Monday, September 23, 2013


Huku hali ya mshikemshike ikiendelea kushuhudiwa katika jengo la Westgate lenye maduka, ufyatulianaji risasi umesikika ndani ya jengo hilo lenye maduka na mikahawa zaidi ya themanini.
Milio hiyo ilidumu kwa dakika tatu na kufuatiwa na moshi mkubwa juu ya jengo hilo. Hakuna taarifa kamili kuhusu kilichosababisha moshi huo.
Wapiganaji wa Al shabaab wamewateka nyara raia ambao idadi yao haijulikani. Walikuwemo ndani ya jengo wakiendelea na shughuli zao kuanzia Jumamosi mchana wakati wapiganaji wa Al shabaab walipowavamia na kuanza kufyatua risasi kiholela.
Inaarifiwa kuna maiti kumi katika ghorofa ya kwanza ya jengo hilo. Aidha wapiganaji hao wanaoaminika kuwa wanachama wa Al Shabaab ni kati ya kumi na kumi na watano na bado wangali ndani ya jengo hilo. Ripoti zinasema kuwa ufyatulianaji mkubwa wa risasi pamoja na milipuko imesikika katika jengo hilo kwa takriban dakika 15. Harakati za kuendelea kumaliza operesheni hiyo zinaendelea lakini hali ya mateka walio ndani ya jengo hilo inaendelea kudorora.

Wakenya waliofanikiwa kuondoka katika jengo la Westgate kwa usaidizi wa polisi
Rais Kenyatta amesema kuwa jeshi linajitahidi kuhakikisha kuwa linakabiliana vilivyo na wanamgambo hao.
 
Helikopta za polisi zinazunguka juu ya jengo hilo pamoja na ndege za kijeshi kushika doria. Vikosi vya usalama vinaendelea na operesheni kujaribu kuwanusuru waathiriwa wakati hali ikiwa ni ya ati ati katika eneo la shambulizi.
 
Awali jeshi la Kenya lilisema limeweza kudhibiti jengo hilo lote ingawa bado limetaja hali kuwa tete mno hasa katika kujaribu kuwaokoa mateka waliosalia ndani ya jengo hilo.
 
Ripoti zinasema kuwa watu 69 wamefariki katika shambulizi hilo la Al Shabaab kufikia sasa huku 175 wakijeruhiwa. Baadhi wametibiwa na kuondoka hospitalini. Baadhi ya majeraha waliyopata ni majereha ya risasi na kutokana na guruneti ambalo Al shabaab waliwarushia wale waliokuwa ndani ya mikahawa siku ya Jumamosi.
 
Kundi hilo limekiri kutekeleza shambulio hilo kutokana na hatua ya Kenya kupeleka majeshi yake nchini Somalia ili kukabiliana na wapiganaji hao.


MCHEZAJI ghali wa Arsenal, Mesut Ozil ameendelea kulipa Pauni Milioni 43 zilizotolewa kumnunua kutoka Real Madrid baada ya kutoa pasi zote za mabao matatu, The Gunners ikishinda 3-0 Uwanja wa Emirates dhidi ya Stoke City na kupanda kileleni mwa Ligi Kuu ya England.

Aaron Ramsey alifunga bao lake la saba msimu huu dakika ya tano baada ya akimalizia mpira wa adhabu uliopigwa na Ozil, lakini Geoff Cameron akaisawazishia Stoke dakika ya 26.
Ozil akadhihirisha yeye ni mkali, baada ya mpira wa kona aliopiga kuunganishwa kimiani kwa kichwa a Mjerumani mwenzake, beki Per Mertesacker dakika ya 36 kuipa Arsenal bao la kuongoza.
Ozil tena akamtengenezea Bacary Sagna nafasi ya kufunga bao la tatu dakika ya 72.
Huu unakuwa ushindi wa saba mfululizo kwa Arsenal tangu wafungwe 3-1 nyumbani na Aston Villa katika mchezo wa ufunguzi wa ligi hiyo.
Kikosi cha Arsenal kilikuwa: Szczesny, Sagna, Mertesacker, Koscielny, Gibbs, Flamini, Wilshere/Monreal dk73, Ramsey, Gnabry/Ryo dk73, Ozil/Arteta dk81, Giroud.
Stoke: Begovic, Cameron, Shawcross, Huth, Pieters/Palacios dk67, Wilson, N’Zonzi, Adam/Ireland dk59, Walters, Arnautovic, Jones/Pennant dk75.
Top of the league: Aaron Ramsey celebrates his goal that helped send Arsenal top
 In the goals: Aaron Ramsey celebrates with teammates after scoring against Stoke
In a good run of form: Ramsey celebrates his good goalscoring start to the season
Back in it: Charlie Adam celebrates on the shoulders of goalscorer Geoff Cameron after Stoke make it 1-1
Heads up: Per Mertesacker jumps to head in a goal against Stoke to re-gain the lead for Arsenal
Back in front: Mertesacker is celebrates with Olivier Giroud and Laurent Koscielny after his goal
On the run: Mesut Ozil drives forward for Arsenal against Stoke
Beating his man: Olivier Giroud runs past a tackle Robert Huth
Off target: Giroud has his shot on goal rebound off Stoke City's Ryan Shawcross
Falling down: Jack Wilshere goes between Jonathan Walters and Geoff Cameron
Good feeling: Bacary Sagna celebrates with Giroud as he scores Arsenal's third goal

Huku hali ya mshikemshike ikiendelea kushuhudiwa katika jengo la Westgate lenye maduka, ufyatulianaji risasi umesikika ndani ya jengo hilo lenye maduka na mikahawa zaidi ya themanini.
Milio hiyo ilidumu kwa dakika tatu na kufuatiwa na moshi mkubwa juu ya jengo hilo. Hakuna taarifa kamili kuhusu kilichosababisha moshi huo.

Wapiganaji wa Al shabaab wamewateka nyara raia ambao idadi yao haijulikani. Walikuwemo ndani ya jengo wakiendelea na shughuli zao kuanzia Jumamosi mchana wakati wapiganaji wa Al shabaab walipowavamia na kuanza kufyatua risasi kiholela.
Inaarifiwa kuna maiti kumi katika ghorofa ya kwanza ya jengo hilo.
Aidha wapiganaji hao wanaoaminika kuwa wanachama wa Al Shabaab ni kati ya kumi na kumi na watano na bado wangali ndani ya jengo hilo.
Ripoti zinasema kuwa ufyatulianaji mkubwa wa risasi pamoja na milipuko imesikika katika jengo hilo kwa takriban dakika 15.
Harakati za kuendelea kumaliza operesheni hiyo zinaendelea lakini hali ya mateka walio ndani ya jengo hilo inaendelea kudorora.


Wakenya waliofanikiwa kuondoka katika jengo la Westgate kwa usaidizi wa polisi
Rais Kenyatta amesema kuwa jeshi linajitahidi kuhakikisha kuwa linakabiliana vilivyo na wanamgambo hao.
Helikopta za polisi zinazunguka juu ya jengo hilo pamoja na ndege za kijeshi kushika doria. Vikosi vya usalama vinaendelea na operesheni kujaribu kuwanusuru waathiriwa wakati hali ikiwa ni ya ati ati katika eneo la shambulizi.
Awali jeshi la Kenya lilisema limeweza kudhibiti jengo hilo lote ingawa bado limetaja hali kuwa tete mno hasa katika kujaribu kuwaokoa mateka waliosalia ndani ya jengo hilo.
Ripoti zinasema kuwa watu 69 wamefariki katika shambulizi hilo la Al Shabaab kufikia sasa huku 175 wakijeruhiwa. Baadhi wametibiwa na kuondoka hospitalini. Baadhi ya majeraha waliyopata ni majereha ya risasi na kutokana na guruneti ambalo Al shabaab waliwarushia wale waliokuwa ndani ya mikahawa siku ya Jumamosi.
Kundi hilo limekiri kutekeleza shambulio hilo kutokana na hatua ya Kenya kupeleka majeshi yake nchini Somalia ili kukabiliana na wapiganaji hao.


