Saturday, February 8, 2014


 

‘FC Shakhtar regretfully informs that on 8 February 2014 the life of a footballer Maicon Pereira de Oliveira tragically ended.
‘He died in a car crash in Donetsk.
‘He was a talented footballer, open and friendly guy. Maicon loved life and knew how to make it positive and bright.

‘Tragic, untimely and absurd death took away a wonderful person from our ranks. Maicon was only 25 years old.
‘It is a terrible bereavement for each of us. FC Shakhtar expresses condolences and sympathy to Maicon’s family and friends. May he rest in peace…’



Taswira ya uwanjani Anfield wakati wa dakika chache kabla ya mapumziko
Nipepee kwanza maana....mhhhh!!!!
 Martin Skrtel akishangilia bao lake la pili

Wamekwisha Gunners ndani ya dakika 20 wameishafungwa bao 4-0


Mkutano    wa nane wa maajadiliano  ya wazi kuhusu maandalizi   ya  malengo  mpya ya maendeleo endelevu baada ya 2015 ( SDGs) umekamilika  siku ya  Ijumaa  hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa.  Katika Mkutano huu wa wa wiki moja  wajumbe walijadiliana na kubadilishana mawazo kuhusu  mada kadhaa  ambazo ziliwasilishwa mbele yao kuangalia ni kwa namna gani  zinaweza  kuwa sehemu ya  malengo hayo mapya ya  maendeleo endelevu. Mada hizo zilihusu masuala ya  Bahari,  Misitu  na  Viumbe hai, Usawa wa Jinsia na uwezeshwaji wa wanawake, uzuiaji wa machafuko,  uimarishaji wa amani , ujenzi wa amani baada ya machafuko,  utawala wa sheria na utawala bora. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kati ya   Mataifa 30 yaliyokuwa yamechaguliwa kuwa wajumbe wa majadiliano hayo ya wazi ( Open Working Group).  na  Imeshiriki kikamilifu tangu mkutano wa kwanza hadi huu wa mwisho
 Balozi   Celestine Mushy, Mkurugenzi,  Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, akizugumza katika mkutano huo wa mwisho wa maandalizi ya  malengo mapya ya maendeleo  endelevu baada ya  2015, Balozi Mushy ndiye aliyeongoza ujumbe wa Tanzania katika  Mkutano huo. Pembeni ni Bw. Noel Kaganda Afisa wa Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa
 Washiriki wengine wakifutalia kwa makini majadiliano hayo
 
 Washiriki wengine wakifutalia kwa makini majadiliano hayo
Wajumbe wakifuatiali mchango wa  Tanzania  uliowasilishwa na  Balozi Mushy kuhusu  uzuiaji wa  machafuko,  uimarishaji wa amani,  ujenzi wa amani baada ya machafuko,  utawala wa sheria na utawala  bora.


STATEMENT BY AMBASSADOR CELESTINE MUSHY,DIRECTOR, DEPARTMENT OF MULTILATERAL COOPERATION, MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND  INTERNATIONAL COOPERATION AT THE EIGHTH SESSION OF THE OPEN WORKING GROUP ON SUSTAINABLE GOALS ON THE ITEM ENTITLED: “CONFLICT PREVENTION, POST-CONFLICT PEACEBUILDING AND THE PROMOTIONS OF DURABLE PEACE, RULE OF LAW AND GOVERNANCE”, NEW YORK, 7 FEBRUARY 2014

Mr. Co-Chair,

​We are glad to address this session in its last day of its eighth session which is also the climax of the stocktaking phase of the Open Working Group on Sustainable Development Goals.
​At the outset we wish to associate ourselves with the statement delivered by the
Plurinational  State of Bolivia on behalf of members of the G77 and China, Benin on behalf of the Least Developing Countries (LDCs) and Guinea on behalf of the African Group.

