Friday, July 26, 2013



Vikundi vya ngoma vikitumbuiza wageni.

Wananchi wa Muleba wakimshangilia Rais Jakaya Mrisho Kikwete alipowasili wilayani humo akiwa katika ziara yake ya siku sita Mkoani Kagera

Rais Kikwete akivikwa skafu na skauti baada ya kuwasili Muleba

Rais Kikwete akisalimiana na mama wa Profesa Anna Tibaijuka

Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka akishiriki katika ngoma ya utamaduni wakati wa mapokezi ya Rais Kikwete wilayani Muleba

Rais Kikwete akiongea na viongozi wa wilaya ya Muleba baada ya kupokea taarifa ya maendeleo, akiwa na mawaziri watano anaoongozana nao katika ziara hiyo

Mbunge wa Muleba akitoa maoni na kero za jimbo lake

Waziri wa Uchukuzi Dkt Harrison Mwakyembe akiwahakikishia viongozi wa Muleba juu ya mipango ya serikali kuleta meli za abiria mpya mbili katika ziwa Victoria

Rais Kikwete akipata maelezo ya mpango kabambe wa maji wilaya ya Muleba

Rais Kikwete akizindua mradi mkubwa wa maji wilayani Muleba

Ngoma ya utamaduni ikimlaki Rais Kikwete alipowasili katika mkutano wa hadhara

Rais Kikwete akisalimia wananchi

Rais Kikwete akiangalia mazao yatokanayo na uzalishaji mbegu ya kampuni ya Itente ya Muleba

Rais Kikwete akipozi na wafanyakazi wa kampuni ya uzalishaji mbegu ya Itente

Rais Kikwete akifurahia ngoma

Umati wa wananchi Muleba ukimsikiliza Rais Kikwete

Rais Kikwete akiongea na wananchi wa Muleba

Rais Kikwete akihutubia wana Muleba

Sehemu ya umati mkutanoni

Rais Kikwete akiendelea kungea na wananchi

Umati katika mkutano wa hadhara

Umati katika mkutano wa hadhara

Rais Kikwete akijiunga na waumini wa Muleba kusali swala ya Magharibi kabla ya kufuturu

Dua ikisomwa baada ya futari aliyoandaa Rais Kikwete kwa wananchi wa Muleba

Dua ikiombwa baada ya futari

Dua

Wananchi wa Muleba katika futari aliyoandaa Rais Kikwete wilayani Muleba


Rais Kikwete aliongoza watanzania Nchini kuhudhuria maadhimisho ya mashujaa waliopigania vita vya ukombozi dhidi ya majeshi ya uvamizi ya Nduli Idd Amini mwaka 1978/79, maadhimisho yaliadhimishwa katika kambi ya jeshi JWTZ Kaboya wilayani Muleba.

Viongozi mbalimbali

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka ngao/sime katika mnara wakati wa maadhimisho ya kumbukumbu ya Mashujaa katika kambi ya jeshi ya Kaboya, Bukoba, mkoani Kagera leo.


Photo: MAADHIMISHO YA MASHUJAA MWAKA 2013 KITAIFA KABOYA
www.bukobasports.com

Viongozi wa dini wakisoma dua kwenye maadhimisho hayo. Pembeni ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Mohamed Ali Shein, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali, Jaji Mkuu Mheshimiwa Chande Othman na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe Othman Makungu




Rais Jakaya Kikwete akitembelea makaburi ya mashujaa waliopoteza maisha wakati wa vita na Nduli Iddi Amini wa Uganda
JK akisalimiana na askari wastaafu
Photo: MAADHIMISHO YA MASHUJAA MWAKA 2013 KITAIFA KABOYA MKOANI KAGERA
www.bukobasports.com













waliotembelea blog