – Korede Bello
Kiss Daniel – Woju
Olamide – Bobo
AFRICAN ARTISTE
Diamond Platnumz
Cassper Nyovest
Sarkodie
Uhuru
AKA
HALL OF FAME
2Face Idibia
2-1 Smalling anagongewa kisigino na Juan Mata kama pasi ya kijanja na kufunga bao na kuwaacha mabeki wa Wolfsburg wakiduwaa! Smalling alifunga bao hilo kipindi cha pili dakika ya 53 na kuipa bao la pili Man United.David De Gea kama kawaida kufurahi Timu inapopata bao!Hoi!!1-11-1 man u penati ya mata dakika 341-11-1 Mata akishangilia na mpira baada ya kusawazishaYes! 1-1Ni balaa tupu! wote wanazo 31-0Wakijiuliza!!



Sergio Aguero ndie aliyeipatia Man City bao kwa mkwaju wa penati usiku huu kwenye Uefa Champions League.

Aleksandar Kolarov akishangilia na wenzake kwenye Ushindi baada ya kupata bao kwa mkwaju wa penati Man City katika dakika za lala salama.
Martin Demichelis kwenye patashika kupata bao mbele ya Julian Korb lakini  Nicolas Otamendi alikuwepo kwenye kasi kuumalizia

Korb akishuhudia kipute kikiziona nyavu
Otamendi ndie aliyeisawazishia bao Man City na kufanya 1-1

Manchester City walifungiwa bao na Nicolás Otamendi aliisawazishia bao dakika ya 65 na dakika za lala salama dakika ya 90 Sergio Agüero aliifungia bao la Ushindi Man City kwa mkwaju wa penati na kufanya 2-1. Huku bao la Borussia Monchengladbach likifungwa na Lars Stindl dakika ya 54www.bukobasports.comBorussia Mönchengladbach v Man City 


 Cristiano Ronaldo akishangilia bao lake baada ya kuifunga timu ya  Malmo kwenye Uwanja wa  Swedbank Stadium na huku likiwa bao lake la 500 kisoka, Dakika ya 90 pia aliipatia bao la pili Real Madrid

1-0 Ronaldo akishangilia

Ronaldo akizungukwa na wenzake kupongezwa baada ya kuweka historia kwenye maisha yake ya kisoka leo hii kwenye mchezo wa UEFA Champions Ligi
Cristiano Ronaldo alifunga bao dakika ya 29 na likiwa bao lake la 500 kisoka.  Dakika ya 90 Ronaldo alifunga tena bao la pili na mtanange kumalizika kwa bao hizo 2-1.


Refa ni Ahmada Simba(Kagera)


Baada ya Jana Klabu za Jiji la London, Arsenal na Chelsea, zote kubamizwa kwenye Mechi zao za pili za Makundi yao ya UEFA CHAMPIONS LIGI, UCL, Leo ni zamu ya Klabu mbili za Jiji la Manchester.
Leo, Manchester United wako kwao Old Trafford kucheza Mechi yao ya pili ya Kundi B na Klabu ya Germany VfL Wolfsburg.
Man United walifungwa Mechi yao ya kwanza huko Netherlands 2-1 na PSV Eindhoven.

Nao Man City, ambao wako Kundi D, walifungwa Mechi yao ya kwanza wakiwa kwao Etihad 2-1 na Juventus na Leo wako huko Germany kucheza na Borussia Monchengladbach.
Kwenye Mechi za Jana, Arsenal walipokea kipigo chao cha pili mfululizo kwenye Kundi lao baada ya kuchapwa Uwanjani kwao Emirates 3-2 na Olympiakos ya Greece.
Nao Chelsea, baada ya kushinda Mechi yao ya kwanza ya Kundi lao, Jana huko Ureno walipigwa 2-1 na FC Porto.

