Monday, August 3, 2015


 Mara baada ya Jana Arsenal kuibwaga Chelsea na kutwaa Ngao ya Jamii, Meneja wa Arsenal Arsene Wenger amelichochea bifu lake la muda mrefu na mwenzake wa Chelsea Jose Mourinho.Mara baada ya Jana Arsenal kuibwaga Chelsea na kutwaa Ngao ya Jamii, Meneja wa Arsenal Arsene Wenger amelichochea bifu lake la muda mrefu na mwenzake wa Chelsea Jose Mourinho.

Ushindi wa 1-0 walioupata Jana Arsenal kwa Bao la Dakika ya 24 la Alex Oxlade-Chamberlain ni ushindi wa kwanza kwa Wenger katika Mechi 14 walizokutana na Chelsea ya Mourinho baada kufungwa Mechi 7 na Sare 6 na baada ya Mechi hiyo Uwanjani Wembley Jijini London, Wenger alikwepa kupeana mkono na Mourinho. 
Hata hivyo, Mourinho alipeana mkono na kila Mchezaji wa Arsenal aliekuwa akitoka nje ya Uwanja baada ya Mechi hiyo kwisha.
Pia Mourinho aliamua kumrushia Shabiki Kijana wa Arsenal aliekaa Jukwaani Medali aliyopewa kwa kuwa nafasi ya pili katika Mechi hiyo na pia kudai mbele ya Wanahabari kuwa Wenger aliitupa falsafa yake ya kushambulia na kuamua 'kupaki Basi.'
John Terry
Lakini Wenger alipinga vikali madai hayo na kudai hatimae wameondoa gundu lao kwa Chelsea.
Baadhi ya Wachezaji wa Arsenal wakipata picha na Kombe lao la Ngao ya Jamii

 

446407-e9b0defc-395f-11e5-b9fd-ad0b337aa4fa
Siku kadhaa zimepita toka klabu ya Manchester United ya Uingereza itangaze jezi zake mpya na kampuni itakayokuwa inatengeneza jezi hizo, August 3 nimekutana na story nyingine tena kwa ajili ya mashabiki wa kike wanaoipenda Mancheater United… Zamani tulizoea kuona mashabiki wa kike wa Manchester United Tanzania na hata Uingereza wakivaa jezi za kiume wanapoenda uwanjani na sehemu zingine za kutazamia mechi kwa njia ya TV.
shirt-comp
Manchester United hawakuishia tu kutengeneza jezi za kiume zitakazotumiwa na wachezaji na mashabiki wa kiume, kampuni ya ADIDAS ambayo ndio yenye mkataba na Man United katika kipindi cha miaka 13 ijayo, imetoa jezi kwa ajili ya mashabiki wa kike.
f17786fa-2ebf-4764-ad56-105a96d9775c_16x9_600x338
Kushoto ni jezi ya Kike na upande wa kulia ni jezi ya kiume
Man United wameingia mkataba wa miaka 13 wenye thamani ya pound milioni 750 na kampuni ya vifaa vya michezo ya Kijerumani ADIDAS baada ya mkataba wa miaka 10 na kampuni ya Nike kumalizika.
446407-e9b0defc-395f-11e5-b9fd-ad0b337aa4fa
_84630948_roo-2
Mshambuliaji na nahodha wa Manchester United Wayne Rooney amewahi kuchezea klabu ya Everton ya Uingereza kabla ya mwaka 2004 kuhamia katika klabu ya Manchester United kwa ada ya uhamisho ya pound milioni 25, akiwa na Everton Rooney aliichezea mechi 77.
r1
Rooney amerejea tena August 2 katika jezi ya Everton na mtu aliyemsababisha avae jezi hiyo ni Duncan Ferguson ambae ni mchezaji wa zamani wa Everton aliyewahi kuchezea klabu hiyo mwaka 2000-2006. Duncan ni miongoni mwa wakongwe waliocheza na Rooney katika klabu hiyo na uliandaliwa mchezo wa heshima kwa ajili yake licha ya kuwa alistaafu toka mwaka 2006.
Duncan-Fergusons-Testimonial
Mbele ya mashabiki 34,718 ambao walitoa heshima kwa Rooney kwa kusimama wakati anaingia uwanjani dakika 15 za mwisho katika mchezo wa Everton wa kirafiki dhidi ya klabu ya Villarreal ambao waliibuka na ushindi wa goli 2-1, kitu ambacho huwa ni ishara ya kuheshimika sana kama Uwanja mzima umesimama kwa ajili ya kumpa heshima Rooney ya kurejea tena Goodson Park baada ya miaka 11.
2015-08-03_spo_11649336_I1
Duncan ambae ndiye mlengwa wa mchezo huo aliingia uwanjani dakika 7 za mwisho.
Hapo chini nimekusogezea picha Wayne Rooney na Duncan Ferguson walipokuwa wanacheza pamoja zaidi ya miaka 1o iliyopita 
2AB3551E00000578-0-image-m-4_1437408254974
2AB354F200000578-0-image-a-1_1437408233567
00746F2C00000258-0-image-a-6_1437407822849



