Sunday, July 5, 2015



Wenyeji Chile wametwaa Taji lao la kwanza kabisa baada ya kuibwaga Argentina kwa Penati 4-1 kufuatia Sare ya 0-0 katika Dakika 120 za Fainali ya Copa America, Kombe la Mataifa ya Marekani ya Kusini, iliyochezwa mbele ya Halaiki ya Mashabiki ndani ya Estadio Nacional Santiago Jijini Santiago.
Kipigo hiki kimeendeleza ukame wa Argentina wa Miaka 22 wa kutotwaa Taji lolote tangu walipobeba Copa America Mwaka 1993 huko Ecuador na pia unamfanya Kepteni wao Lionel Messi, aliewahi kuwa Mchezaji Bora Duniani mara 4, aendelee kutokuwa na mafanikio yeyote na Le Albiceleste tofauti na akiwa na Klabu yake FC Barcelona ya Spain. 
Kwa Chile, ushindi huu umemaliza Karne yao ya kushiriki Mashindano bila Taji lolote baada ya kufanikiwa kufika Fainali 4 za Copa America, zile za 1955, 1956, 1979 na 1987, na kufungwa zote.
Chile, chini ya Kocha toka Argentina Jorge Sampaoli, hawakucheza Soka la kuvutia na walikosa nafasi moja ya wazi katika Dakika za Nyongeza 30 wakati Argentina, chini ya Kocha Gerardo 'Tata' Martino, nao walikosa nafasi ya wazi wakati Gonzalo Higuain alipokosa ndani ya Dakika 90.Ushindi! 4-1 kwa mikwaju ya penatiBalaa!! Alexis Sanchez alipowafungia mkwaju wa UshindiAlexis Sanchez akishangilia baada ya kuitoa ArgentinaMikwaju ya penati ikiendelea..Kipa wa Chile Claudio bravo akiwa amebeba juu zawadi yake ya Golden  Grove Eduardo Vargas akiwa na mwanae pamoja na Tuzo yake
Ni shida!! Lionel Messi akiwa hoi kwa mara nyingi akichemsha ndani ya Fainali! Ukame waendelea...Choka mbaya!Shangwe kwa kwenda mbele huku ikiwa ni kwa mara ya kwanza kwa wenyeji Chile
Baadhi ya Wachezaji wa Chile wakipeta baada ya kushinda kwa mikwaju ya penati dhidi ya Argentina.Argentina wameshindwa kutamba mbele ya Chile kwenye mchezo wa Fainali wa Copa America na kufungwa kwa mikwaju ya penati 4-1 baada ya kutoshana nguvu dakika 120 kwa kutoka 0-0.TASWIRADakika 120 zilimalizika bila kufungana tena kwa kutoka 0-0 na mikwaju ya penati kupigwa!Dakika 90 zilimalizika bila kufungana na kuongezwa muda wa dakika 30!Angel Di Maria akubali yaishe mapema kipindi cha kwanza! Lavezzi alichukuwa nafasi yakeKipindi cha pili kinaendelea..Mashabiki wenyeji chile!VIKOSI:
Argentina Wanaoanza:
Romero, Zabaleta, Demichelis, Otamendi, Rojo, Biglia, Mascherano, Pastore, Messi, Aguero, Di Maria
Chile wanaoanza: Bravo, Isla, Medel, Silva, Beausejour, Aranguiz, Diaz, Vidal, Valdivia, Sanchez, Vargas
Chile vs Argentina, Estadio Nacional, Santiago

MashabikiNi Patashika Fainali Usiku huu Copa America kati ya Chile v ArgentinaChileLionel Messi kufanya kazi ya ziada punde!
ENGLAND imemaliza katika nafasi ya tatu kwenye Kombe la Dunia wanawake nchini Canada kufuatia ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ujerumani leo.
Dakika 90 zilimalizika timu hizo zikiwa hazijafungana na katika dakika 30 za nyongeza, ndipo England wakajibebea Medali ya Shaba/
Ilikuwa ni dakika ya 108 wakati refa Ri Hyang-ok alipowapa penalti England baada ya beki wa Ujerumani, Tabea Kemme kumuangusha Lianne Sanderson kwenye eneo la hatari.
Fara Williams, ambaye alifanya vizuri katika mikwaju ya penalti kwenye mechi dhidi ya Colombia na Japan, akamchambua vizuri kipa wa Ujerumani, Nadine Angerer na kuamsha bonge la shangwe kwa Waingereza wote waliokuwapo uwanjani.
Fara Williams was once again successful from the penalty spot sending German goalkeeper Nadine Angerer the wrong way

31-year-old Liverpool midfielder Williams coolly slotted her right footed penalty inside the left hand post
England's hero Williams immediately wheeled away, pointing and running towards England's bench to start the party
England's hero Williams immediately wheeled away, pointing and running towards England's bench to start the party
England's ecstatic substitutes ran onto the pitch in celebration after WIlliams' penalty found the back of the net
England's ecstatic substitutes ran onto the pitch in celebration after WIlliams' penalty found the back of the net
England's Fara Williams (right) and teammates celebrate her winning goal against Germany during the FIFA Women's World Cup 2015 match
England's Fara Williams (right) and teammates celebrate her winning goal against Germany during the FIFA Women's World Cup 2015 match
In front of a friendly crowd of 21,483 at Edmonton’s Commonwealth Stadium, the scene of England’s cruel stoppage time semi-final defeat to Japan, Laura Bassett looked fiercely determined pre-match to right the wrongs on the surface still wet with her tears from Wednesday.
Whatever happened, history was always going to be made with England’s previous best at a World Cup being an appearance in the quarter-finals – and that was even before the tournament was expanded to 24 teams.
But the motivation was not just there to finish as strongly as possible in this tournament, but also to overcome an opponent they have never beaten. There were even a few in Sampson’s line-up who could recall the pain of being thrashed 6-2 by Silvia Neid’s Germany at the Euro 2009 final in Helsinki.
England's No 4 blew kisses in celebration after she scored her third goal of the tournament from the penalty spot
England's No 4 blew kisses in celebration after she scored her third goal of the tournament from the penalty spot
England's Laura Bassett (centre) celebrates with her team after their win in the match for third place between England and Germany in Canada
England's Laura Bassett (centre) celebrates with her team after their win in the match for third place between England and Germany in Canada
The England team celebrates their victory over Germany in the third place match of the FIFA 2015 Women's World Cup
The England team celebrates their victory over Germany in the third place match of the FIFA 2015 Women's World Cup
Laura Bassett celebrates her team's third place after defeating Germany during the FIFA Women's World Cup 2015 third place playoff match
Laura Bassett celebrates her team's third place after defeating Germany during the FIFA Women's World Cup 2015 third place playoff match
German team members  react to losing their match against England during the FIFA Women's World Cup Canada third place playoff match
German team members react to losing their match against England during the FIFA Women's World Cup Canada third place playoff match
Laura Bassett, seen here speaking to manager Mark Sampson, was determined to atone for her own goal against Japan
Laura Bassett, seen here speaking to manager Mark Sampson, was determined to atone for her own goal against Japan
It looked like it might be a long, painful afternoon for England when Germany almost opened the scoring in the first minute. 
Goalkeeper Karen Bardsley had to be at her athletic best to tip Lara Petermann’s header round the post.
A chance for the tournament’s leading scorer Celia Sasic soon followed as she ran through the middle towards the goal, but her tame shot was collected by the Manchester City stopper. 
There was nearly another own goal embarrassment, this time by Brmingham City’s Jo Potter who headed the ball over Bardsley, but luckily Steph Houghton was on hand to hook the ball off the line.
Those early scares put England into action and they started to gain a foothold in the game. 
Barely 12 minutes in and captain Houghton had the chance to give her side the lead when the ball fell to her in the box, but surrounded by Germany defenders she couldn’t get enough on her shot to trouble veteran goalkeeper Nadine Angerer.
England's Eniola Aluko was a constant threat to the Germany defence in the latter stages of the second half of normal time
England's Eniola Aluko was a constant threat to the Germany defence in the latter stages of the second half of normal time
Jill Scott missed a good chance for England, choosing to cut back when a shot would have been the better option
Jill Scott missed a good chance for England, choosing to cut back when a shot would have been the better option
A more fluid midfield formation from Sampson meant England saw more of the ball in the first half here than they did against world champions Japan on Wednesday. 
And there was a sign that it was in the middle of the field where the game was going to be won, with tough physical battles occurring across the pitch.
Young striker Sara Daebritz felt the full force of a shoulder barge from Alex Greenwood, Jill Scott showed her intent to track back and tussle with Simone Laudehr, and England’s leading scorer Lucy Bronze made her presence known when going to head the ball but ending up straight in the back of Saskia Bartusiak.
Germany, ranked no 1 in the world, pressed in the build-up to half-time though and Sasic again came close in the 43rd minute with a header that went over the bar. The tie remained scoreless at the break with both teams locked in a fierce battle for pride.
Germany manager Silvia Neid was an animated presence on the touchline at the Commonwealth Stadium in Edmonton
Germany manager Silvia Neid was an animated presence on the touchline at the Commonwealth Stadium in Edmonton
England's Ellen White (23) and Germany's Melanie Behringer battle for possession of the ball in the first half of normal time
England's Ellen White (23) and Germany's Melanie Behringer battle for possession of the ball in the first half of normal time
The two-time World Champions began the second half as they began the first, and Daebritz’s volley from a Sasic cross was excellently pushed wide of the post by Bardsley who has attracted her fair share of criticism in this tournament but proved why she is England no 1 here.
England had to sustain a good 20 minutes of pressure from the Germans, most notably the younger players showing at least the future of the national side is promising.
But England could have and should have scored in the 76th minute. Substitute Eniola Aluko burst into the box and laid the ball to an open Jill Scott who instead of shooting first time, tried one trick too many with the ball to get a clear shot and Germany eventually cleared.
As the clock ticked down, both sides frenetically pushed for a winner and Bassett showed why Sampson praised her so highly in a brilliant tackle on Laudehr on the edge of the box to deny a goalscoring opportunity.
Germany's goalkeeper captain Nadine Angerer and England's Steph Houghton  shake hands before the third place play-off match
Germany's goalkeeper captain Nadine Angerer and England's Steph Houghton shake hands before the third place play-off match
Alex Greenwood (14), here sliding in on Germany's Celia Sasic (13), was an indefatigable presence for England
Alex Greenwood (14), here sliding in on Germany's Celia Sasic (13), was an indefatigable presence for England



