Sunday, January 5, 2014


Rais Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete, wakitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, marehemu Dkt. William Mgimwa,
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal na mkewe Mama Zakia Bilal, wakitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, marehemu Dkt. William Mgimwa, wakati wa shughuli za kuaga mwili huo zilizofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, leo mchana. Mwili huo umesafirishwa leo kuelekea Mkoani Iringa kwa maziko.
 Rais Jakaya Kikwete, akiifariji familia ya marehemu Dkt. William Mgimwa, Mkoani Iringa kwa maziko.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal na mkewe Mama Zakia Bilal, wakiifariji familia ya marehemu Dkt. William Mgimwa, wakati wa shughuli za kuaga na kutoa heshima za mwisho zilizofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, leo mchana. Mwili huo umesafirishwa leo kuelekea Mkoani Iringa kwa maziko.

  Mke wa baba  wa TAIFA Maria Nyerere, akitoa heshima za mwisho.
  Mwshimiwa Spika wa Bunge Anne Makinda, akitoa heshima za mwisho.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana heshima za mwisho.
  Mweshimiwa wa CHADEMA  Freeman Mbowe akitoa  heshima za mwisho.
  Mawaziriki wakiwa wanaenda kutoa heshima za mwisho
 Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa
  Baadhi ya viongozi wa Serikali waliohudhuria shughuli hiyo ya kuuwaga mwili wa marehemu



Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steve Mengele ‘Nyerere’ akizungumza mara baada ya kuchagulia kushika wadhifa huo wa uenyekiti,Steve alisema kuwa atahakikisha haki inatendeka kwa kila msanii wa filamu,kuhakikisha kipato kinaongezeka katika tasnia yao,kama vile haitoshi alieleza kuwa atakutana wasambazaji wote wa filamu kuzungumza mikakati mbalimali ya kuhakikisha tasnia hiyo wasanii wake wananufaika na kazi zao na kujiletea maendeleo yao na Taifa kwa ujumla.Steve anashika nafasi hiyo ya Uenyekiti iliokuwa imeachwa wazi na Msanii Vincent Kigosi a.k.a Ray.
“Tatizo kubwa kwa wasanii wa Bongo Movie hawajitambui kama wao ni watu wakubwa. Wanajiuza kirahisi kwa wasambazaji wakati karibu kila nyumba ya Mtanzania haukosi filamu moja ya Bongo Movie,” Aliongeza Nyerere ambaye pia anafahamika kwa jina la ‘Kata simu’.
“Wasanii wa Bongo Movie tunadhulumiwa kwa sababu hatutambui haki zetu. Leo wasanii watatu wanakwenda Mwanza wanapewa shilingi milioni mbili, Diamond peke yake
anapewa shilingi milioni 15,”alisema Nyerere



  
 


Ray akifafanua jambo 




Baadhi ya Wasanii wa Bongo.
  



 
 
 
Baadhi ya Wasanii wa Bongo

Manchester United wakicheza Mechi hii kwao Old Trafford kuwakaribisha Swansea City kwenye FA CUP, United ndio walianza kufungwa mapema dakika ya 12 kupitia mchezaji Wayne Routledge baada ya kuwachomoka mabeki na kupaisha mpira hadi langoni mwa United, Dakika 6 baadae United wakasawazisha bao hilo kupitia mchezaji wao Javier Hernández baada ya mpira kupigwa kama kona na na hatimae Chicharito kumalizia mpira huo na kufanya matokeo kuwa 1-1.
 


 







 



C
FA CUP: RAUNDI YA TATU
Jumapili Januari 5
Nottingham Forest 5 v West Ham 0
Sunderland 3 v Carlisle 1
Derby 0 v Chelsea 2
Liverpool 2 v Oldham 0
Port Vale 2 v Plymouth 2
Manchester United v 1 Swansea 2


One up: Arsenal's Spanish midfielder Santi Cazorla celebrates after opening the scoring against Tottenham
Bao za Arsenal leo zimefungwa na Cazorla kipindi cha kwanza dakika ya 31, huku bao la pili likifungwa na Rosicky dakika ya 62. Spurs Wanaondoshwa kwenye michuano hii baada ya kipigo hicho kutoka kwa Gunners inayonolewa na Mzee Arsene Wenger huku Spurs ikishikiliwa na kocha wa Muda kwa msimu huu Sherwood.
Unstoppable: Cazorla watches the ball fly past Spurs goalkeeper Hugo Lloris into the net for the opening oal
Cazorla akimfunga kipa wa Spurs Hugo Lloris na kufanya 1-0
On target: Tomas Rosicky puts the ball past Lloris as Arsenal go 2-0 up on Spurs in the FA Cup third round
Tomas Rosicky akitupia na yeye bao la pili na kufanya 2-0 leo kwenye mchuano wa kombe la FA Cup Hatua ya tatu.
On his knees: Rosicky celebrates as Arsenal seal their place in the fourth round of the FA Cup
Rosicky akishangilia bao lake leo kwenye FA Cup na kwa kuisogeza Gunners hatua ya nne ya michuano hiyo.
Jubilation: Arsenal fans celebrate as they watch their side stroll to victory over their North London rivals
Mashabiki wa Arsenalwakishangilia timu yao leo usiku baada ya kuifunga Spurs bao 2-0 na kusonga mbele
Team orders: Tottenham Hotspur manager Tim Sherwood shouts instructions at his players
Meneja wa Tottenham Hotspur Tim Sherwood akipaza sauti kuwapa maelekezo wachezaji wake leo kwenye uwanja wa Emirates.
Reminder: Injured Theo Walcott taunts Tottenham fans with a 2-0 gesture as he is stretchered off
Ushindi huu wa leo wa bao 2-0 pia umemwachia maumivu Theo Walcott hapa ni katika dakika za mwishoni akiondolewa nje ya uwanja baada ya kuumia.
VIKOSI:
ARSENAL: Fabianski 7, Sagna 6, Monreal 6, Arteta 6 (Ozil 75, 6), Koscielny 6, Vermaelen 6 (Mertesacker 45, 6), Gnabry 7, Wilshere 6 (Flamini 71, 6), Walcott 6, Rosicky 7, Cazorla 7
Subs not used: Podolski, Viviano, Jenkinson, Park
Goals: Cazorla 31, Rosicky 62
Booked: Vermaelen
Manager: Arsene Wenger 7
TOTTENHAM: Lloris 6, Walker 5, Rose 4, Bentaleb 7, Dawson 5, Chiriches 5, Lennon 6, Dembele 6, Soldado 5 (Chadli 63, 6), Adebayor 5, Eriksen 5
Subs not used: Capoue, Friedel, Fryers, Kane, Fredericks, Obika
Manager: Tim Sherwood 6
Referee: Mark Clattenburg
Attendance: 59,476

waliotembelea blog