Wachezaji wa Real - Bale, Benzema na Rodriguez wakimpongeza Ronaldo baada ya kuwapatia bao katika kipindi cha kwanza dakika ya 30.Real MadridPongezi hazikukauka kwa Ronaldo katika mtanange huu!!Real MadridAsante Baba!! We ni mkubwa!!Real MadridJames akipongezana na Ronaldo!Ronaldo akishangilia bao lake la kwanza dhidi ya SevillaRonaldo ndie aliyekuwa mwiba leo katika mechi hii!!Ronaldo akimsambaratisha kipa wa Sevilla kwa shuti kali langoni mwakeReal MadridHakunaga!!! Ronaldo akipeta!Real Madrid
Kipindi cha pili dakika ya 49 Ronaldo alifunga bao la pili na kufanya 2-0 baada ya kupata pasi kutoka kwa Karim Benzema na kuachia shuti kali lilillomzidi nguvu kipa wa Sevilla na kuzama langoni mwao. Mpaka dakika 90 zinamaizika Real ndio walikuwa mbele ya bao 2-0 hivyo kuibuka na ushindi kwa kutwaa Kombe hilo la UEFA Super cup 2014 na Bao hizo zikiwekwa kimiani na Mchezaji machachari Cristiano Ronaldo.Kipindi cha kwanza dakika ya 30 Cristiano ronaldo ndie aliyeanza kuwafungia bao la kwanza Real kwa kufanya 1-0 dhidi ya Sevilla baada ya kulishwa mpira na Gareth Bale. Hadi Mapumziko Real ndio walikuwa wanaongoza kwa bao hilo la Ronaldo.Pepe kama kawaida yake!!Vidal na Fabio wakikwaana kuugombania mpira katika kipindi cha kwanzaReal MadridSergio Ramos akifanya mambo yake!!Real Madrid v Sevilla Mashabiki wa Sevilla wakiipamba timu yao leo ambapo imenyukwa na bao 2-0 na mchezaji cristiano Ronaldo.Real Madrid v Sevilla Mashabiki wa Real

VIKOSI:
Real Madrid: Casillas, Carvajal, Pepe, Sergio Ramos, Fabio Coentrao, Kroos, Rodriguez, Modric, Bale, Benzema, Ronaldo.
Subs: Navas, Varane, Marcelo, Arbeloa, Di Maria, Isco, Illarramendi.
Sevilla: Beto, Coke, Pareja, Fazio, Fernando Navarro, Alex Vidal, Krychowiak, Carrico, Vitolo, Suarez, Bacca.
Subs: Barbosa, Diogo Figueiras, Reyes, Jairo, Iborra, Aspas, Luismi.
Referee: Mark Clattenburg (England)
Real Madrid v Sevilla Mashabiki wakishangilia timu yao kwenye Uwanja wa Cardiff City
Shout it out: A Seville fan shows his support prior to kick-off Fly the flag: Sevilla fans stand outside the Cardiff City Stadium prior to the game
Wave goodbye to defences: Cristiano Ronaldo arrives in Cardiff and starts against Sevilla for Ma