DSC_0248

Show ndio kwanza imeanza hapa kwenye uwanja wa 
Kambarage 87.5 Shinyanga mtu wangu ambapo 
wakali kama Ney wa Mitego, Juma Nature, Linah, Stamina,
 Young Killer, Dudubaya, Godzilla, Nikki wa II, Joh Makini na
 G Nako ni baadhi tu ya watakaoonekana kwenye 
stage usiku huu hapa Shy Town.
DSC_0247
DSC_0243
DSC_0241
DSC_0238

Mwandishi Jamal Osman amefanya mahojiano exclusive na msemaji wa kundi la kigaidi la Al-Shabaab kuhusiana na sababu za kuishambulia mall ya Westgate. 


Hii ni tafsiri ya Kiswahili ya mahojiano hayo yaliyofanywa kwa Kiingereza kwenye mtandao wa Channel4

Jamal Osman: Kwanini mmefanya shambulio?


Msemaji wa Al-Shabaab: Sababu ya kufanya shambulio ni kuwalinda watu wetu na nchi yetu sababu Kenya ilitushambulia, bado wanaendelea kushikilia sehemu ya ardhi yetu. Tumekuwa majirani wenye amani, lakini wao ndio walitushambulia na tunajilinda. 

Haijalishi kama wewe ni Muislamu ama Mkristo, sheria inasema unatakiwa kujilinda mwenyewe dhidi ya yule aliyekushambulia.


JO: Mmeua watu wa mataifa mengi wakiwemo Waingereza, hamuogopi mataifa makubwa yatawatafuta?


Msemaji wa Al-Shabaab: Tumewaambia Wakenya na wale wanaoenda Kenya kwamba hatuwezi kuvumilia kile Kenya inatufanyia. Tuliwaambia tutajilinda wenyewe na tuliwaonya kuhusu kwenda Kenya. 

Wakenya wana damu yetu mikononi mwao. Mtu yeyote aliyejiandaa kwenda Kenya lazima ajiandae na kukabiliana na ukweli huo, na hatuwaogopi watu wa Ulaya ama Wamarekani sababu sisi si wadhaifu.
 Na tunasema hili kwa watu wa Ulaya na Wamarekani ambao wamekuwa wakiwasaidia wale wanaotushambulia, muwaambie Wakenya waache uonevu wao kama mnataka kuwa salama.


JO: Kwanini mliilenga mall ya Westgate?


Msemaji wa Al-Shabaab: Sababu ya kwanini tuliilenga mall ya Westgate, ni kwakuwa Wakenya na serikali yao wametumia majeshi dhidi yetu, ni maadui wetu. Wamewatuma watu wao Somalia, wameiunga mkono serikali yao kuishambulia nchi yetu. Kwetu, popote pale Kenya ni sawa, tutawapiga popote tuwezapo.
 Sababu tulilenga Westgate ni kwamba tunajua ni sehemu ambayo wanajisikia maumivu zaidi. Ni kwasababu inaingiza hela nyingi na ipo katikati ya jiji. 

Ni sehemu wanasikia maumivu na kwasababu tulitaka kutuma ujumbe na hatukutaka kuupoteza ujumbe wetu. Tulitaka ujumbe wetu umfikia kile Mkenya.


JO: Wapiganaji wenu ndani ya mall bado wanapigana?

Msemaji:
 Ni zaidi ya saa 27 sasa, wapo ndani na bado wameshika hatamu.


JO: Nasikia kuna mpiganaji mwanamke ndani pia?


Msemaji: Hatupeleki wanawake wetu kwenye uwanja wa vita.


JO: Kitu gani mnategemea kitatokea sasa? Nini litakuwa tokeo la hili?


Msemaji: Kama Mungu akipenda, tunategemea Wakenya watapata ujumbe kwamba kama ukimwaga damu, damu yako itamwagika pia. Kwao kujua kuwa hawawezi kushikilia Kismayu, Dhobley na Afmadow na wategemee waishi kwa amani Nairobi. Huo ni ujumbe tunataka kuutuma kwao.


JO. Kwenye jumbe zenu kupitia Twitter mnasema huu ni mwanzo tu na mtaendelea, ama mmeshafikia malengo yenu?


