Monday, October 7, 2013


Wayne Rooney ameibuka na kumpa sapoti kubwa Meneja wake David Moyes na kuwalaumu Wachezaji wenzake wa Manchester United kumwangusha Meneja wao huyo huku wakati huo huo akisisitiza England itafuzu kucheza Fainali za Kombe la Dunia Mwakani huko Brazil.
Amesema: “Ni wazi Meneja yuko kwenye presha kidogo lakini tunajua kama Timu ni sisi tuliomwangusha. Lazima tukusanye nguvu pamoja na kuonyesha upiganaji wetu tuliouzoea hapa!” 

Rooney alisisitiza kuwa huu ni wakati wa mpito kwa sababu wana Meneja mpya na staili ni tofauti lakini ni juu yao kubadilika.
Akiongea baada ya kuifunga Sunderland 2-1 hapo Jumamosi, Rooney alisema: “Hilo ndio tulihitaji, kupata Pointi 3 na kuonyesha uimara wetu. Ushindi kama huo unabadilisha vitu!”


Pia Rooney alisisitiza yuko fiti kuichezea England Mechi dhidi ya Poland na Montenegro hapo Oktoba 11 na 15 za Kundi lao ambazo ndizo zitaamua kama watakwenda Brazil kwenye Fainali za Kombe la Dunia Mwakani baada ya kuzikosa Mechi mbili zilizopita dhidi ya Moldova na Ukraine baada kuumia usoni. 
Kocha wa United David Moyes


 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha na Balozi  wa Marekani nchini Tanzania aliyemaliza muda wake Mhe Alfonso  Lenhardt  na mke wake  leo walipofika Ikulu kuaga na kumshukuru Rais na serikali yake kwa ushirikiano alioupata katika kipindi chake cha ubalozi hapa nchini.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuaga mke wa Balozi  wa Marekani nchini Tanzania aliyemaliza muda wake Mhe Alfonso  Lenhardt  leo walipofika Ikulu kuaga na kumshukuru Rais na serikali yake kwa ushirikiano alioupata katika kipindi chake cha ubalozi hapa nchini. Mama Salma Kikwete alikuwepo pia katika kuwaaga wanadiplomasia hawa.

 Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, CCM, Dk. Asha-Rose Migiro, akimlaki Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Chama Cha Kikomunisti cha Jamhuri ya watu ya China Ai Ping baada ya mgeni huyo kuwasili mchana huu Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kuhudhuria mkutano huo. Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) ambacho ni rafiki mkubwa wa CCM kimealikwa kutokana na kuwa Chama kilichosaidia sana harakati za ukombozi huo wa nchi za kusini mwa Afrika. Katikati ni Balozi wa China hapa nchini, Lu Youqing. 
 Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, CCM, Dk. Asha-Rose Migiro, akimlaki Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Chama Cha Kikomunisti cha Jamhuri ya watu ya China Ai Ping baada ya mgeni huyo kuwasili mchana huu Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kuhudhuria mkutano huo. Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) ambacho ni rafiki mkubwa wa CCM kimealikwa kutokana na kuwa Chama kilichosaidia sana harakati za ukombozi huo wa nchi za kusini mwa Afrika. Kushoto ni Balozi wa China hapa nchini, Lu Youqing. 
 Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, CCM, Dk. Asha-Rose Migiro, akiwa na mgeni wakei Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Chama Cha Kikomunisti cha Jamhuri ya watu ya China Ai Ping baada ya mgeni huyo kuwasili mchana huu Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kuhudhuria mkutano huo. Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) ambacho ni rafiki mkubwa wa CCM kimealikwa kutokana na kuwa Chama kilichosaidia sana harakati za ukombozi huo wa nchi za kusini mwa Afrika. 
 Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, CCM, Dk. Asha-Rose Migiro, akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Chama Cha Kikomunisti cha Jamhuri ya watu ya China Ai Ping baada ya mgeni huyo kuwasili mchana huu Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kuhudhuria mkutano huo. Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) ambacho ni rafiki mkubwa wa CCM kimealikwa kutokana na kuwa Chama kilichosaidia sana harakati za ukombozi huo wa nchi za kusini mwa Afrika. 
 "PANDA GARI HILI" Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, CCM, Dk. Asha-Rose Migiro, akimwelekeza  kupanda gari Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Chama Cha Kikomunisti cha Jamhuri ya watu ya China Ai Ping baada ya mgeni huyo kuwasili mchana huu Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kuhudhuria mkutano huo. Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) ambacho ni rafiki mkubwa wa CCM kimealikwa kutokana na kuwa Chama kilichosaidia sana harakati za ukombozi huo wa nchi za kusini mwa Afrika.

The World’s largest tortoise found in Amazon River is around 529 years old / height-59 feet/ weight-800 pounds OR 362.87 kg incredible.

The red rimmed tortoise is also called the red-foot or red-legged tortoise, the Brazilian giant tortoise, or South American forest tortoise.

These types of large size tortoise are always found in the Amazon River, most of them are found in (Peru, Brazil, Colombia, Venezuela, and so on) the Adults often reach 3m in length, however this one is much larger. The tortoise Females have wide flattened shells, are larger and more numerous than the males tortoise, the Adult tortoise Arraus feed entirely on plant food.

Their main diet is a plant that is native to the Chtac Province region of Brazil. These flowers of this plant have a gene in them which promotes increased cellular life thus allowing those that consumed them to have a greater lifespan. Amongst the native inhabitants are turtle’s that grew constantly in their lifespan until the day they died. The introduction of this flower into their diet thus allowed them to grow to immense sizes and they served as local guardians to the plant.

It was first discovered by the modern world in 1892 by Haughton who was the last person to had seen it in the century.

The nesting habits of this species are similar to those of sea turtles. Just like sea turtles they gather meet in huge numbers so they can travel to suitable nesting areas. The female tortoise lay their eggs on sandbanks that are exposed where there is only dry season but there are relatively few such sites.

The females timing is to come out on the sandbanks at night time to lay their eggs and go back to the sea, which can number anywhere from 90 to 100 soft-shelled eggs. and they then return to their feeding grounds which they belong to.

The young when hatched are around 5 cm long darts directly for the water, but they emerge to the attentions of many predators so they can only about five percent ever reach the adult feeding grounds. This it is an endangered species and is protected in some country and areas. - See more at: http://www.naijapicks.com/2013/09/worlds-largest-tortoise-529-years-old.html#sthash.aZOOCovi.dpuf
The World’s largest tortoise found in Amazon River is around 529 years old / height-59 feet/ weight-800 pounds OR 362.87 kg incredible.

The red rimmed tortoise is also called the red-foot or red-legged tortoise, the Brazilian giant tortoise, or South American forest tortoise.

These types of large size tortoise are always found in the Amazon River, most of them are found in (Peru, Brazil, Colombia, Venezuela, and so on) the Adults often reach 3m in length, however this one is much larger. The tortoise Females have wide flattened shells, are larger and more numerous than the males tortoise, the Adult tortoise Arraus feed entirely on plant food.

Their main diet is a plant that is native to the Chtac Province region of Brazil. These flowers of this plant have a gene in them which promotes increased cellular life thus allowing those that consumed them to have a greater lifespan. Amongst the native inhabitants are turtle’s that grew constantly in their lifespan until the day they died. The introduction of this flower into their diet thus allowed them to grow to immense sizes and they served as local guardians to the plant.

It was first discovered by the modern world in 1892 by Haughton who was the last person to had seen it in the century.

The nesting habits of this species are similar to those of sea turtles. Just like sea turtles they gather meet in huge numbers so they can travel to suitable nesting areas. The female tortoise lay their eggs on sandbanks that are exposed where there is only dry season but there are relatively few such sites.

The females timing is to come out on the sandbanks at night time to lay their eggs and go back to the sea, which can number anywhere from 90 to 100 soft-shelled eggs. and they then return to their feeding grounds which they belong to.


The young when hatched are around 5 cm long darts directly for the water, but they emerge to the attentions of many predators so they can only about five percent ever reach the adult feeding grounds. This it is an endangered species and is protected in some country and areas. -
Udaku Specially Blog

 
Ommy Dimpoza akipagawisha wakazi wa Carlifornia  45  
katika show yake iliyofanyika Jumamosi Oktoba 5.
 
Ommy Dimpoz na Merce Mfanga Ligate
. 
Msanii Mwanamuziki wa kizazi kipya Lady C kutoka 
Uganda akienda pozi kwa pozi na msanii 
wa kizazi kipya Ommy Dimpoz wakati alipofanya 
show Los Angeles, California usiku wa kuamkia Jumapili.

                                                              Shabiki amepaga  wa.
 
Poz kwa Poz ilikuwa balaa.
 
                                                        Mama Ligate akikusanya mafwedha!
 
 kushoto ni Mwanamuziki wa Nigeria 2Face aliyetamba na wimbo
 wake wa My african Queen pamoja na mwananmuziki toka
 Uganda Zana Lady C na Bw. Deo kulia.
Diamond akiwa na Tuddy Thomas Studio 
wakijaribu kutengeneza ngoma kali kwa ajili ya
                                                    shabiki..Cheki picha zingine nyingi hapa chini.

















