Saturday, March 22, 2014


Wataalamu wanaendelea na juhudi za kuchunguza iliko ndege ya Malaysia
China imeanza kuchunguza picha mpya za setilite zinazoonyesha kitu kama mabaki ya ndege kwenye eneo la kusini mwa bahari ya Hindi.
Picha hizo ni muhimu kwa ndege ya Malaysia MH370 iliyopotea, maafisa wa Malaysia wanasema.
Kaimu Waziri wa Usafirishaji Hishammuddin Hussein amesoma taarifa hiyo baada ya kukabidhiwa ambapo amesema kuna kitu kama mabaki ya ndege chenye ukubwa wa mita 30 kwa 22 kilichoonekana.
Amesema serikali ya China itaendelea kutoa taarifa zaidi hapo baadae.
Ndege MH370 mali ya Shirika la ndege la Malaysia ilipotea kwenye masiliano ilipokuwa imeondoka kutoka Kuala Lumpur kwenda Beijing march 8 ikiwa na abiria 239.


Respected: Ferguson poses with Nesbitt and Vice-Chancellor Professor Richard Barnett on Thursday
Sir Alex Ferguson (katikati) akiwa amesimama na viongozi wa chuo cha Ulster Ireland baada ya kupewa degree ya heshima kutokana na mchango mkubwa aliyoutoa kwenye soka hususani Man utd. Katika maneno yake mbele ya wanachuo 500 Sir Alex alisema ' Najivunia kupokea degree hii ya heshima kutoka kwenye chuo kikubwa kama hiki. Ninayo furaha sana kuona hata chuo kimeona mchango wangu na kufikiria kunipa tuzo. Hii ni ishara tosha kuwa mafanikio yangu katika soka yatawahamasisha pia wanachuo ambao wana ndoto ya kutimiza mambo makubwa kwenye maisha yao kwa kudumisha yale niliyokuwa nayaamini kama chachu ya mafanikio ambayo ni bidii na tabia njema'.
Proud moment: Sir Alex Ferguson has received an honorary degree for his outstanding contribution to football Proud moment: Sir Alex Ferguson has received an honorary degree for his outstanding contribution to footballSpeech: Ferguson speaks to students after receiving his honorary degree from the University of Ulster


Unhappy ending: Robin van Persie was carried off on a stretcher after scoring three against Olympiacos
Matokeo ya vipimo vya majeraha aliyoyapata Van Persie kwenye mechi dhidi ya Olympiacos yameonesha mchezaji huyu atakuwa kwenye matibabu kwa wiki sita. Majibu ya vipimo hivi yamekuwa tofauti ya fikra za wengi akiwemo kocha Moyes waliofikiri RVP amepata majeraha madogo. Kutokana na majeraha haya RVP ataweza kukosa mechi zifuatazo;

Mar 23: West Ham (A)
Mar 25: Man City (H)
Mar 29: Aston Villa (H)
Apr 1: Bayern Munich (H)
Apr 5: Newcastle (A)
Apr 9: Bayern Munich (A)
Apr 20: Everton (A)
Apr 26: Norwich (H)


Ronaldo, Pepe na wapenzi wao wakiangalia mechi ya basketball kati ya Real Madrid na CSKA Moscow
Keen eye: Cristiano Ronaldo and model girlfriend Irina Shayk watched Real Madrid's basketball teamPepe was also in the capital Cristiano Ronaldo and Irina Shayk
Game for a laugh: Pepe (right) shares a joke with Ronaldo and Irina during a break in play
The look of love: Ronaldo and Irina Shayk Interested? The Russian super model takes her eyes off the action
Pretty in pink: Arsenal stars are focused on the pool table
Alex Oxlade-Chamberlain, Keiran Gibbs na  Aaron Ramsey wakicheza pool.

No diggity: Rio Ferdinand posted a video of him singing along to Blackstreet's 'No Diggity'
Rio Ferdinand akiwa mwenye furaha huku akiimba ndani ya gari yake siku ya alhamisi asubuhi siku moja baada ya United kuipiga Olympiacos. 
Spectator: Ramsey was at Twickenham to see Wales beaten by England in the Six Nations
 Kiungo wa Arsenal, Aaron Ramsey akiwa uwanjani kuangalia mechi ya Ragbi wakati Wales ikiifunga England. 
All smiles: Pique poses with his partner Shakira at the launch of her self-titled new album in Barcelona
Pique akiwa na mke wake Shakira siku ya uzinduzi wa album ya kumi ya Shakira jijini Barcelona 
Barca star: Pique was happy tot take time away from his team's preparations for Sunday's El Clasico
Neymar relaxes in Disneyland Paris before the Clásico
Neymar na Silva wakiwa Disneyland jijini Paris wiki hii.  

Standing tall: Brazilian team-mates Thiago Silva (left) and Neymar (right) pose with The Invincibles
Happy Father's Day, Messi!
Messi akitekeleza majukumu ya ubaba akiwa amembeba mtoto wake Thiago

waliotembelea blog