Monday, August 25, 2014


Stevan Jovetic akishangilia bao lake dakika ya 55 kipindi cha pili.
Ni Stevan Jovetic huyo hyo ndie kazichana nyavu tena kwa kufunga bao la pili dakika ya 55 baada ya kupata pasi kutoka kwa Samir Nasri. Bao la tatu lilifungwa na Sergio Agüero dakika ya 69  kipindi cha pili baada ya kupata ushirikiano safi kutoka Jesús Navas González. Bao la Liverpool lilipatikana dakika ya 83 na ni la kujifunga wao wenyewe kupitia kwa Pablo Zabaleta.Aguero akifunga bao lake na kufanya 3-0 dhidi ya Liverpool.Asantee!Kipindi cha kwanza kikiendelea...
City Wanaongoza kwa bao 1-0 dhidi ya Liverpool, Bao likifungwa na Stevan Jovetic dakika ya 41.

Mario Balotelli kauangalia mtanange huu kati ya Manchester City vs Liverpool kama shabiki!

Balotelli akiwa na Adam Lallana wakiutazama mchezo huu kwenye uwanja wa Etihad huku Kocha wa zamani wa Liverpool Kenny Dalglish nae akiwa mbele yao akiuchabo mpira huo.

Mario kajiunga rasmi leo na Liverpool baada ya kukamilisha uhamisho wake kurudi England na huu ndio mtanange wake wa kwanza kuuangalia japo hakucheza.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog