Thursday, July 30, 2015



Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Edward Lowassa akiwa sambamba na Mkewe Mama Reginal akiwasili makao Makuu ya chama cha CHADEMA yaliyopo Kinondoni jijini Dar hivi punde ,kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama hicho,Mhe.Lowassa amekihama chama chake cha CCM na kujiunga na UKAWA kupitia chama cha CHADEMA na kukabidhiwa kadi ya uanachama hivi karibu,jijini Dar es Salaam.

Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu,Mama Regina Lowassa akiwasili ofisi za Makao makuu ya CHADEMA yaliyopo Kinondoni jijini Dar,akiwa ameambatana na Mh Lowassa (hayupo pichani),kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama hicho,Mhe.Lowassa amekihama chama chake cha CCM na kujiunga na UKAWA kupitia chama cha CHADEMA na kukabidhiwa kadi ya uanachama hivi karibu,jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Edward Lowassa pichani akiwapungia wanachama na wafuasi mbalimbali wa chama cha CHADEMA waliofika kumshuhudia akiwa sambamba na Mkewe Mama Regina akiwasili makao Makuu ya chama cha CHADEMA yaliyopo Kinondoni jijini Dar hivi punde ,kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama hicho,Mhe.Lowassa amekihama chama chake cha CCM na kujiunga na UKAWA kupitia chama cha CHADEMA na kukabidhiwa kadi ya uanachama hivi karibu,jijini Dar es Salaam.

Rabsha za hapa na pale zilikuwepo kama uonavyo pichani wakati Mh.Lowassa akiwasili Makao Makuu ya CHADEMA yaliyopo Kinondoni jijini Dar hivi punde,kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama hicho.

Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Edward Lowassa pichani akiwapungia wanachama na wafuasi mbalimbali wa chama cha CHADEMA waliofika kumshuhudia akiwa sambamba na Mkewe Mama Regina akiwasili makao Makuu ya chama cha CHADEMA yaliyopo Kinondoni jijini Dar hivi punde ,kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama hicho,Mhe.Lowassa amekihama chama chake cha CCM na kujiunga na UKAWA kupitia chama cha CHADEMA na kukabidhiwa kadi ya uanachama hivi karibu,jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Edward Lowassa akiwa sambamba na Mkewe Mama Reginal akiwasili makao Makuu ya chama cha CHADEMA yaliyopo Kinondoni jijini Dar hivi punde,kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama hicho,Mhe.Lowassa amekihama chama chake cha CCM na kujiunga na UKAWA kupitia chama cha CHADEMA na kukabidhiwa kadi ya uanachama hivi karibu,jijini Dar es Salaam.


Licha ya kuhuzunishwa kufungwa 2-0 na Paris Saint-Germain huko Soldier Field, Chicago, USA, Meneja wa Manchester United Louis van Gaal ameridhika na Timu yake na kudai kufungwa huko kutawasaidia.
Kipigo hicho kimeifanya Man United washindwe kutetea Taji la International Champions Cup licha ya kushinda Mechi 3 ikiwemo ile waliyowatwanga 3-1 Mabingwa wa Ulaya Barcelona.
Lakini Van Gaal amesema kufungwa kwao kunatokana na makosa binafsi walipofungwa Bao la kwanza kwa kujifunga mwenyewe Luke Shaw alipojichanganya na Kipa wake David de Gea.
Van Gaal amesema: "Ndio tumefungwa pengine hiyo ni viziri kwani Mwaka Jana tulishinda Mechi zote tukaja kufungwa Mechi ya Kwanza ya Ligi."

Mechi ijayo kwa Man United ni hapo Jumamosi Agosti 8 Uwanjani Old Trafford na Tottenham ikiwa ni Mechi yao ya kwanza ya Ligi Kuu England. 
Pia, Van Gaal amedokeza kuitumia Fomesheni ya 4-3-2-1 kwa kuwachezesha Mafulbeki Luke Shaw na Matteo Darmian huku Sentahafu akiwa Daley Blind akisaidiwa na Mtu mwingine ambae hakumtaja.
Ibrahimovic, who has admitted he would be happy to work with Louis van Gaal, started and finished the move for PSG's second goalKuhusu kuntumia Blind kama Sentahafu Meneja huyo amesema Mchezaji huyo huanzisha vyema mipira na pia mzuri katika kujihami.
Louis-Van-Gaal-Press-Conference
Wakati klabu ya Paris Saint Germain (PSG) ya Ufaransa ikizidi kusisitiza kuwa uhamisho wa mchezaji wa Manchester United Angel Di Maria kwa asilimia kubwa umekamilika, kocha wa Manchester United Louis van Gaal amezungumza kitu cha kushangaza kidogo kuhusiana na Di Maria.
Di-Maria
Di Maria alishindwa kuripoti July 25 San Jose kujiunga na timu na kuanza mazoezi ya maandalizi ya msimu mpya Ligi Kuu… Baada ya mchezo wa International Champions Cup kati ya Man Uninted dhidi ya PSG kumalizika kwa Man United kufungwa kwa goli 2-0, Van Gaal akiwa kwenye Press Conference alijibu hafahamu nyota huyo alipo.
angel-di-maria
“Sijui wapi alipo”>>>Van Gaal
Licha ya kocha wa PSG  Laurent Blanc kuthibitisha kuwa mazungumzo kuhusiana na uhamisho wa Di Maria yamekaribia kufikia ukingoni ingawa Man United inataka pound milioni 28 ili imuachie nyota huyo.
“Manchester United na Paris Saint Germain ni vilabu viwili vikubwa na makubaliano yanaweza kuwa magumu lakini tunakaribia kufikia muafaka”>>> Laurent Blanc
football-premier-league-angel-di-maria-manchester-united_3197494
Di Maria alihamia Manchester United mwaka 2014 akitokea katika klabu ya Real Madrid ya Hispania kwa dau la uhamisho pound milioni 59.7 kwa mkataba wa miaka mitano kiasi ambacho kilileweka rekodi ya uhamisho Uingereza.
1409352274270_wps_89_Manchester_United_new_sig


tyga2
Msanii maarufu wa Hip Hop Marekani Tyga ameingia kwenye headlines baada ya taarifa kusambaa kuwa msanii huyo yupo matatani kufukuzwa kwenye nyumba yake iliopo Calabasas kwa kukwepa kulipa kodi ya nyumba hiyo kwa miezi miwili.
Nyumba hiyo ni nyumba aliyokuwa akiishi na aliyekuwa girlfriend wake Blac Chyna na thamani ya kodi ya nyumba hiyo ni dola 25,ooo kwa mwezi sawa na Mil.50 za Kitanzania, deni lake la miezi 2 linagonga mpaka Mill.100!
tyga
Mwenyenyumba anasema hii sio mara ya kwana kwa msanii huyo wa Young Money kukwepa kulipa kodi ya nyumba hiyo, na amempa mpaka jumamosi ya wiki hii kukamilisha deni hilo.
Kama Tyga hatolipa kodi hiyo basi mwenyenyumba atalazimika kutoa notice ya kumuondoa kwenye nyumba hiyo na atamtoza msanii huyo dola 833 kwa siku mpaka atakapo ondoka ambayo ni sawa na Mil. 1,666,000 za Tz.
tyga3
Mwezi wa 5 Tyga alishitakiwa kukwekpa kulipa kodi ya nyumba nyingine thamani yake ilikuwa karibia dola 125,000 na kwa sasa ana kesi Mahakamani ya dola Mil.1.6.

waliotembelea blog