Monday, August 11, 2014




Msanii Diamond Platnumz akihojiwa wakati wa uzinduzi wa filamu ya THINK LIKE A MEN.


Msanii Diamond,pamoja na wageni alioambatana nao akiwemo Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba wakati wakiwasili katika uzinduzi huo.


Terrence akizungumza kabla ya uzinduzi wa filamu ambayo naye ameshiriki kuanza.


Diamond akisalimiana na baadhi ya mashabiki baada ya uzinduzi.



Mikel Arteta aliongoza Mtoko huo

Alex Oxlade-Chamberlain na Jack Wilshere wakiingia kwenye baa ya Novikov Bar.
Wachezaji wa Arsenal Arsenal Alexis Sanchez, Jack Wilshere, Mikel Arteta na wengine kibao walisherehekea Ushindi wa bao 3-0 dhidi ya Man City na kutwaa kombe la Community Shield.Wachezaji hao walionekana kwenye Ukumbi wa Bar wa Maraha huko Mayfair Novikov ukiwa ni Mtoka wa nguvu usiku huo wa Jana.
Alexis Sanchez, Mikel Arteta, Jack Wilshere, Alex Oxlade-Chamberlain, Wojciech Szczesny na wengine kibao walionekana katika Bar hiyo ya Novikov jana Jumapili.


Jembe jipya!! Alexis Sanchez

Sanchez akiwa na  girlfriend wake Laia Grassi kwenye Gari

Sanchez

Kipa Wojciech Szczesny na  girlfriend wake  Marina Luczenko

Szczesny na kipenzi chake jana usiku

Mr Arsenal: Arteta

 Warembo wanaotarajia kushiriki mashindano ya Redd’s Miss Temeke, wakifanya mazoezi ya viungo katika ukumbi wa mazoezi wa Rio Gym & Spa Extra Jengo la Golden Jubilee, Dar es Salaam. Mashindano hayo yatafanyika TCC Club, Chang’ombe Agosti 22, mwaka huu.
 Ni mazoezi kwa kwenda mbele.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Rebecca na Neema Mollel wakiendelea na mazoezi hayo



Kocha wa Man City Manuel Pellegrini asisitiza timu yake itatetea taji lake
Kocha wa Manchester City Manuel Pellegrini amesema anamatumaini makubwa timu hiyo italitetea taji lake licha ya kuambulia kichapo cha mabao matatu kwa nunge dhidi ya vibonde wao Arsenal katika mechi ya kuwania ngao ya Community hapo jana. Good day out: Mikel Arteta lifts the Community Shield after a thumping win over the Premier League champions
Man City, wameratibiwa kufungua kampeini ya kutetea taji lao dhidi ya Newcastle jumapili ijayo.
Baada ya kichapo hicho hiyo jana Pellegrini aliulizwa na BBC Michezo iwapo anamatumaini kuwa timu hiyo inauwezo wa kutetea taji lake Pellegrini alisema kwa kinywa kipana ndiyo.

'' Nafahamu kuwa msimu huu timu 5 au hata 6 zinauwezo wa kutwaa taji la ligi msimu huu lakini nakuhakikishia kuwa kati ya timu hizo zote Man city ndiyo inatimu yenye uwezo wa kushinda.'' alisema Pellegrini.
''Wajua ni vigumu kuamini lakini mkitupa muda tutawathibitishia hilo uwanjani''.
Man City iliambulia kichapo cha 3-0 dhidi ya Arsenal.


Pellegrini alisema kutokuwepo kwa mshambulizi wake machachari Sergio Aguero mlinzi Vincent Kompany, Pablo Zabaleta na Bacary Sagna liathiri mchezo wetu.
''Unafahamu kuwa kikosi kilichocheza hivi leo sio kikosi chetu cha kwanza ''.

Pellegrini alimpa nafasi ya kuanza mchezaji mpya Willy Caballeroin na akamwelezea kipa nambari moja msimu uliopita Joe Hart, kuwa lazima adhihirishe uwezo wake msimu huu kwani anaupinzani si haba.