001
John Bocco akishangila baada ya kuipatia Tanznaia bao la kwanza kwa mkwaju wa penati .

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premieum Lager imetoka sare ya bao 1- 1 dhidi ya wenyeji Uganda (The Cranes) katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa fainali za CHAN mwaka 2017 nchini Rwanda uliofanyika uwanja wa Nakivubo.
Stars ambayo leo imeonekana kabadilika katika mchezo wa leo, ilicheza soka la kuvutia tangu mwanzo mpaka mwisho wa mchezo hali iliyowaduwaza wenyeji Uganda.
Mpaka dakika 45 za mchezo za kipindi cha kwanza zinamalizika, Uganda 0 – 0 Tanzania. Kipindi cha pili kilianza kwa Stars kufanya mashambulizi mfululizo kupitia kwa washambuliaji wake John bocco na Rashid Mandawa.
Dakika ya 58, John Bocco aliipatia Tanznaia bao la kwanza kwa mkwaju wa penati kufuatia mlinzi wa Uganda Bakaki Shafik kuunawa mpira wa ndani ya eneo la hatari.
Mara baada ya bao hilo Uganda walifanya mashambulizi mfululizo langoni mwa Stars na kufanikiwa kupata bao la kusawzisha dakika ya 82, kupitia kwa mchezaji Kizito Hezron.
002
Mashabiki.
Mpaka dakika 90 za mchezo zinamalizika Uganda 1 – 1 Tanzania. Kwa matokeo hayo Uganda wanasonga mbele kwa ushindi wa jumla ya mabao 4 – 1 na sasa watakutana na Sudan.
Mara baada ya mchezo huo kochaa mkuu wa Taifa Stars, Charles Mkwasa amesema anashukuru vijana wake wamejitahidi kucheza vizuri, mchezo ulikua mzuri timu ilitengeneza nafasi chache na kuweza kutumia nafasi moja iliyopatikana.
Mkwasa amewaomba watanzania kuendelea kuwapa sapoti, wamekaa na timu kwa muda mfupi wa wiki moja tu lakini katika mchezo wa leo mabadiliko yameonekana, hivyo wanahitaji muda kidogo kuweza kukaa na vijana kwa muda mrefu ili kujenga timu bora.
003
Rashid Mandawa akimtoka Hassani Maswa.
Stars inatarajiwa kurejea Tanzania siku ya jumatatu mchana kwa usafiri wa shirika la ndege la Rwanda Air.
Taifa Stars: Ally Mustafa, Shomari Kapombe, Haji Mngwali, Nadir Haroub, Kelvin Yondani, Mudathir Yahya, Deus Kaseke, Frank Domayo,/Said Ndemla John Bocco, Rashid Mandawa/Salum Telela, Saimon Msuva/Ramadhan Singano.
The Cranes: James Alitho, Muzamiru Mutyaba, Brian Ochwo, Hassan Waswa, Denis Oola, Faruk Miya, John Shemazi/Robert Sentongo, Bakaki Shafik, Tekkwo Derick/Kizito Hezron/Kalanda Frank.
004
Kikosi cha Taifa Stars.

waliotembelea blog