Wednesday, February 5, 2014


ht!
:







First work out and meeting staff/players:



Even in discussion with Maxwell, Cabaye can’t stop smiling. Maxwell must want to wipe that smile off his face! LoL!

We get it. You’re happy.

Meeting fellow Frenchie, Menez


Another fellow Frenchman, Digne


And another one, Blaise!




C



Mlipuko ulitokea saa tano asubuhi
Watoto sita wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa nchini Libya baada ya shule yao mjini Benghazi kushambuliwa kwa guruneti.
Maafisa wanasema kuwa gureti hilo lilitupwa mahala watoto hao walipokuwa wakicheza katika shule binafsi eneo la Tabilinu wakati wa mapumziko.
Mji wa Benghazi, umeshuhudia, misururu ya mashambulizi katika mwaka mmoja uliopita, lakini mashambulizi dhidi ya shule sio rahisi kutokea.
Haijulikani nani aliyehusika na shambulizi hilo.
Mkazi mmoja wa Mji wa Benghazi,ameambia BBC kuwa aliona mtu mmoja akitengeza guruneti kwa mdomo wake tayari kwa mashambulizi.
Kisha akaitupa guruneti hiyo shuleni humo kabla ya kutoroka kwa gari moja dogo.
Watu walionekana wakikimbilia usalama wao baada ya shambulizi hilo.
Shambulizio lenyewe lilifanyika kabla ya saa tano asubuhi watoto walipokuwa nje wakicheza.
Afisaa mmoja wa usalama amesema kuwa shambulizi halikuwa na nguvu kubwa, na kuwa polisi wameanza kuwasaka washukiwa.
Mji wa Benghazi ulikuwa kitovu cha harakati za mapinduzi ya kiraia mwaka 2011 ambayo yalimuondoa mamlakani hayati Muammar Gaddafi.
Tangu hapo,mji huo umekuwa ukikumbwa na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi ya taasisi za serikali.
Umoja wa Mataifa umekuwa ukifuatilia visa vya mapadre kuwadhulumu watoto
Umoja wa mataifa umetuhumu makao makuu ya kanisa katoliki la Vatican kwa kuidhinisha na kutumia sera zilizowezesha mapadre kubaka na kuwalawiti maelfu ya watoto.
Kamati ya umoja wa mataifa ya haki za watoto imesema kanisa hilo linapaswa kuondoa wote wanaokiuka haki za watoto kutoka nafasi za uongozi na kuanzisha uchunguzi dhidi yao.
Kamati hiyo imekiri kuwa japo Vatican imeshiriki mazungumzo na kuahidi mageuzi, bado inahitaji kupiga hatua kubwa zaidi.
Mengi yaliyoandikwa katika ripoti hii yamekuwa yakiangaziwa na vyombo vya habari. Shutma hizo ni pamoja na kuharibu watoto, kuwapa adhabu kali na kuwatenganisha na wazazi wao.
Umoja wa mataifa unasema uongozi wa kanisa katoliki unapaswa kufanya juhudi zaidi ili kuzuia makosa yaliyowahi kutokea.
Umoja wa mataifa pia umesifia marekebisho yalioyafanywa katika sheria za Vatican lakini umesema kwamba utekelezaji unahitajika kwa kasi.
Kwa upande wake kanisa katoliki limekiri kwamba linahitaji kuhakikisha kwamba sheria zake zinaambatana na sheria za umoja wa mataifa kuhusu haki za watoto.
Ripoti hiyo pia imekosoa msimamo wa Kanisa katoliki mapenzi ya jinsia moja,upangaji uzazi na uavyaji mimba.


 

 Michael Laudrup enzi hizo akiwa anaiongoza Swansea...


Swansea City imemfuta kazi kocha wake Michael Laudrup na kumpa nahodha wa timu hiyo Garry Monk kuiongoza katika mechi ya ligi dhidi ya wapinzani wake Cardiff City Jumamosi ijayo.
Taarifa hizo zinajiri siku moja tu baada ya mwenyekiti wa kilabu hiyo Huw Jenkins kupuuzilia mbali tetesi kuwa walikuwa wamezungumzia mustakabali wa Laudrup.
Uvumi ulikuwa umesambaa kuhusu hatma ya Laudrup baada ya Swansea kushindwa kwa mabao 2-0 dhidi ya West Ham Jumamosi iliyopita.

Hiyo ilikuwa mara ya sita timu hiyo kupoteza katika mechi nane za Ligii kuu ya Uingereza na kuiacha na alama mbili tu juu ya timu ambazo zitateremshwa katika ligii hiyo.
Monk alikuwa amepigiwa debe kuchukua nafasi hiyo ikiwa mojawapo ya njia za kuboresha kikosi hicho.