Source:thisisdiamond.com

 Yombo man,Young zilla na King data
 Ban B
 Real mkude
 Msanii Bk sande
 Kamdingi Fulani na Dogo B
 shemela
Babu rweyemamu akiwa na shemela



Pamoja na AC Milan kupata Bao la kuongoza Sekunde 20 tu tangu Mechi ianze, Mabingwa Watetezi Juventus walizinduka na kuichapa AC Milan Bao 3-2 katika Mechi ya Serie A iliyochezwa Jana ndani ya Juventus Stadium huko Turin.
Sulley Muntari ndie aliefunga Bao la kwanza kwa AC Milan katika Sekunde ya 20 na Mkongwe Andrea Pirlo kusawazisha kwa Frikiki tamu katika Dakika ya 15.
Giovinco akaipa Juventus Bao la Pili katika Dakika ya 69, Dakika mbili tu baada kutokea Benchi, na Giorgio Chiellini kufunga Bao la 3 baada ya Frikiki ya Pirlo kupiga posti na kumrudia yeye.
AC Milan walibaki Mtu 10 katika Dakika ya 74 baada ya Philippe Mexes kutolewa nje kwa Kadi Nyekundu lakini Muntari aliwapoza kidogo kwa kuwafungia Bao la Pili, hilo likiwa Bao lake la Pili katika Mechi, na kuifanya Gemu iishe 3-2.

Ushindi huu wa Juventus umewafanya wafikishe Pointi 19 sawa na Napoli ambao wako Nafasi ya Pili kwa ubora wa Magoli, wote wakiwa Pointi 2 nyuma ya Vinara AS Roma ambao Jumamosi waliitwanga Inter Milan 3-0.
Mchezaji matata Sulley Muntari akifuahia bao lake la mapemaaa sana!! la sekunde 19.. (Dakika 1)
Pirlo akifunga frii kiki hapa na kusawazisha kufanya 1-1 kabla ya mapumziko!!

Kipa wa Milan  Christian Abbiati hoi!! kwa bao la  Pirlo!! chezea Pirlo wewe!
Sebastian Giovinco akifunga bao jingine na kufanya  Juve iongoze ungwe
Aibu!! Philippe Mexes akioneshwa kadi nyekundu! kwa kufanya ndivyo sivyo uwanjani!
Giorgio Chiellini, Pirlo, wakipongezana kwa ushindi huku  Muntari akimalizia bao la dakika za majeruhi dakika 90 ya mchezo kumalizika na kufanikisha 3-2.

2013-2014 Barclays Premier League Table
  Overall
Home
Away
 
POS
TEAMPWDLFA
WDLFA
WDLFA
GDPts
1 Arsenal 7 5 1 1 14 8
2 0 1 5 4
3 1 0 9 4
6 16
2 Liverpool 7 5 1 1 11 5
3 0 1 5 2
2 1 0 6 3
6 16
3 Chelsea 7 4 2 1 10 4
3 0 0 6 1
1 2 1 4 3
6 14
4 Southampton 7 4 2 1 7 2
2 2 0 5 1
2 0 1 2 1
5 14
5 Manchester City 7 4 1 2 17 8
4 0 0 13 2
0 1 2 4 6
9 13
6 Tottenham Hotspur 7 4 1 2 6 5
2 1 1 4 4
2 0 1 2 1
1 13
7 Everton 7 3 3 1 10 9
2 1 0 4 2
1 2 1 6 7
1 12
8 Hull City 7 3 2 2 6 7
2 2 0 3 1
1 0 2 3 6
-1 11
9 Manchester United 7 3 1 3 10 9
1 1 1 3 2
2 0 2 7 7
1 10
10 Aston Villa 7 3 1 3 9 8
1 0 2 4 5
2 1 1 5 3
1 10
11 Newcastle United 7 3 1 3 9 12
1 1 1 3 3
2 0 2 6 9
-3 10
12 West Bromwich Albion 7 2 3 2 7 6
1 1 2 4 4
1 2 0 3 2
1 9
13 West Ham United 7 2 2 3 7 5
1 0 2 4 4
1 2 1 3 1
2 8
14 Cardiff City 7 2 2 3 7 9
1 1 2 4 5
1 1 1 3 4
-2 8
15 Swansea City 7 2 1 4 8 11
0 1 2 4 8
2 0 2 4 3
-3 7
16 Stoke City 7 2 1 4 4 7
1 1 1 2 2
1 0 3 2 5
-3 7
17 Fulham 7 2 1 4 5 9
1 1 2 4 6
1 0 2 1 3
-4 7
18 Norwich City 7 2 1 4 5 9
1 1 2 4 6
1 0 2 1 3
-4 7
19 Crystal Palace 7 1 0 6 5 13
1 0 2 3 4
0 0 4 2 9
-8 3
20 Sunderland 7 0 1 6 5 16
0 0 4 3 9
0 1 2 2 7
-11 1

waliotembelea blog