Monday, August 25, 2014



Wakongwe wa Klabu ya Real Madrid ya nchini Hispania wakipiga picha za kikundi cha ngoma kilichokuwa kikiwatumbuiza mara baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro kabla ya kuelekea Mlima Kilimanjaro.

Wachezaji wakongwe wa Klabu ya Real Madrid wakiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa TANAPA mara baada ya kumaliza zoezi la matembezi mafupi ya kupanda Mlima Kilimanjaro.

Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Dk. Fenela Mukangara akitoa cheti cha ushiriki kwa mchezaji Ruben De La Red wa Klabu ya Real Madrid mara baada ya kumaliza zoezi la matembezi mafupi ya kupanda Mlima Kilimanjaro.
Meneja Mawasiliano wa TANAPA Pascal Shelutete akikabidhi moja ya fulana za TANAPA kwa mchezaji.
Tafrija ya kuwaaga kabla ya kupanda mlima ikiendelea.

wakali hao wa zamani wa Real Madrid wakiwa katikati ya msitu wa Mlima Kilimanjaro.

Eneo la Maporomoko ya Maji ambapo wachezaji wakali hao wa zamani wa Real Madrid walifanikiwa kufika Mlimani Kilimanjaro.

Meneja Mawasiliano wa TANAPA Pascal Shelutete (mwenye fulana nyeupe na miwani) akiongoza msafara wa wakali hao wa zamani wa Real Madrid kukwea Mlima Kilimanjaro.



Di Maria akiingia kwenye imaya ya Man United kwenye sehemu yao ya Mazoezi

Di Maria kwenye siti ya nyuma akiingia

Di Maria Anaungana na Marcos Rojo, Ander Herrera pamoja na Luke Shaw ambao ndio tayari wamesainiwa na Man United Msimu huu wa 2014/15


Stevan Jovetic akishangilia bao lake dakika ya 55 kipindi cha pili.
Ni Stevan Jovetic huyo hyo ndie kazichana nyavu tena kwa kufunga bao la pili dakika ya 55 baada ya kupata pasi kutoka kwa Samir Nasri. Bao la tatu lilifungwa na Sergio Agüero dakika ya 69  kipindi cha pili baada ya kupata ushirikiano safi kutoka Jesús Navas González. Bao la Liverpool lilipatikana dakika ya 83 na ni la kujifunga wao wenyewe kupitia kwa Pablo Zabaleta.Aguero akifunga bao lake na kufanya 3-0 dhidi ya Liverpool.Asantee!Kipindi cha kwanza kikiendelea...
City Wanaongoza kwa bao 1-0 dhidi ya Liverpool, Bao likifungwa na Stevan Jovetic dakika ya 41.

Mario Balotelli kauangalia mtanange huu kati ya Manchester City vs Liverpool kama shabiki!

Balotelli akiwa na Adam Lallana wakiutazama mchezo huu kwenye uwanja wa Etihad huku Kocha wa zamani wa Liverpool Kenny Dalglish nae akiwa mbele yao akiuchabo mpira huo.

Mario kajiunga rasmi leo na Liverpool baada ya kukamilisha uhamisho wake kurudi England na huu ndio mtanange wake wa kwanza kuuangalia japo hakucheza.


BenzemaBenzema aanza kufungua lango...1-0 Bao hilo lilifungwa dakika ya 30 kipindi cha kwanza.
Bao la pili limefungwa na Cristiano Ronaldo katika dakika za majeruhi dakika 90 baada ya kuachia shuti kali lililomzidi ujanja kipa wa Cordoba.
Ronaldo kwenye patashika..

Ronaldo chini akilalamika!Bale akimiliki mpira..huku akinyemelewa na Matos wa Cordoba

Waendeshaji wa Kipindi cha Filamu Monata kinachorushwa na Kituo cha Redio cha TIMES FM 100.5 wakiendelea na majukumu katika studio za kituo hiko cha Redio Kilichopo Kawe Jijini Dar Es Salaam wakati wa Kipindi cha Filamu Monata leo wakati washiriki 10 Bora wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) walipotembelea Studio hizo 
Jaji wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) na Presenta wa Kipindi cha Filamu Monata cha TIMES FM, 100.5 Dar Es Salaam akiendelea na kipindi wakati washiriki 10 bora walipotembelea Kituo hiko leo kwaajili ya Mahojiano na waendeshaji wa Kipindi hiko.
 Mmoja wa Washiriki 10 Bora wa Tanzania Movie Talents (TMT) akijibu maswali kutoka kwa Waendeshaji wa Kipindi cha Filamu Monata kinachorushwa na Kituo cha Redio cha TIMES FM, 100.5 Dar Es Salaam.
Mshiriki Wa Tanzania Movie Talents (TMT) akijibu maswali.
 Washiriki 10 Bora wa Tanzania Movie Talents (TMT) wakiwa ndani ya Studio za TIMES FM, 100.5 Dar es Salaam.Picha Zote na Josephat Lukaza

Fainali ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) kufanyika tarehe 30 August 2014 katika Ukumbi wa Mlimani City kuanzia Saa 7.30 Usiku huku viingilio vikiwa Shilingi elfu 50 kwa VIP na Elfu 30 kwa kawaida