Msemaji: Tunasema kwa Kenya, iacheni nchi yetu. Huo ni ujumbe wa kwanza. Na kama wakikataa kuiacha nchi yetu basi tutaanzisha vita yenyewe.


JO: Hivyo matakwa yenu kwa Wakenya, ni kuiacha nchi yenu kama wanataka amani?

Msemaji:
 Kama Wakenya wanataka amani, wanatakiwa kuiacha nchi yetu.


JO: Kwanini mnawalenga watu wasio na hatia?


Msemaji: Raia wa kigeni, wanatakiwa kuondoka kwenye nchi hiyo (Kenya) kwasababu Wakenya na Al-Shabaab wapo kwenye mgogoro na tunamwambia kila mtu – Kenya ni eneo la vita.


JO: Kwakuwa unasema raia wa kigeni na Waingereza wana maslahi makubwa nchini Kenya, mna ujumbe gani kwao?

Msemaji: Tunasema kwa Waingereza, kwakuwa tunaamini wanawasaidia Wakenyan na Wakenya ni watumwa wao, wao (Waingereza) wanatakiwa kuwaambia Wakenya, walitoe jeshi lao Somalia.


 Na Waingereza wanajua Wasomali hawataka tamaa. Tuliwakatalia Waingereza mwanzoni, ambao wana nguvu kuliko Wakenya

Possibility: The idea that Samantha Lewthwaite, 29, of Buckinghamshire, might have ordered the attack - or even led it herself - is not far-fetched at all
Possibility: The idea that Samantha Lewthwaite, 29, of Buckinghamshire, might have ordered the attack - or even led it herself - is not far-fetched at all
Last night, as the bodies were still being counted at the shopping mall, one British woman was notably slow to join the condemnation.
 
For Samantha Lewthwaite, the daughter of a former British soldier who grew up attending school discos in Buckinghamshire, views these awful events as a cause for jubilation.
Kenyan anti-terror police revealed yesterday that Lewthwaite - who is known to many as the White Widow - may be the brains behind the operation to bring terror to the heart of Kenya, a country once  synonymous with the sexual high-jinks of the Happy Valley expatriate set, but rapidly becoming a new battleground in the war between Islamists and the West.
 
‘I suspect this woman Lewthwaite is behind this attack,’ a senior anti-terror source told me last night as survivors described how a woman in a veil appeared to be commanding the other terrorists as they hunted down and killed non-Muslim shoppers.
The idea that she might have ordered the attack – or even led it herself – is not far-fetched at all.
 
Having converted to Islam as a young woman and married a man who went on to be a 7/7 London suicide bomber, she has become a key figure in the terror group behind this weekend’s attack.
Lewthwaite has even been involved in training a group of all-female suicide attackers at camps in lawless neighbouring Somalia.
Mall massacre: Civilians who had been hiding during a gun battle hold their hands in the air as a precautionary measure before being searched by armed police leading them to safety, inside the Westgate mall in Nairobi
Mall massacre: Civilians who had been hiding during a gun battle hold their hands in the air as a precautionary measure before being searched by armed police leading them to safety, inside the Westgate mall in Nairobi.
 
It is an extraordinary, macabre journey into darkness for the 29-year-old, who grew up as a normal teenager in Aylesbury before meeting Jermaine Lindsay, a British Muslim, in an online chat room when she was 17. The pair married three years later.
When her husband was named as one of four suicide bombers who blew up Tube trains and a bus in 2005, killing 52 people, Lewthwaite initially condemned her late husband’s attack and denied any knowledge of his plan.
 

More...