Kocha Laudrup aliiongoza Swansea kwenye Capital One Cup msimu uliopita na wakaichapa Bradford 5-0 kwenye fainali.
Kocha Michael Laudrup akiwa amebeba mwali (kombe) baada ya kuishinda Bradford kwenye fainali.
Sasa Michael Laudrup anatimuliwa baada ya timu hiyo kusua sua hivi sasa


KUHUSU MICHAEL LAUDRUP:
1964: Born June 15 in Frederiksberg, Denmark.
1981: Makes professional debut for KB after joining the club along with his father Finn Laudrup.
1982: Moves back to boyhood club Brondby and helps them to gain promotion back to the Danish top flight where he then scores 15 goals and finishes third top scorer in the league - also winning the Danish Player of the Year award. Becomes second youngest Denmark international when he makes senior debut on his 18th birthday.
1983: Signs for defending Italian champions Juventus after a potential move to Liverpool falls through and is immediately loaned out to Lazio.1985: Scores only one league goal in a second season on loan at Lazio, who finish bottom of Serie A, before returning to Juventus for the 1985/86 season and picks up his second Danish Player of the Year award.
1986: Wins Serie A title and Intercontinental Cup in his first season playing in Turin.
1989: Joins Johan Cruyff's Barcelona side and becomes part of one of the most successful teams in Spanish football history.
1991: Wins first of four successive Primera Division titles at Barca.
1992: Plays as Barcelona win their first-ever European Cup with an extra-time victory over Sampdoria at Wembley. Makes himself unavailable for selection for Denmark at Euro 92 - a tournament the Danes would go on to win.
1994: Not selected by Cruyff for the Champions League final against AC Milan, which the Italian side win 4-0, and subsequently moves to Barcelona's arch rivals Real Madrid.
1995: Helps Madrid break Barcelona's run of four back-to-back league titles as they win La Liga for the first time since 1990.
1996: Moves to J.League side Vissel Kobe for a single season.
1997: Joins Ajax and wins the Eredivisie title in his final season as a professional footballer.
1998: Captains Denmark to the quarter-finals of the World Cup in France, where they are narrowly beaten by Brazil.
2000: Appointed as assistant coach to Denmark boss Morten Olsen.
2002: Becomes manager of Brondby and guides them to a Danish Cup success in his first campaign at the helm.
2005: Wins the Danish league and cup double.
2006: Guides Brondby to a second-placed league finish but leaves the club after failing to agree a new deal.
2007: Takes managerial job at Getafe and reaches the Copa del Rey final but loses to Valencia and leaves the Madrid club after one season.
2008: Signs an 18-month contract to manage Russian giants Spartak Moscow.
2009: Sacked as Spartak manager in April after just seven months in charge.
2010: Returns to manage in Spain with Real Mallorca and keeps the struggling side in La Liga.
2011: Quits as boss of Mallorca at the start of the 2011/12 season.
2012: June 16 - Appointed Swansea manager on a two-year contract.
2013: February 24 - Guides Swansea to first major silverware in the club's history with 5-0 win over Bradford in Capital One Cup final at Wembley, also booking the Swans a Europa League berth.
March 8 - Signs one-year extension to his contract at the Liberty Stadium.
May 19 - Swansea end the season in ninth place in the Premier League after a 3-0 home loss to Fulham on the final day of the season.
July 11 - Breaks the club transfer record by signing Ivorian striker Wilfried Bony for £12million from Dutch side Vitesse Arnhem.
September 19 - Guides Swansea to one of the most famous wins in their history as goals from Bony, Michu and Jonathan De Guzman seal a 3-0 win over Valencia at the Mestalla in the Europa League. The Swans go on to qualify from Group A and are drawn to face Napoli in the last 32.
2014: January 5 - Oversees another notable victory as the Swans win at Old Trafford for the first time in the club's history, beating Manchester United 2-1 in the third round of the FA Cup.
February 4 - Parts company with Swansea after a run of just one win in 10 league matches.

 


Wawakilishi wa Tanzania bara kwenye mashindano ya klabu Bingwa barani Afrika timu ya Young Africans itashuka dimbani siku ya jumamosi kuivaa timu ya Komorozine de Domoni ya Visiwa vya Comoro katika mchezo wa hatua ya awali ya Klabu Bingwa barani Afrika.
Young Africans itashukda dimbani kuhakikisha inaendeleza wimbi la ushindi kufuatia kupata ushindi katika mchezo wa mwisho dhidi ya timu ya Mbeya City mchezo ambao ulikuwa ni kuwasisimua kwa wapenzi wa soka nchini kwa ujumla.
Kikosi cha Young Africans chenye wachezaji 25 kimeweka kambi mjini Bagamoyo kujiandaa na mchezo huo ambapo wachezaji wake wote wapo katika hali nzuri na wakiendelea na maandalizi ya mchezo huo.
Kocha Mkuu wa Young Africans mholanzi Hans Van der Pluijm jana amekifanyisha kikosi chake mazoezi mara mbili asubuhi na jioni , huku leo akitarajia kuendelea na mazoezi jioni katika kuwaweka sawa kwa ajii ya mehci hiyo ya jumamosi.
Akiongelea mchezo wa jumamosi kocha Hans alisema anashukuru vijana wake wote wako fit, hakuna majeruhi hata mmoja na kikubwa wakiwa mjini Bagamoyo wanapata muda wa kupumzika mara baada ya mazoezi jambo ambalo kiafya ni muhimu.

Viingilio vya mchezo huo wa jumamosi ni:
VIP A Tshs 30,000/=
VIP B & C Tshs 20,000/=
Orange Tshs 10,000/=
Blue & Green Tshs 5,000/=
Aidha tiketi zitaanza kuuzwa siku moja kabla ya mechi (ijumaa) katika vituo vifuatavyo:
Makao Makuu - Young Africans SC
Kariakoo - Sokoni
Shule ya Sekondari Benjamini - Uhuru
Mwenge - Stand
Oil Com - Ubungo
Steers - Mtaa wa Samora
Dar Live - Mbagala
Oil Com - Buguruni
Uwanja wa Uhuru - Chang'ombe
Kimara Mwisho - Stand

waliotembelea blog