Nyota wa  muziki wa bongo fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’ akilitawala jukwaa pamoja na baadhi ya wacheza shoo wake katika onyesho  la kwanza la tamasha la Serengeti fiesta katika Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza lililofanyika mwishoni mwa wiki,tamasha hilo litaendelea kwenye miji mingine ya Bukoba na Kahama mwishoni mwa wiki.
 Baada ya kazi ya kuwaburudisha mashabiki wake,Mara Wema Sepetu a.k.a shemeji nae akajiunga kumpa sapoti mpenzi wake jukwaani.
Sehemu ya umati wa wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo jirani wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye tamasha la Serengeti fiesta 2014 lililoanza rasmi katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza mwishoni mwa wiki.
 Sehemu ya umati wa wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo jirani wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye tamasha la Serengeti fiesta 2014 lililoanza rasmi katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza mwishoni mwa wiki. 
  Sehemu ya umati wa wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo jirani wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye tamasha la Serengeti fiesta 2014 lililoanza rasmi katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza mwishoni mwa wiki.
 Diamond
na Ney wa Mitego wakioneshana umwamba wa kuwateka mashabiki kila mmoja
kwa staili yake,huku miluzi na Shangwe ikiwa imtawala ndani ya uwanja.
 Mmoja
wa wasanii anaefanya vyema kwa sasa katika anga ya muziki wa bongofleva
Vanessa Mdee a.k.a V Money akitumbuiza mbele ya maelfu ya wakazi wa
jiji la Mwanza (hawapo pichani) waliojitokeza kwa wingi kushuhudia
mrindimo wa tamasha la Serengeti Fiesta ndani ya Uwanja wa CCM Kirumba
jijini humo,tamasha hilo limefanyika mwishoni mwa wiki.
.
 Mmoja wa wasanii anaefanya vyema kwa sasa kupitia wimbo wake mpya wa Ole Themba akiwa chini ya Kampuni mpya ya No Fake Zone,Linah Sanga akitumbuiza mbele ya maelfu ya
wakazi wa jiji la Mwanza (hawapo pichani) waliojitokeza kwa wingi
kushuhudia mrindimo wa tamasha la Serengeti Fiesta ndani ya Uwanja wa
CCM Kirumba lililofanyika mwishoni mwa wiki.
Sehemu ya umati wa wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo jirani
wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye tamasha la
Serengeti fiesta 2014 lililoanza rasmi katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini
Mwanza mwishoni mwa wiki.
 Sehemu ya umati wa wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo jirani
wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye tamasha la
Serengeti fiesta 2014 lililoanza rasmi katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini
Mwanza mwishoni mwa wiki.
  Sehemu ya umati wa wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo jirani
wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye tamasha la
Serengeti fiesta 2014 lililoanza rasmi katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini
Mwanza mwishoni mwa wiki.
 Wasanii wa kundi la Tanikando Group kutoka Igoma, Mwanza nao
wakionesha umahiri wao kupamba onesho la muziki la Serengeti fiesta 2014 lililofanyika mwishoni mwa wiki katika uwanja wa CCM Kirumba jijini humo na kuhudhuriwa na maelfu ya wapenzi na washabiki wa tamasha hilo.
   Sehemu ya umati wa wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo jirani
wakishangilia baada ya kukongwa na burudani wakati wa tamasha la
Serengeti fiesta 2014 lililoanza rasmi katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini
Mwanza mwishoni mwa wiki. 
 Sehemu ya Wasanii wa bongofleva waliofanya vyema katika tamasha la Fiesta 2014 kupitia shindano la Serengeti fiesta 2014 Supa Nyota.
 Msanii wa bongofleva anaekuja kwa kasi katika mchakato wa kuchanganya nyimbo za asili na za kizazi kipya kutoka Bukoba,BK Sande akiimba wimbo wake mpya uitwa OMWANA mbele ya Maelfu ya wakazi wa jiji la Mwanza katika tamasha la Serengeti Fiesta 2014 lililozinduliwa jijini Mwanza mwishoni mwa wiki.
Hivi ndivyo wakazi wa jiji Mwanza walivyojitokeza kwenye tamasha la Serengeti Fiesta lililofanyika mwishoni mwa wiki jijini Mwanza.
 Msanii wa Bongofleva kutoka Mo Music akiimba jukwaani
 Utulivu ulikuwepo wa kutosha ndani ya tamasha la Fiesta 2014 huku umati mkubwa ukishuhudia uzinduzi wa tamasha hilo jijini Mwanza katika viwanja vya CCM Kirumba,mwishoni mwa wiki.

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Young  De, akifanya vitu vyake ndani
ya Uwanja wa CCM Kirumba wakati wa tamasha la Serengeti fiesta
2014, lililofanyika mwishoni mwa wiki jijini  Mwanza.
 Umakini na mitambo ya kutosha kuwapa burudani isiyo nakikomo kwa wakazi wa jiji la Mwanza.
Wakata Mikaa Chege na Themba wakishambulia jukwaa la fiesta
   Sehemu ya umati wa wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo jirani
wakishangilia baada ya kukongwa na burudani wakati wa tamasha la
Serengeri fiesta lililoanza rasmi katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini
Mwanza mwishoni mwa wiki,tamasha hilo wiki hii litaendelea katika miji ya Bukoba na kahama.
 Pichani kushoto ni Msanii kutoka ndani ya jiji la Mwanza.Young killer akiwa na msanii mwanzake amkimpa tafu kulishambulia jukwaa vilivyo
 Wadau wakuu wa tamasha hilo wakifurahia jambo
 Msanii wa bongo fleva, Mr Blue akikonga nyoyo za umati wa wakazi wa
Jiji la Mwanza waliojitokeza katika Uwanja wa CCM Kirumba katika tamasha
la Serengeti fiesta mwishoni mwa wiki ndani ya uwanaja wa ccm kirumba.
  Sehemu ya umati wa wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo jirani
wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri ndani ya tamasha la
Serengeri fiesta lililoanza rasmi katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini
Mwanza mwishoni mwa wiki,tamasha hilo wiki hii litaendelea katika miji ya Bukoba na kahama.
 Vijana wa Mkubwa Fella,Yamoto Band wakilishambulia jukwaa.
 Mkamua ngoma wa Diamond,Romyjons akifanya vitu vyake wakati Diamond akitumbuiza jukwaani.PICHA NA MICHUZI JR-MWANZA

waliotembelea blog