Friday, October 10, 2014

 

Wakati akiumiza kichwa kuhusu namana gani ya kuifungia Liverpool magoli, Super Mari Baloteli amepata mtihani mwingine baada ya serikali ya Uingereza kuzuia nguruwe wake kuingizwa nchini humo, mpaka atakapo nunua kibali cha ufugaji.
The pig, named Super, is unable to be imported into the country unless Balotelli registers as a breeder
Baloteli: Hakuna kitu kinachofuhisha kama kuishi karibu na nguruwe wangu.
Serikali ya Uingereza imesema ni lazima Baloteli ajisajili katika chama cha ufugaji nchini Uingereza ndipo apewe fursa ya kumuingiza nguruwe wake, lakini pia wamesisitiza  ni lazima serikali ya Italy impe nguruwe huyo ambaye ni "jike" cheti kinacho dhibitisha utimamu wa afya yake.
Mario Balotelli has been unable to transport his pet pig to his new home in Liverpool since his transfer

Tangu Baloteli ajiunge na Liverpool msimu huu, amefanikiwa kufunga goli moja tu katika michezo yote aliyocheza.

waliotembelea blog