​We wish to make the following additional remarks in our national capacity:
Mr. Co-Chair,
​It is encouraging to note that we have been bold enough to include the issues of
conflict prevention, rule of law and governance in our consideration as we navigate through this important task of formulating the Sustainable Development Goals.
​We believe it is quite in order to accord sufficient consideration to these issues, which are intrinsically linked to development. Conflicts impede development and the latter flourishes in societies that have embraced democracy, good governance and those that uphold the rule of law.
​We have not heard any views to the contrary on the need to build and strengthen, as appropriate, public institutions which are prerequisite for any meaningful development prospects in our countries.
​Our challenge however, and this is very apparent, is how to deduce all these issues into specific and ambitious targets and indicators without distorting the universal goals that we are crafting through these continued consultations.
​My delegation appreciates the attempts by several Member States and other stakeholders, including the civil society to suggest goals, targets and indicators in this area.
Such attempts have brought some light into our deliberations and will undoubtedly enable us to approach these issues in a more focused manner.
Mr. Co-Chair,
​Let me detangle these issues for a moment – beginning by singling out the subject of conflict prevention. Looking at conflict prevention from the sustainable development point of view, it is very clear that our objective is to eliminate the impediments to achieving the end goal, which is sustainable development. We have mechanisms in place at national, regional and international levels for dealing with this impediment.
For example, we have the police, judiciary and army as well as other organizations including faith based organizations which are actively involved at national level in preventing, managing and resolving conflicts of all sorts. We have regional arrangements such as the African Peace and Security Architecture for dealing with this issue.
​At the international level, we have the United Nations Security Council and other tools for preventing and dissolving conflicts as elucidated in Chapter Six of the Charter of the United Nations. What we need here is not a specific goal on conflict, but rather an appreciation that, if we are to achieve sustainable development for all, we need to do away with conflicts, particularly armed conflicts which seem to a curse in our great continent, Africa.

​We need to address the root causes of conflicts, which include poverty, inequality and exclusion, religious and tribal differences, proliferation of arms and their ammunitions, and foreign induced instability. We could discuss all these issues through the new development framework, if we so decide, but we strongly believe that we have a forum for them already.
The best cure for inactivity of these fora is not a shift of focus but rather to dare and undertake comprehensive reforms. For example we need to reform the UN Security Council to make it more democratic, transparent and proactive.
Mr. Co-Chair,
​Turning to rule of law:   it has been stressed severally that we need to uphold it nationally, regionally and internationally. Let me state very clearly here that, presence of rule of law alone, does not necessarily guarantee sustainable economic growth and development.
However, it is an important development enabler as confirmed in the outcome documents of the 2005 World Summit; the 2010 MDG review summit and the Rio + 20   conference.
​It cannot be disputed that we need to do something about the 4 billion people who live outside the protection of the law, the poor and marginalized who are excluded from the socio-economic endeavors. We believe that the presence of rule of law, in a meaningful manner, enables the poor and marginalized to equally access development opportunities and eventually to break loose from the shackles of poverty. Undeniably, rule of law provides voice to the voiceless; hope to the hopeless; and freedom and justice to the oppressed and marginalized.
​It is thus crystal clear, in our opinion that we cannot succeed in our collective efforts to empower our people and reduce inequality and exclusions without paying due regard to rule of law at both national and international levels. Our overall goal must be to eradicate all barriers to development, including trade barriers and economic blockades which are impeding developing countries from achieving sustainable economic growth and development.
Mr. Co-Chair,

​Let me conclude by touching upon the third issue: governance. This too is a development enabler, one which cuts across so many other issues, including the two I have just touched upon. Responsibility, accountability, inclusivity and transparency are essential pillars in any governance system, whether national and international. We must do our utmost to ensure that these aspects are reflected in the sustainable development goals, particularly on the aspect of means of implementation.
​The United Republic of Tanzania is and has always promoted conflict prevention, rule of law and good governance and has voluntarily joined regional and global initiatives such as the African Peer Review Mechanism, the Open Government Partnership and Extractive Industry Transparency Initiative. This is what drives my delegation to call for good and responsible governance at local, national, regional and international levels. Tanzania's commitments     to these issues goes a while back.
We fought apartheid and other discriminatory systems with all strength and resources – Tanzania was the headquarters of the liberation movement in Southern Africa; our troops fought alongside Ugandans to end the brutal regime of Iddi Amin Dada; we fought alongside the people of the Comoros to remove an illegitimate ruler; and we are actively engaged in peacekeeping as well as peace building efforts, including in the Great Lakes Region of Africa, at a huge sacrifice of our men and women in blue helmet. We do so out of a firm conviction that, development and prosperity for all will remain elusive, if discrimination, injustice and conflicts continue to reign.
​In this regard, we shall render the necessary cooperation to ensure that the SDGs, once adopted, will contribute to building economically, socially and environmentally resilient societies, which are free from inequality, injustice and conflicts.


