Saturday, February 8, 2014



africa_c1679.jpg
Afrika inasherehekea miaka 50 ya umoja wa kisiasa na uchumi unaonawiri, ambapo bara hilo kwa muda mrefu sasa linaangaliwa kama eneo la neema kubwa, licha ya ukuaji huo wa kiuchumi kuwa na walakini.
Bara la Afrika linasherehekea hivi sasa miaka 50 ya Umoja wa Afrika kwa ufanisi tangu wa kisiasa mpaka wa kiuchumi. Bara hilo linajitokeza kama eneo lenye fursa kubwa ya kuwavutia wawekezaji. Baada ya "Chui wa Asia" sasa Simba wa Afrika wananguruma.
Takwimu zinadhihirisha uchumi utakuwa mwaka huu kwa 7% au zaidi katika robo ya mataifa yote ya eneo la kusini mwa jangwa la Sahara. Wakati huo huo, mengi ya mataifa hayo yamo katika lile kundi la mataifa ambayo uchumi wake unakuwa haraka kupita kiasi.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog