Saturday, December 12, 2015



LIGI KUU ENGLAND
RATIBA
Jumamosi Desemba 12

15:45 Norwich v Everton
18:00 Crystal Palace v Southampton
18:00 Man City v Swansea
18:00 Sunderland v Watford
18:00 West Ham v Stoke
20:30 Bournemouth v Man United

Jumapili Desemba 13
16:30 Aston Villa v Arsenal
19:00 Liverpool v West Brom
19:00 Tottenham v Newcastle

Jumatatu Desemba 14
23:00 Leicester v Chelsea


Leicester boss Claudio Ranieri poses with the manager of the month award at the club's training groundVINARA wa Ligi Kuu England Leicester City wamezoa Tuzo zote mbili za Ubora za Ligi hii kwa Mwezi Novemba kufuatia Claudio Ranieri kupewa Tuzo ya Meneja Bora na Straika Jamie Vardy kuwa ndie Mchezaji Bora.
Katika Mwezi Novemba, Vardy, mwenye Miaka 28, alifunga Bao katika Mechi zao zote 3 za Ligi na kuweka Rekodi ya kupiga Bao katika Mechi 11 mfululizo za Ligi.
Hii ni mara ya pili mfululizo kwa Vardy kutwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu England baada ya kuitwaa pia kwa Mwezi Oktoba.

It was a double celebration for Leicester as Jamie Vardy picked up the Player of the Month awardNae Ranieri ameiongoza Leicester kutwaa Pointi 7 kati ya 9 kwa Mwezi Novemba kwa kuzishinda Watford 2-1, Newcastle 3-0 na kutoka Sare 1-1 na Man United.
Mechi inayofuata kwa Leicester ni Jumatatu Usiku dhidi ya Mabingwa Watetezi Chelsea.


VARDY'S GOAL SCORING STREAK
Aug 8 - vs Sunderland - 1 goal (4-2 win)
Aug 29 - vs Bournemouth - 1 goal (1-1)
Sep 13 - vs Aston Villa - 1 goal (3-2 win)
Sep 19 - vs Stoke City - 1 goal (2-2)
Sep 26 - vs Arsenal - 2 goals (5-2 defeat)
Oct 3 - vs Norwich City - 1 goal (2-1 win)
Oct 17 - vs Southampton - 2 goals (2-2)
Oct 24 - vs Crystal Palace - 1 goal (1-0 win)
Oct 31 - vs West Brom - 1 goal (3-2 win)
Nov 7 - vs Watford - 1 goal (2-1 win)
Nov 21 - vs Newcastle - 1 goal (3-0 win)
Nov 28 - vs Man United - 1 goal (1-1)

Monthly winners
August: Andre Ayew (Swansea City)
September: Anthony Martial (Man United)
October: Jamie Vardy (Leicester City)
November: Jamie Vardy (Leicester City)



UEFA chief Michel Platini has lost his second appeal against FIFA's 90-day ban. Platini's first appeal against financial wrongdoing was rejected by the FIFA Appeal Committee and the Court of Arbitration for Sport has upheld it.

waliotembelea blog