  • 'We've taken control': Special forces free 'most' hostages after storming Kenyan shopping centre following two-day stand-off with Muslim terrorists who killed 68 people and wounded 175 more
  • Shouts, screams... and then a sprint for their lives: Raw video footage shows full terror of moment Muslim terrorists struck at Nairobi mall
  • Fury as Cameron 'favourites' a tweet from sick account mocking Kenya terror attack and claiming bomb survivor Norman Tebbit looked like he was enjoying SEX
  • One of terror gang 'is British': Chilling claim as shocking picture shows terrified little girl fleeing mall massacre that left at least three Britons dead
This was a lie. More than eight years later, Lewthwaite is one of Al Qaeda’s main recruiters in East Africa and is an official spokesman for Al Shabaab (The People), the terrorist group behind the horror in Nairobi.
As well as railing against ‘infidels in the West’, Lewthwaite had previously used a Twitter account to denounce a rival foreign terrorist in the text-speak of a teenager.
‘Fyi [for your information] sam lewthwaite thinks u r a irritating obnoxious contemptible little Muj PRAT,’ she wrote. (‘Muj’ is a contraction of mujahideen – a jihadist).
Backup: More soldiers from the Kenya Defence Force arrived to strengthen the already large numbers of troops available to deal with the siege at the Westgate mall in Nairobi, Kenya
Backup: More soldiers from the Kenya Defence Force arrived to strengthen the already large numbers of troops available to deal with the siege at the Westgate mall in Nairobi, Kenya
The object of her anger was Omar Shafik Hammami, a former student from Alabama. Last week he was shot dead in an ambush by terrorists loyal to the White Widow.
‘May his fate serve as a lesson to all those who want to follow in his footsteps as a poster boy for jihad,’ Lewthwaite wrote gleefully on Twitter.
Teenage years: Samantha Lewthwaite grew up attending school discos in Buckinghamshire
Teenage years: Samantha Lewthwaite grew up attending school discos in Buckinghamshire
 
To add to her name for ruthlessness, the White Widow did not mention in her tweets that a British man reputed to be her second husband was also killed in the ambush.
 
Her fearless reputation within Africa’s growing Islamic terror network has been strengthened by her own involvement as a mujahid – or warrior – during a series of bombings and shootings in Kenya’s tourist areas.
 
Known to her devoted followers as dada muzungu – Swahili for white sister – Lewthwaite moved to Kenya with her three children in 2007.
 
A small, dumpy woman, she cut off all links with her family in Britain and became immersed in East Africa’s Islamic terror networks, forging links with other British fanatics who had come to Kenya to wage ‘jihad’ against non-believers. It was last year that details of Lewthwaite’s secret new life emerged in grisly detail.
 
A white woman, later identified as Lewthwaite, had led a group of terrorists who fired grenades into a bar in Mombasa, the Kenyan coastal tourist resort popular with Britons. Three people, including a child, were killed and more than 50 injured.
In truth, I was deeply sceptical when news was first leaked two years ago about the White Widow’s alleged role as a terrorist with the group now causing carnage in Nairobi.
 
Yet now, having spent time among her acolytes in the Islamic stronghold where she once lived near Mombasa, and in briefings with police, prosecutors and senior investigators during subsequent investigations in Nairobi, I have no doubt that Lewthwaite is a cold-blooded killer and a dangerous ideologue.
Senior officers in Kenya have told me they will kill her on sight. So far, however, she has avoided arrest by wearing all-concealing Islamic dress as she has flitted between Somalia, Kenya and Tanzania.
Former home: The 29-year-old grew up as a normal teenager in Aylesbury (file picture), Buckinghamshire, before meeting a British Muslim in an online chat room when she was 17. The pair married three years later
Former home: The 29-year-old grew up as a normal teenager in Aylesbury (file picture), Buckinghamshire, before meeting a British Muslim in an online chat room when she was 17. The pair married three years later
Meanwhile, the group she is allied to continues to wreak havoc in the region.
Al Shabaab grew out of the chaos of Somalia, and has seen jihadists wage a brutal war to impose strict sharia law in the East African state.
'I suspect this woman Lewthwaite is behind this attack' Senior anti-terror source
But Kenyan forces, supported by Britain and America, have been waging war across the border in Somalia in an attempt to keep the Islamists from power.
With the war against Al Shabaab in Somalia proving highly effective, Kenya’s support has made it a key enemy of the Islamists.
Even before this weekend’s attack, the activities of Lewthwaite and her fellow terrorists had turned Kenya into a place of fear and paranoia.
Clearly, the White Widow has a taste for blood. It remains to be seen whether she will live long enough to kill again.

waliotembelea blog