Hatimaye wakala namba moja wa wanasoka bora ulimwenguni, Jorge Mendes jana alifunga ndoa na mchumba wake wa siku, Sandra Barbosa.
 
Sherehe ya ndoa ilihudhuriwa na mastaa mbalimbali wa soka ulimwenguni, huku Cristiano Ronaldo, mteja mkuu wa Mendes akiwa ‘mpambe rasmi’ wa bwana harusi.

Cristiano Ronaldo akiingia kanisani

Wageni waalikwa wengine walikuwa ni kocha wa zamani wa Manchester United Sir Alex Ferguson, Raisi wa Real Madrid, Florentino Perez, James Rodriguez, Jose Bosingwa na Deco De Souza pamoja na Pepe.
Mwanasoka Pepe wa Real Madrid nae alikuwepo
 
Mchezaji wa zamani wa Chelsea na Barcelona Deco De Souza
  
James Rodriguez wa Real Madrid nae alihudhuria
 
Bwana Harusi Jorge Mendes
  
Jose Bosingwa – mchezaji wa zamani wa Chelsea
 
Rais wa Real Madrid Florentino Perez
  



Football - Manchester United v Arsenal FA Cup Quarter Final - Old Trafford - 12/3/11 Fabio da Silva (R) celebrates with Rafael da Silva after scoring the first goal for Manchester United Mandatory Credit: Action Images / Carl Recine Livepic
Football – Manchester United v Arsenal FA Cup Quarter Final – Old Trafford – 12/3/11
Fabio da Silva (R) celebrates with Rafael da Silva after scoring the first goal for Manchester United
Mandatory Credit: Action Images / Carl Recine
Livepic

Beki wa kulia wa Manchester United Rafael Da Silva yuko mbioni kuihama klabu hii akiwa karibu kabisa na uhamisho kuelekea klabu ya Olympique Marseile ya nchini Ufaransa ambayo amekuwa akifanya nayo mazungumzo kwa muda wa siku kadhaa .
Da Silva anaihama klabu hii takribani miaka miwili baada ya pacha wake Fabio Da Silva naye kuhama akijiunga na timu Cardiff City ya huko Wales inayoshiriki ligi daraja la kwanza nchini England .
Kuondoka kwa Rafael kumekuwa kwenye mpango kwa muda sasa tangu ilipofahamika wazi kuwa Mbrazil huyo hatakuwa kwenye mipango ya muda mrefu ya kocha Louis Van Gaal .
Pacha wa Rafael,Fabio Da Silva aliondoka United misimu miwili iliyopita.
Pacha wa Rafael,Fabio Da Silva aliondoka United misimu miwili iliyopita.
Kocha huyo kwa muda amekuwa akimtumia Antonio Valencia ambaye kwa asili ni winga katika nafasi ya beki wa kulia hata pale ambapo Rafael amekuwa hasumbuliwi na matatizo ya majeraha na kwa msimu huu tayari United imemsajili beki Mtaliano Matteo Darmian jambo linalofanya nafasi ya Rafael kuwa finyu .
Rafael Da Silva amekuwa na United kwa kipindi cha muda wa miaka saba tangu mwaka 2008 alipojiunga rasmi na timu hiyo ambayo ilimsajili yeye na pacha wake tangu wakiwa na miaka 15 na walilazimika kungoja mpaka walipotimiza miaka 18 ili kuingia rasmi mkataba na klabu hiyo .