UEFA CHAMPIONS LEAGUE
RATIBA
Jumatano 30 Septemba 2015
KUNDI A

Malmö FF v Real Madrid
Shakhtar Donetsk v Paris St Germaine
KUNDI B
CSKA v PSV
Man United v VfL Wolfsburg
KUNDI C
19:00 FC Astana v Galatasaray
Atletico Madrid v Benfica
KUNDI D
Borussia Mönchengladbach v Man City
Juventus v Sevilla


Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara inatarajiwa kuendelea leo Jumatano kwa timu 14 kucheza katika viwanja saba nchini, ikiwa ni raundi ya tano ya ligi hiyo iliyoanza kutimua vumbi Septemba 12, 2015.
Simba SC watakua wenyeji wa Stand United katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, Azam FC watawakaribisha Coastal Union kwenye uwanja wa Azam Complex – Chamazi jijini Dar es salaam.
Mjini Morogoro vinara wa ligi hiyo Young Africans watakua ugenini kuwakabili wenyeji Mtibwa Sugar ambapo timu zote zikiwa na alama 12 baada ya kucheza michezo minne zikipishana kwa tofauti ya magoli, Wana Lizombe Majimaji FC watakua wenyeji wa Ndanda FC kwenye uwanja wa Majimaji mjini Songea.

JUMA NYOSO AFUNGIWA MIAKA MIWILI

Kamati ya masaa 72 ya uendeshaji wa Ligi Kuu iliyokutana leo kupitia ripoti mbalimbali za michezo iliyochezwa ya Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza nchini imemfungia mchezji Juma Nyoso wa timu ya Mbeya City kucheza mpira wa miguu kwa kipindi cha miaka miwili na faini ya shilingi milioni mbili (2,000,000) kufutia kitendo cha udhalilishaji alichomfanyia mchezaji wa Azam FC John Bocco.
Nyoso alifanya kitendo hicho katika mchezo no namba 32 wa VPL kati ya Azam FC na Mbeya City uliofanyika kwenye uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam, kutokana na kuwa tabia ya kufanya vitendo hivyo vya utovu wa nidhamu mara kwa mara kwenye michezo ya Ligi Kuu.
Klabu ya Young Africans imepigwa faini ya shiligi laki tano (500,000) kufutia wachezaji wake watano kuonyeshwa kadi za njano katika mchezo dhidi ya Simba SC. Kwa mujibu wa kanunu namba 42 (11) timu ambayo wachezaji wake watapata kadi zaidi ya tabo katika mchezo mmoja itapigwa faini ya shilingi laki tano.
Wachezaji waliopata kadi za njano wa Young Africans katika mchezo huo ni ni Salum Telela, Mbuyu Twite, Malimi Busungu, Ali Mustafa na Mbuyu Twite.
Aidha klabu ya Yanga imepigwa faini nyingine ya shilingi laki tano (500,000) kufutia wachezaji wake kwenda kushangilia upande wa Simba SC mara baada ya mchezo kumalizika.
Mchezo utatazamwa tena ili kuangalia malalamiko ya Simba SC dhidi ya mwamuzi.
Simba pia inapigwa faini baada ya wapenzi na mashabiki wa timu hiyo kuwashambulia waamuzi baada ya mchezo ambapo waliwarushia chupa za maji ambazo nyingine ziliwakosa waamuzi na kumpata kocha wa Yanga Hans Van Pluijm.
Mchezo namba 26 wa VPL kati ya Coastal Union na Mwadui uliofanyika kwenye uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Chumba cha Coastal Union kilikuwa na harufu kali sana. Baadhi ya mashabiki wa Coastal Union waliokuwa nyuma ya goli la upande wa kaskazini walitoa lugha ya matusi kwa waamuzi na kutishia kuwapiga na pia walimrushia mawe mwamuzi msaidizi wa pili Shafii Mohamed na jiwe moja lilimpiga mgongoni na kumjeruhi kidogo mwamuzi na aliomba msaada wa jeshi la polisi kutuliza ghasia, mchezo ulisimama kwa dakika 3.


