Friday, January 17, 2014

Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bw. Ludovick Utouh


Natoa taadhari kwamabtulikuwa na adidi za rejea amabazo ndizo tulizofuata,tulipokea mombi ya wananchi wengi lakinio hayakuwepo katika adidu za rejea,hatukuyafanyia kazi
Kilichobainika
Tunapohitaji maendeleo,tunafanya vitu kwa nia njema bila kufuata taratibu

Kuhusu uwekezaji wenye mashaka kwenye kituo cha kuosha magari,zabuni haikuwa shindanishi
ni kiyume na taratibu cha taribu anataja kifungu kilichokiukwa

Waliosaini ni Khamis kaputa na anatory amani huku wakijua ilikuwa ni makosa kufanya hivyo bila idhjini ya kikao cha madiwani,pia kamupuni husika ya ASEC ilikuwa haijasajiliwa na BRELA. hailipi kodi TRA

2.Issue ya Viwanja
kati ya wananchi 800 waliotakiwa kugawiwa viwanja ni 300 waliogawawia kutokana na migogo ya viwanja kimila.

Manispaa ilingia makubaliano na UTT kupima viwanja elfu 5 kwa kuggawana faida ya asilimia 50 kwa 50 baina ya UTT manispaa ilisainiwa na kaimu meya ngalinda bila kupata idhini ya baraza la madiwani

Pia walikopa fedha kutoka UTT bila kupata ridhaa ya waziri mwenye thamana.
3.Issue ya matengenzo ya barabara mpya

Manispaa ya bukoba iliingia mkataba na mkandarsai aitwaye KAJUNA INVESTMENT mkataba ulikuwa wa sh 138 milioni alilipwa fedha za dharula amabzo hazikuwa na nyaraka hivyo malipo ya mkandarasi huyu yaliongezwea hadi kufikia sh sh 227 kwa kutumia barua iliyosainwa na tofauti na hali ya awali.haikuwapa idhini ya mkandarsi wa serikali na kinyume na kanuni za manunuzi ya umma.anasoma kifungu kilichokiukwa

4.issue ya Ujenzi wa soku kuu
Utaratibu wa kutaka kujenga soko kuu la bukoba haikupata idhini ya madiwani ya kumlipa mkandarasi mshauri OGM milioni 789 huku pia akawaita madiwani na kuwaeleza kuwa mkandarasi anahitaji jumla la miliini 590 mlioni. Mmojawapo wa madiwani mhg lunagisa alikataa pale pale kwenye kikao.

5.Issue ya kuhamisha wafanyabisha wa bukoba
Mh Meya anatory aman aliomba mkopo kwa kazi hiyo bila kibali cha madiwani na mawaziri.mkpo huo hata hivyo haukupoatika
6.Mkandaasi wa OGM hakuwa kwenye orodha ya walioomba zabuni ya kufanya kazi ya ukandarasi ushauri wa kufanya kazi katika ujenzi wa soko kuu lakini alionekana kwenye rodha baadye ya waliolipwa .Wakandarasi wote waliolipwa fedha hizo walikuwa hawalipi kodi TRA-hivyo TRA ina haki ya kuwadaiu hizo kodi.

7.Ujenzi wa stendi kuu ya bukoba
Mradi huu hakutengezwa kwenye gazeti la sertikali lakini walipata mkandarasi na kumlipa fedha za kazi hiyo kinyume na taratibu za serikali.gazeti lilotangaza tenda hiyo halikupatikana.pia timu ya ukaguzi ilitembelea eneo al kazi na kubaini kuwa mkandarasi alilipwa fedha nyhingi tofauti na kazi aliyoifanya

9.Mradi wa maji
Kila kata iliyopangwa kuwekwa mradi wa maji ilitakiwa kuchangia asilimia 2 hivyo kata anakotoka meya ilitiumiza kigezo na kupata huduma hiyo.fedha za kata zilitolewa na meya kwa kata yake.hivyo kitendo cha kata ya meya kupata huduma hakuwa na tatizo.Tuhuma hizi kuwa meya alitoa huduma kwa kata yakle ni uongo.
10.Issue ya uuzwaji viwanja vya wazi.
Mkataba wa kununua kiwanja kinacholalamikiwa hakufuata taratibu za ununuzi
Ni katika bweni la sekondari ya PEACE inayomilikiwa na Meya.Tunapendekeza kuundwa kwa trimu maalum kuchunguza tuhuma hizi kwani katika eneo hili hatukufikia mwisho


11.Ujenzi wa barabara kwa lami kwenye kata ya meya toafuti na fedha zilizoombwa
Manispaa iliomba milioni 30 kukaqrabati barabarab hiyo akini TAMISEMI ilitao milioni 300 na walihoji TAMISEMI walisema hilo ni la kawaida hivyo tuhuma hizo ni UONGO

12.Mradi wa Ujenzi wa Bwawa
Hakuwahi kujadiliwa na baraza la madiwani,ulikuwa ni mradi wa wajanja tu