3 
Na watenda kazi Francis Godwin Blog ,Njombe na Iringa
WAKATI  wananchi  wa kata ya  Nduli jimbo la Iringa mjini na  wale  wa kata ya Njombe mjini  jimbo la Njombe  kusini  kesho wanashiriki katika zoezi la upigaji  kura katika  uchaguzi mdogo  wa udiwani ,chama  cha mapinduzi (CCM ) mkoa  wa  Iringa na Njombe  kimelaani  vurugu  zinavyofanywa na viongozi na  wafuasi  wa Chadema katika chaguzi hizo na  kuwaomba  wananchi kujitokeza  kwa wingi katika uchaguzi  huo bila vitisho na kuchagua wagombea  wa CCM.
Huku  jeshi la  polisi Imkoa  wa Njombe likidai limejipanga kwa ulinzi polisi mkoa  wa Iringa limedai   kuwa  kuna  kikundi  kinasakwa kwa  kutaka  kufanya  vurugu katika uchaguzi huo na kuwaondoa  hofu  wananchi kufika  kupiga kura  bila kuogopa .
Kaimu  katibu  wa CCM mkoa  wa Iringa Hassan Mtenga  alitoa kauli hiyo jana  wakati wa ufungaji wa kampeni  za uchaguzi mdogo kata ya  Nduli  jimbo la Iringa  mjini .
Alisema  kuwa  lengo la chama  chochote cha siasa ni  kuona  wananchi  wake  wanaendelea  na shughuli  zao katika hali ya amani na utulivu   na  kuwa chama  chochote cha siasa  kinachojihusisha na vitendo vya  kinyama dhidi ya wananchi  wake ni wazi hakipo kwa  ajili ya kulinda amani ya wananchi.
Hivyo  alisema vurugu zilizofanywa na wafuasi wa Chadema na mbunge  wa  jimbo  hilo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa  juzi ni  wazi kuwa Chadema hakipendi kuna wananchi  wakifanya shughuli  zao kwa amani  na kutokana na unyama  huo  unaofanywa na Chadema ni vema  wana Nduli kuendelea kuchagua  CCM ili amani  iliyopo izidi kulindwa . Mtenga  alisema mbali ya CCM kuruhusu  vyama  vingi vya  siasa  mwaka 1994 ila bado baadhi ya  vyama  vya siasa  vimekuwa ni mwanzo  wa  kuvuruga amani ya watanzania na  kuwa ni vyama vya  kusababisha  vurugu  hata mauwaji kwa  watanzania .
Alisema  kuwa haiwezekani  kwa  chama makini chenye kupenda  amani  kuona kinashabikia vurugu  na hata  wabunge  wake  na  viongozi  wake kila kukicha  wakikamatwa kwa  vurugu katika mikutano.
Mtenga  alisema  jimbo la Iringa mjini limeendelea kuzolota katika maendeleo  kutokana na vurugu  za kisiasa za mara kwa mara  zinazojitokeza na  kuwa hata  maendeleo  yanayoonekana kama huduma ya maji  safi kwa wananchi wa Nduli ni  jitihada za mbunge wa  wa CCM aliyekuwepo kabla ya Msigwa pamoja na mbunge viti maalum mkoa  wa Iringa Ritta Kabati ambae  kila  wakati bungeni amekuwa akipigania .
“Tunapenda  kuwahakikishia  wana Nduli  kuwa  iwapo  mtatuwekea mrithi  wa diwani  marehemu Iddi Chonanga  kutoka  CCM pale  alipoishia  diwani  wenu katika maendeleo pataendelezwa  zaidi  kwani  mwenye  kukabidhiwa  mikoba ya diwani  aliyekufa ni lazima awe  kutoka  CCM na si vinginevyo”
Kwa  upande  wake  Chama  cha  Mapinduzi mkoa  wa Njombe kimeeleza  kusikitishwa na vurugu  mbali mbali  zinazojitokeza katika kampeni  za udiwani kata ya  Njombe mjini baada ya  wafuasi na viongozi wa Chadema  kuwapiga wananchi .
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Njombe Deo Sanga ambae ni mbunge wa  jimbo la Njombe Kaskazin  alisema kuwa siasa  inayofanywa na  wana Chadema kwa Njombe mjini ni siasa ya kinyama na kuwa ilipendeza kwa vyama vya  siasa  kushindana kwa sera na hoja badala ya  kushindana kwa vurugu .
HIvyo  alisema  kuwa ili  CCM kuendelea  kutimiza ahadi zake na kuongoza kata  hiyo ni  wajibu wa  wananchi wa Njombe kuchagua mgombea wa CCM badala ya  kuwasikiliza wafuasi hao wa Chadema kutoka nje ya Njombe ambao wapo kwa ajili ya kutaka kuvuruga uchaguzi  huo.