Mkuu wa Kitengo cha Huduma na Mawasiliano waNHC, Bi Suzan Omari akipata maelezo kutoka kwa baadhi ya wafanyakazi wa shirika hilo waliokuwa wakisimamia michezo mbalimbali wakati wa tamasha la NHC Family Day lililofanyika kwenye hoteli ya Kunduchi Beach mwishoni mwa wiki likishirikisha wafanyakazi wa shirika hilo jijini Dar es salaam na familia zao na kufahamiana ikiwani pamoja na kubadilishana mawazo.

Wafanyakazi hao wakishindana katika mbio ufukweni.

Mmoja wa wafanyakazi wa NHC akiwa amejishindia Jogoo katika shindano la kufukuza kuku.


Kikosi cha BarcelonaKwenye Uwanja wa Stadio Artemio Franchi, Italy
Fiorentina wanaongoza bao 2-0 dhidi ya Barcelona, Mpaka sasa ni kipindi cha kwanza kinaendelea...Bao za Fiorentina zimefungwa na Mchezaji mmoja Federico Bernardeschi dakika ya 4 na lile la Federico Bernardeschi dakika ya 12.

Barcelona wana bao 1 lililofungwa na Luis Suárez dakika ya 17
.
Mtanange huo ulimazika dakika 90 kwa bao 2-1



Mchezo wa mpira wa miguu ni miongoni mwa kazi zenye mishahara mikubwa sana, kama ambavyo mtu kipato chake kinavyoongezeka ndivyo anavyotamani kumiliki kitu kizuri zaidi… Mastaa wa soka ni watu ambao wamekuwa na utamaduni wa kumiliki magari mengi na ya gharama ila kila mtu anapenda gari kulingana na hitaji lake au mapenzi yake
August 3 nakusogezea gari ambalo linamilikiwa na mastaa wengi zaidi wa soka.
Range_Rover_Sport_SDV6_SE_(Facelift)_–_Heckansicht,_5._September_2012,_Wuppertal
Mastaa wenye urefu kama Peter Crouch hupenda kutembelea Range Rover kwani magari ya chini huwa sio rafiki na maumbo yao. Range Rover ni gari ambalo lina thamani ya zaidi ya dola 60,000/= ambazo ni zaidi ya Tsh 120,000,000/=.
1. Peter Crouch ni staa ambae amewahi kuichezea timu ya Liverpool na sasa yupo katika klabu ya Stoke City.
article-2218994-158BF30B000005DC-348_634x730
Crouch akiingia kwenye mchuma wake wa nguvu !!
2. Robin van Persie wengi tulianza kumjua kupitia vilabu vya Arsenal, Manchester United ila kwa sasa yupo katika klabu ya Fenerbahce ya Uturuki.. Jamaa nae ana huu mchuma pia aisee !!
PAY-Van-Persie-pulled-over-by-Police
Robin Van Persie anaenda kuingia kwenye Range yake.. Hii picha ilinaswa ni kama jamaa aliingia kwenye utata na Police hivi..
  1. Dareen Bent huyu ni mkali mwingine ambae amewahi kutamba katika vilabu vya Aston Villa, Tottenham Hotspur sasa yupo katika klabu ya Derby County.
Darren-Bent-pictured-in-2011-beside-the-luxury-Range-Rover-stolen-from-his-home-at-the-weekend
Dareen Bent nae ana hii Range Rover Sport yake kali kabisa.
4. Ryan Giggs ni mkali ambae ana heshima kubwa Manchester United kabla na hata baada ya kustaafu soka, mcheki anavyoisukuma sasa Range Rover yake mtaani… taratiibu namna hii.
article-2438591-1865BD5500000578-380_634x430
5. John Terry ni nahodha wa klabu ya Chelsea lakini pia anaichezea timu ya taifa ya Uingereza.
article-2438591-1865BC8F00000578-263_634x393
John Terry yuko zake mtaani anakula stori na watu wake.
  1. Wayne Rooney nahodha wa Manchester United nae yumo katika orodha ya mastaa wanaomiliki Range Rover
1365503034
  1. Michael Essien mkali wa soka kutokea Ghana ameingia pia katika hii orodha
Michael Essien Foundation new