13.Issue ya wafganyabishara soko kuu kutolipa kodi
Manispaa Imekosa mapato sh milioni 256 zimpotea kutokana na chanzo hizo cha wafanyabishara wa soko kuu kutolipa kodi kutokana na mgogoro unaondelea

14.Issue ya matumizi ya gari Sm 4663
Gari hili limekuwa likiegeshwa kwa ofisi ya redio kasibante ya kagasheki.kumbukumbu za TRA zinaonesha kuwa ni mali ya halmashauri lakini alipohojiwa kagasheki alidai kuwa alinunua kwa fedha zake. Lakini halmshauri haina kumbukubu zozote juu ya gari hilo

Tunapendekeza alilrejeshwe kwenye halmshauri kama ataona ni manufaa kwa wananchi lakini kama haitawezekana basi gari hilo libadilishiwe usajhili ili lionekbnane ni la kiraia

15.Uteuzi wa wakala wenye upendeleo kwenye ushuru wa basi
Zabubi ya aliyepata rufaa ilitenguliwa kwani haikuwa imesajiliwa na mamlaka husika
Alibadilisha jina na kuomba tena kasha kupata,muombaji aliyeomba kwa tozo ya juu alinyimwa.

Manispaa ilifanya upendeleo na kukosa sh million 46 kwa mwaka

16:Issue ya posho kwa madiwani katika safari ya mafunzo nje ya wilaya.
Madiwani wawili walitakiwa kulipwa sh laki 4 kila mmoja kwa safari hawakusafiri lakini fedha hizo hazikurudishwa kwa manispaa na kukatiwa risiti,.hazionekjani zilipo


17.Issue ya vibanda vya maduka
Ukaguzi hakudhibitisha kuwepo tatizo la katika dai hili kwani nyaraka zinaonesha kutokuwepo tatizo.bali inashauri kuwepo kwa mkanganyiko na wapangaji wake

18.Issue ya deni katika uwanja wa mpira kaitaba.
Uwanja ulikarabatiwa na kiwanda cha sukari kagera kwa madai ya kurejeshewa fedha zake.sehemu ya fedha hazijarudishwa.Tume inapendekeza kufanya muafaka na kiwana au itafute fedha za kulipa deni

19.Kutowajibika ipasavyo kwa ukaguzi wa ndani.
Kipo kwa ajili ya kushauri na kuziba mianya ya matumizi mabaya ya fedha.
Aliyekuwepo amehojiwa juu ya miradi hiyo na kwamba halikuwa hajui lolote na hakuweza kumshauri mkurugenzi ipasavyo

20.Mteuzi katika bodi ya maji.upendeleo kwa mmoja wa madiwani
Waziri mwenye thamana aliteuwa


Hitimisho.
Hatukuweka chumvi,tuliyosema ndiyo ukweli tupu
Namshukuru waziri mkuu kwa kunipa kazi hii ya kukaguzi katika manispaa

Utaratibu wa uwasilisahji wa ripoti maalum tutaipeleka kwa aliyeomba ukaguzi huu.
ASANTENI AMEMALIZA

Mwanry anaongea sasa
Kwa niaba ya waziri mkuu naomba nitoa taarifa hii kama ifuatavyo

Maelekezo ya waziri mkuu.
Makosa ya meya anatory kufanya makubaliano bila idhini ya madiwani na taratibu za serikali basi ajipimemwenyewe na kujiuzuru kwa maslahi ya manispaa ya bukoba.

Akikataa basi madiwani wamuondoe


Watumishi wa manispaa wachukuliwe hatua
Bw Khamis kaputa avuliwe madaraka
Mhandisi,mweka hazina nk wapoteze vyeoi vyao

Wakandarasi wote waliopata fedha bila taratibu wazirejeshwe.
Mwisho.

 

 Mkuu wa mkoa wa Kagera Mh.Fabian Massawe akimkaribisha mgeni Rasmi leo kwenye kikao hicho cha kukamilisha Ukaguzi Maalum" Exit Meeting"  Cha mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali leo Januari 17.2014 Mjini Bukoba ambapo kikao hicho kilianza mapema saa 5 Asubuhi.

Viongozi kufungua kikao 


Katibu Tawala wa Mkoa Kagera Bw. Nassor Mnambila.

hapo ndo ukimbini
Meya wa Manispaa ya Bukoba, Anatory Amani  pamoja na Madiwani wa Manispaa ya Bukoba Mkurugenzi mpya wa manispaa ya bukoba Ambekiswe shemwela




Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kutoka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bw. Ludovick Utouh akitoa taarifa ya ukaguzi maalum leo Bukoba.
Naibu Waziri wa TAMISEMI Mhe. Agrey Mwanri  (katikati) ambaye pia alimwakilisha Waziri mkuu akimsikiliza kwa makini Bw. Ludovick Utouh




Bw. Ludovick Utouh akiendelea kutoa Taarifa ya Ukaguzi maalum leo



















Mstahiki Meya Anatory Amani (kulia) kushoto ni Mzee Rwangisa, Ukumbuke pia Mzee huyo Rwangisa ndiye aliyemwachia nafasi Meya Anatory Amani.

Naibu Waziri wa TAMISEMI Mhe. Agrey Mwanri ndie aliyemalizia kwa kutoa Maelezo ya Serikali.

Baadhi ya Madiwani wakiwa   makini.
Naibu Waziri wa TAMISEMI Mhe. Agrey Mwanri akiendelea kutoa Maelezo ya Serikali. Kuhusu Suruhisho hilo ambapo yamebainika Makosa ya Meya Anatory kufanya makubaliano bila idhini ya Madiwani na Taratibu za serikali, Basi ajipime Mwenyewe na Kujiudhuru mara moja kwa Maslahi ya Manispaa ya Bukoba.
Naibu Waziri wa TAMISEMI Mhe. Agrey Mwanri akiendelea kutoa maelezo ya serikali kiujumla na kukamilisha ukaguzi huo.
Watumishi wa Manispaa wachukuliwe hatua
Bw. Khamis Kaputa avuliwe Madaraka
Mhandisi,Mweka hazina nk wapoteze vyeo vyao!
Wakandarasi wote waliopata fedha bila taratibu wazirejeshwe.Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mh.Fabian Massawe (kulia) akisikitika baada ya kumsikiliza kwa makini Naibu Waziri wa TAMISEMI Mhe. Agrey Mwanri ambaye aliyemwakilisha vyema Waziri Mkuu.

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemwachia huru Mkurugenzi wa zamani wa Utawala na Utumishi (DPA), Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba kutokana na upelelezi uliofanywa kuwa mbovu na wakili aliyekuwa akiiendesha kesi hiyo kuwa mzembe.
Liyumba alikuwa akikabiliwa na kesi ya kukutwa na simu akiwa gerezani Ukonga, Dar es Salaam, wakati akitumikia kifungo cha miaka miwili, kilichotokana na kupatikana na hatia ya matumizi mabaya ya ofisi ya Umma.
Hakimu Mkazi, Augustina Mmbando alisema mahakama inamwachia huru Liyumba kutokana na upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha shtaka lililokuwa likimkabili pasipo kuacha shaka.
Alisema wakati wa usikilizwaji wa kesi hiyo, shahidi wa upande wa mashtaka ambaye ni Ofisa Magereza, Patrick alidai kuwa simu aina ya Nokia 1280 ilikutwa mikononi mwa Liyumba wakati akiwa gerezani, huku Liyumba akidai kwenye utetezi wake kuwa siku hiyo alikwenda nayo Patrick na kujifanya alimkuta nayo.
‘Wakati huo tulitegemea angeileta simu, lakini alitoa mkebe wa kuhifadhia miwani na kuutenda kuwa kielelezo cha ushahidi na badala ya simu. Akaitoa kama utambulisho tu, wakati shahidi mhusika Patrick alikuwapo mahakamani na kutambua vielelezo vyote alivyodaiwa kukutwa navyo Liyumba siku ya tukio.
Alisema hata huo utambulisho wa simu uliochukuliwa na mahakama, ulichukuliwa kimakosa kwa sababu aliyepaswa kuomba kufanya hivyo alipaswa kuwa shahidi na siyo Wakili wa Serikali kama alivyofanya Kaganda.
Kwa upande wa mchunguzi wa kesi hiyo, Hakimu Mmbando alisema alipaswa kubainisha ile laini ya simu yenye namba 0653 004662 ilikuwa ni ya nani kati ya mshtakiwa na shahidi kwa sababu kulikuwa na utata.
“Kuna uwezekano ni kuwa ni kweli Liyumba alikutwa na simu gerezani, lakini kutokana na upelelezi mbovu wa kufuatilia namba iliyotumiwa ilikuwa ni ya nani, mazingira ya kuingizwa gerezani inaonesha wazi kuwa mchunguzi alikuwa mzembe na uchunguzi mbovu.” Alisema Hakimu Mmbando.


 Lionel Messi, ameifungia Timu yake Barcelona Bao 2 na kuihakikishia kucheza Robo Fainali ya Kombe la Mfalme wa Spain, Copa del Rey, baada baada kuibwaga Getafe Bao 2-0 na kuitupa nje.
Dani Alves kulia akichuana vikali na mchezaji wa Getafe midfielder Angel Lafita
Neymar aliumia
 
COPA del REY
RATIBA
Robo Fainali
Mechi ya Kwanza Jan 21-23, Marudiano Jan 28-30
A -RCD Espanyol v Real Madrid
B -Levante v FC Barcelona
C -Real Sociedad v Real Racing Santander
D -Atlético de Madrid v Athletic de Bilbao

Nusu Fainali
Mechi ya Kwanza Feb 5-6, Marudiano Feb 12-13
Mshindi Mechi B v Mshindi Mechi C
Mshindi Mechi A v Mshindi Mechi D
Nusu Fainali
Mechi ya Kwanza Feb 5-6, Marudiano Feb 12-13
Fainali
Aprili 19

waliotembelea blog