Huku mbunge  wa  jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akiwataka  wana Njombe mjini  kutokubali  kata   hiyo ya Njombe mjini  kuchukuliwa na vyama vya upinzani na  kuwataka  kuchagua chama  cha mapinduzi.
Filikunjombe  alitoa kauli hiyo  wakati wa kumnadi mgombea  udiwani wa CCM katika kata  hiyo ya Njombe mjini na  kuwa Wilaya ya  Ludewa na Njombe ni wilaya  majirani na  kuwa  masilimali za  Ludewa ambazo ni makaa ya mawe na Liganga si tu ukombozi kwa  wana Ludewa ni ukombozi wa mkoa wa Njombe na Taifa  hivyo kuwataka  vijana  kuendelea  kuwa na imani na serikali ya chama cha mapinduzi chini ya Rais Dr Jakaya  Kikwete ambae katika utawala  wake watanzania  wanashuhudia miradi hiyo mkikubwa  inaanza.
Alisema  kuwa uchumi  wa Njombe na Ludewa  baada ya kuanza kwa miradi  hiyo utakuwa  zaidi kutokana na vijana  wengi kupata ajira katika  miradi hiyo. Wakati  huo  huo Jeshi la  polisi  mkoa  wa Njombe na Iringa  limesema  limejipanga  vyema  kwa ulinzi wakati wa  zoezi nzima la upigaji  kura  hadi kutangazwa kwa matokeo  ya uchaguzi na kuwa  atakayejaribu  kumtisha mpiga kura  asifike  kupiga  kura atakiona cha moto kutoka kwa  jeshi  hilo.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Njombe Fulgence Ngonyani akizungumza na mwandishi wa habari hizi kwa  njia ya simu jana alisema  kuwa  jeshi  lake  limefanikiwa  kuwapa mafunzo maalum askari  wake kwa ajili ya kulinda amani wakati wa zoezi la uchaguzi huo na  kuwataka  wananchi wa Njombe mjini wenye sifa ya  kupiga kura  kufika kupiga  kura bila kitisho  kutoka kwa  mtu yeyote na kuwa yule atakayetishwa asisite  kutoa taarifa kwa askari  watakaokuwepo maeneo yanayozunguka vituo  vya kupigia kura.
Huku kamanda wa  polisi  mkoa wa Iringa Ramadhan Mungi akisema  kuwa  jeshi lake  limejipanga  toka mwanzo katika kampeni hizo.
Kamanda  Mungi  alisema  kuwa kumekuwepo na  vurugu  za hapa na pale ambazo zinatokana na pambe  moja kati ya  zinazovutana  kukata  tamaa katika uchaguzi huo  kutokana na kujijipanga  vema japo  wao kama polisi wamejipanga  kuona  amani na utulivu  unakuwepo wakati  wote wa upigaji kura na utangazaji wa matokeo japo alisema  zipo  taarifa  za  baadhi ya  wafuasi wa moja kati ya  vyama  vya  siasa  kupanga  kufanya vurugu  na kuwa tayari  kikundi  hicho  kinajulikana na  wameanza msako  wa kukisaka  ili  kufikishwa katika vyombo  vya sheria.
Joto  hilo la uchaguzi  mdogo katika kata ya Nduli linaonyesha kwenda  vibaya   zaidi kwa Chadema  kutokana na mgombea aliyesimamishwa Ayub Mwenda awali alipata  kuwa mwenyekiti wa serikali ya  kijiji  cha Nduli na kutolewa na  wananchi kwa kura  za maoni za kutokuwa na imani nae  kutokana na madai ya  kula fedha za kijiji na baada ya  hapo  kuamua  kuhamia Chadema na kuchukua fomu ya  kuwania nafasi hiyo ya udiwani jambo ambalo  wanadai  kuwa kupata udiwani katika kata  hiyo ni vingumu  zaidi .
Pia  uchaguzi huo  ni kipimo  moja wapo  kwa mbunge wa jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa kama bado anakubalika ama  lah ila  pia  ni kipimo  kwa CCM kuendelea  kushinda chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2015 .
Hali katika kata ya Njombe mjini upepo wa kisiasa hadi  sasa ni 50 kwa 50 kwa vyama viwili  vilivyojitokeza CCM na Chadema ambapo  kuna  uwezekano  wa CCM kushinda tena kwa  kumrudisha  diwani wa CCM ama  kushindwa kutokana na vyama hivyo  viwili  kuonyesha  kukamiana  kupita kiasi.

 

KLABU ya Manchester City imepanga kuongeza Uwanja wake wa Etihad kwa zaidi ya viti 14,000 ambapo mara baada ya mpango huo kukamilika uwanja huo utakuwa na uwezo wa kuingiza mashabiki 62,170 badala ya 47,620 kama ilivyo sasa. Mpango huo tayari umeshawasilishwa katika tume ya mipango ya halmashauri na kutokana na ripoti iliyotolewa jana mpango huo umekubaliwa. Kama matengenezo ya uwanja huo yakiendelea jiji la Manchester litakuwa na viwanja viwili vikubwa nchini Uingereza mwingine ukiwa ni Old Traford. Man City wamefikia mpango huo ili kuongeza mapato katika viingilio hususani katika kipindi hiki ambacho timu hiyo inafanya vyema katika michuano mbalimbali ya ndani na kimataifa.Etihad Stadium itakavyoonekanaMwonekano safi wa EtihadMchoro mpya wa uwanja wa  Etihad
North to South

:

 

 

Martin Skrtel 1'
Martin Skrtel 10'
Raheem Sterling 17'
Daniel Sturridge 20'



 Martin Skrtel akishangilia
 Martin Skrtel akishangilia bao lake la pili

Wamekwisha Gunners ndani ya dakika 20 wameishafungwa bao 4-0
Daniel Sturridge akifunga bao la nne na kufanya  4-0 katika dakika ya 20


Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Jamali Malinzi (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jana kuhusu siku 100 tangu walipoingia madarakani. Kulia ni msaidizi wa Rais masuala ya Ufundi, Pelegrinius Rutahyuga na kushoto ni Ofisa Habari wa TFF, Boniface Wambura.



Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ameelezea hatua zilizofikiwa katika utekelezaji wa Ilani yake siku 100 tangu alipoingia madarakani.


Akizungumza na waandishi wa habari leo (Februari 7 mwaka huu) katika mkutano uliofanyika katika hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam, Rais Malinzi aliainisha maeneo kadhaa yaliyopewa kipaumbele na tayari yameanza kufanyiwa kazi pamoja na changamoto zilizopo.


Alisema muundo wa Idara ya Ufundi umebadilishwa kwa kuundwa vitengo vya ufundi, elimu na maendeleo ya mpira wa miguu huku maeneo ambayo tayari yameanza kufanyiwa kazi kuwa ni;


Ujenzi wa kituo cha mpira wa miguu (football centre of excellency), timu kupanda daraja, kuanzisha mashindano mapya na kufufua ya zamani, mpira wa miguu wa wanawake, maandalizi ya vijana (grassroot football), tiba, walimu na makocha, utawala, uhusiano na Zanzibar, klabu za mpira wa miguu, wachezaji, masoko na uwekezaji, kitengo cha habari, viwanja na timu ya Taifa (Taifa Stars).


Rais Malinzi amesema changamoto zilizopo kwa sasa ni matumizi ya tiketi za elektroniki, ufinyu wa bajeti, madeni, nidhamu, maadili na uchezeshaji wa waamuzi.


Ametoa mwito kwa wadau wote nchini wakiongozwa na Serikali, Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Afrika (CAF), Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), vyombo vya habari, mashirika ya umma na kampuni binafsi kushikamana na kuwa kitu kimoja kwa nia ya kuinua kiwango cha mpira wa miguu Tanzania.
TANZANIA  FOOTBALL  FEDERATION
TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI
YA RAIS WA TFF
Ndugu zangu,
Uchaguzi mkuu wa TFF ulifanyika  tarehe 27 Oktoba, 2013 na kukamilika alfajiri ya tarehe 28 Oktoba, 2013 ambapo Kamati ya Utendaji ya TFF ilitangazwa rasmi na aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi wa TFF Ndugu Hamidu Mbwezeleni.
Katika kuelekea uchaguzi mkuu huo niliitisha mkutano na waandishi wa habari ambapo nilitangaza ilani yangu ya uchaguzi.  Lengo la ilani ilikuwa ni kuwaeleza wadau na wapenzi wa mpira wa miguu Tanzania dira ambayo ingeongoza mpira wetu iwapo ningechaguliwa kuwa Rais wa TFF.  Aidha niliahidi iwapo ningechaguliwa tungekutana katika chumba hiki hiki  baada ya siku 100.  Ninapenda nichukue fursa hii  kuwashukuru na kuwapongeza wajumbe wote wa Mkutano Mkuu wa TFF, walionipa kura na ambao hawakunipa kura, kwa kukamilisha vyema zoezi la uchaguzi huo.  Uchaguzi umekamilika kazi iliyobakia mbele yetu ni kutekeleza majukumu yetu kama viongozi wa mpira miguu Tanzania.
















waliotembelea blog