maxresdefault
  1. David Beckham hadi anastaafu soka alikuwa anatajwa kuwa mwanasoka tajiri Duniani, akaona sio mbaya na yeye kumiliki Range Rover yake kali kabisa!!
tyres-for-footballers-David-Beckhams-Range-Rover
Beckham na watoto wake.
9. Javier Hernandez Chicharito ni mkali wa mipira ya kuvizia jina lake lilikuwa kubwa zaidi baada ya kujiunga na Manchester United mwaka 2010.
range-rover-sport
  1. Mbwana Ally Samatta huyu ni mchezaji pekee wa Kitanzania ambae ameingia katika hii orodha, amewahi kutamba na klabu ya Simba kabla ya kutimkia TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Mbwana Samatta
Mbwana Samatta mbele ya gari yake



Viongozi wa Azam pamoja na wachezaji wakiwa katika picha ya pamoja.

Wachezaji wa Azam FC wakishangilia wakiwa na Kombe lao baada ya kukabidhiwa katika mchezo wa fainali baada ya kuifunga Gor Mahia ya Kenya 2-0. (Picha zote na Francis Dande)

Kocha Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall akiwa amebebwa na wachezaji wa timu hiyo baada ya kumalizika kwa mchezo wa fainali ya Kombe la Kagame dhidi ya For Mahia ya Kenya uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Azam ilishinda 2-0.

Kocha Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall akiwa amebebwa na wachezaji wa timu hiyo baada ya kumalizika kwa mchezo wa fainali ya Kombe la Kagame dhidi ya For Mahia ya Kenya uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Azam imeshinda 2-0.


Arsenal Mabingwa 2015  FA Community Shield
Alex Oxlade akipeta baada ya kufunga baoChamberlain akishangilia vikali juu kwa juuMbele ya MashabikiMsimu mpya wa Soka huko England umeanza rasmi hii Leo kwa Mechi maalum ya kugombea Ngao ya Jamii kati ya Mabingwa wa England Chelsea na waliobeba FA CUP Arsenal Uwanjani Wembley Jijini London na Arsenal kuibuka kidedea kwa kuifunga Chelsea 1-0 ikiwa ni ishara maalum Msimu huu wametangaza nia ya kutwaa Ubingwa.
Huu ni ushindi wa kwanza kwa Arsenal, chini ya Meneja Arsene Wenger, dhidi ya ya Chelsea, chini ya Meneja Jose Mourinho, ambao washakutana uso kwa uso mara 13 na Chelsea kushinda mara 7 na Sare 6.
Alex Oxlade-Chamberlain alifunga Bao pekee na la ushindi kwa Arsenal katika Dakika ya 24 alipopokea pande zuri toka kwa Theo Walcott na hilo ni Bao la kwanza kabisa dhidi ya Chelsea, chini ya Meneja Jose Mourinho, tangu 2007.Alex Oxlade Chamberlain akipongezwaCazorla na ChamberlainKocha wa Timu ya Chelsea Jose Mourinho akijionea Vijana wake WembleyTheo Walcott akigombea mpira wa Kichwa dhidi ya kipa wa ChelseaMonreal nae kwenye patashika mpira wa kichwaChupuchupu langoni mwa Arsenal Petr Cech akiokoa

waliotembelea blog