Burudani Kali kutolewa siku hiyo ya Fainali Huku Mc Pilipili akitoa burudani na Christian Bella

1 (13) 
Muonekano wa Jengo la Makao Makuu ya Kampuni ya Tropical. 2 (12) 
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda (kulia), akisalimiana na mwanasoka bora  mstaafu wa timu ya Real Madrid, Fernando Sons (kushoto), baada ya kufika na wenzake kuzindua duka jipya la vifaa vya umeme la Tropical lililopo maeneo ya Victoria Kinondoni Dar es Salaam jana. Katikati ni Christian Karembeu. 3 (11)Wakurugenzi wa Kampuni ya Tropical wakiwa na wacheza hao wakati wa sherehe hizo. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji, Aloyce Ngowi na Kulia ni Meneja Mkuu, Charles Mlawa. 4 (9) 
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda (kushoto), akiwa na wageni waalikwa. Wa pili kushoto ni Balozi wa Zambia nchini. 5 (6) 
Warembo watoa huduma katika duka hilo wakiwa katika picha ya pamoja. 6 (1) 
Wapiga picha kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakipiga picha na wachezaji hao.


Vanessa Mdee a.k.a Vmoney akiimba jukwaani huku akiwa na staili yake ya kipekee kabisa

Barnaba Boy akiimba juu ya jukwaa la Fiesta ndani ya uwanja wa Mkwakwani mkoni Tanga mwishoni mwa wiki

Wadau nao walikuwepo kupata selfie ya Globu ya jamii ndani ya Fiesta.

Linah akilinogesha jukwaa la Fiesta na wimbo wake wa Ole Temba.

Kwa jijna la Kisanii anajiita Vmoney a.k.a Vanessa Mdee akiimba kwa hisia jukwaani

Ommy Dimpoz akiimbajuukwani wimbo wake wa Nani kama Mama

Ommy Dimpoz na vijana wake wakilishambulia jukwaa.

Ommy Dimpoz akimpagawisha shabiki wake jukwaani kwa staili ya Kantangazee...!


Ali Kiba na vijana wake wakilishambulia jukwaa la Fiesta

Msanii wa muziki wa kizazi ajulikanae kwa jina la Khadija Maumivu akiiimba jukwaani kwenye tamasha la Fiesta 2014 ndani ya uwanja wa Mkwakwani,mkoani Tanga lililofanyika mwishoni mwa wiki.

Anajiita Rais wa Manzese,Madee akiwaimbisha wakazi wa jiji la Tanga waliojoitokeza kwenye tamasha la Fiesha mkoani Tanga mwishoni mwa wiki.

Sehemu ya umati mkubwa wa wakazi wa jiji la Tanga waliojitokeza kwenye tamasha la Fiesha mwishoni mwa wiki.


Pichani kati ni msanii wa muziki wa kizazi kipya,Linah akiwa sambamba na madansa wake wakilishambulia jukwaa,mbele ya umati mkubwa wa wakazi wa jiji la Tanga (hawapo pichani) waliojitokeza kwenye tamasha la Fiesta ndani ya uwanja wa Mkwakwani,mwishoni mwa wiki.

Maelekezo ya hapa na pale kutoka kwa mafundi mitambo na jukwaa ilikuwa ikifanyika ili mambo yaende sawa

Umati wa watu uliofurika katika Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga kupata burudani safi wakati wa tamasha la Fiesta 2014 lililofanyika mwishoni mwa wiki.

Ilikuwa ni Sheeddaah kwa wakazi wa jiji la Tanga ndani ya uwanja wa Mkwakwani mwishoni mwa wiki.

Rachae akiiimba jukwaani.

Sehemu ya umati mkubwa wa watu ukifuatilia yaliyokuwa yakijiri ndani ya uwanja wa Mkwakwani wakati tamasha la Fiesta 2014 likiendelea

Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Rachael akionesha umahiri wake wa kucheza na kuimba mbele ya umati wa watu uliofurika katika Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga (hawapo pichani ) kwenye tamasha la Fiesta 2014 ndani ya uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga mwishoni mwa wiki

Msanii wa Muziki wa kizazi kipya, Khadija Mumivu, akikonga nyoyo za mashabiki walioingia katika tamasha la Fiesta 2014 lililofanyika katika Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga mwishoni mwa wiki.

Kwa jina la kisanii anaitwa MO MUSIC akiwakuna wakazi wa jiji la Tanga waliojitokeza kwa wingi kwenye tamasha la Fiesta lililofanyika mwishoni mwa wiki jijini Tanga

Mmoja wa wasanii wa kundi la ngoma asili ya Baikoko toka mjini Tanga akiwajibika jukwaani wakati wa tamasha la Fiesta 2014

Umati wa watu uliofurika katika Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga kupata burudani safi wakati wa tamasha la Fiesta 2014 lililofanyoka mwishoni mwa wiki.

Sehemu ya watazamaji wakiendelea kutazama yaliyokuwa yakijiri kwenye tamasha hilo mwishoni mwa wiki mjini Tanga.PICHA ZOTE NA MICHUZIJR-FIESTA TANGA.

waliotembelea blog