Ushindi!Jose Mourinho alishindwa kuamini
Kwenye Kundi G, FC Porto, ikiwa kwao Ureno Estadio do Dragao Jijini Porto, iliicharaza Timu ya Mreno mwenzao Jose Mourinho, Chelsea, Bao 2-1.
Bao za Mechi hii zilifungwa na Andre Andre kwa FC Porto katika Dakika ya 39 na Chelsea kusawazisha Dakika ya 45 kwa Frikiki ya Willian.
Kichwa cha Maicon katika Dakika ya 52 kiliwapa FC Porto ushindi wa Bao 2-1.
Katika Mechi nyingine ya Kundi hili la Chelsea, Dinamo Zagreb ilitamba Ugenini baada ya kuichapa Maccabi Tel Aviv 2-0.
2-1
PORTO WANAONGOZA SASA 2-1WILLIAN ALIPOISAWAZISHIA CHELSEA 1-1FC Porto v Chelsea VIKOSI:


Felipe Pardo aliipa Olympiakos Bao la kuongoza lakini Theo Walcott akaisawazishia Arsenal ambao walikwenda Mapumziko wakiwa nyuma 2-1 baada ya Kipa wao David Ospina kujifunga mwenyewe.
Kipindi cha Pili, Arsenal walisawazisha Dakika ya 65 kwa Bao la Alexis Sanchez lakini Dakika 1 baadae Olympiakos walifunga Bao la 3 na la ushindi wa 3-2 kupitia Alfred Finnbogason.
Hii ni Mechi ya pili mfululizo kwa Arsenal kuchapwa katika Kundi F baada kupigwa 2-1 na Dinamo Zagreb na sasa wana kibarua kigumu cha kufuzu na kuwa Timu ya kwanza kufanya hivyo tangu Msimu wa 2012/13 tangu Galatasaray walipofungwa Mechi mbili za kwanza na kuweza kusonga hatua ya Mrtoano ya UCL.
Ili kufanya hivyo, Arsenal inabidi kwanza washinde Mechi zao mbili zinazokuja na zote ni dhidi ya Bayern Munich.
Arsenal wakubali yaishe! wapigwa bao 2-1, Wafungaji bao za Olympiakos ni Felipe Pardo 33' David Ospina 40' OG na Alfred Finnbogason 66. Bao za Arsenal zilifungwa na Theo Walcott dakika ya 35 na lile la Alexis Sánchez dakika ya 65 na mtanange kumalizika kwa 3-2 Olympiakos wakiibuka kidedea Emirates!

Arsenal v Olympiakos



Barcelona v Bayer Leverkusen
VIKOSI:
Barcelona:
Ter Stegen, Dani Alves, Pique, Mascherano, Mathieu, Rakitic, Busquets, Iniesta, Sandro, Suarez, Neymar.
Akiba: Masip, Douglas, Bartra, Munir, Jordi Alba, Sergi Roberto, Gumbau.

Bayer Leverkusen: Leno, Donati, Tah, Papadopoulos, Wendell, Kramer, Bender, Kampl, Calhanoglu, Bellarabi, Hernandez.
Akiba: Kresic, Ramalho Silva, Kiessling, Hilbert, Mehmedi, Boenisch, Brandt.

Refa: Martin Atkinson



Barcelona v Bayer Leverkusen
VIKOSI:
Barcelona:
Ter Stegen, Dani Alves, Pique, Mascherano, Mathieu, Rakitic, Busquets, Iniesta, Sandro, Suarez, Neymar.
Akiba: Masip, Douglas, Bartra, Munir, Jordi Alba, Sergi Roberto, Gumbau.

Bayer Leverkusen: Leno, Donati, Tah, Papadopoulos, Wendell, Kramer, Bender, Kampl, Calhanoglu, Bellarabi, Hernandez.
Akiba: Kresic, Ramalho Silva, Kiessling, Hilbert, Mehmedi, Boenisch, Brandt.

Refa: Martin Atkinson

waliotembelea blog