Saturday, January 18, 2014




LIVERPOOL leo wametoka nyuma ya bao 2-0 Aston Villa bao zimefungwa na Andreas Weimann ambaye amefunga bao la kwanza katika dakika ya 25 na bao la pili likifungwa na Christian Benteke bao safi la kichwa baada ya mlinda mlango wa Liverpool kuukosa na mchezaji mwingine na hatimae Christian Benteke kumalizia bao hilo nyavuni katika dakika 36.
Dakika ya 53 kipindi cha pili liverpool wamepata bahati baada ya Suarez kujiangusha kwenye box na hatimaye Mwamuzi J. Moss kudai ni penati na mkwaju huo wa penati umefungwa na kapteni wa Liverpool Steven Gerrard. Sare hii inawabakisha hapo hapo katika nafasi ya nne Liverpool wakisubiri mtanange wa kesho kutwa jumatatu wa West Brom na Everton matokeo yake. Kama Everton watashinda watawaondoa katika nafasi hiyo ya nne.
 
 
Mmiliki wa Klab ya Liverpool John Henry
 
 

 


 
 
MATOKEO YA  JUMAMOSI:
Jumamosi Januari 18

Sunderland 2 v Southampton 2
Arsenal 2 v Fulham 0
Crystal Palace 1 v  Stoke 0
Man City 4 v Cardiff 2
Norwich 1 v Hull City 0
West Ham 1 v Newcastle 3
Liverpool 2 v Aston Villa 2



 Mchezaji Jesus Navas nae akishangilia bao la pili kwa City baada ya kufunga bao hilo dhidi ya Cardiff City.

BAO la tatu kwa City limefungwa dakika ya 76 na mchezaji wao matata Yaya Touré na bao la mwisho likifungwa na Sergio Agüero katika dakika ya 79.
Bao za Cardiff City zimefungwa kipindi cha kwanza wakianza kuwafunga City kupitia kwa mchezaji Craig Noone katika dakika ya 29 kipindi cha kwanza. Mchezaji wa zamani wa United Fraizer Campbell akawafungia bao katika dakika za lala salama za nyongeza katika dakika ya 90' +3. Ushindi huu wa City unawakarisha tena nafasi hiyo hiyo ya bili wakiwa na pointi 50 nyuma ya Vinara Arsenal waliofunga bao 2-0 timu ya Fulham na kusonga mbele tena kwa kukalia Kilele hicho wakiwa na pointi 51.
 
 
 dzeko  afikisha bao  la 100
 
 
 
 
Cardiff City wakimzonga refa Neil SwarbrickWakisawazisha na kufanya 1-1
 
 
 
 
Jesus Navas akishangia bao lake kwa aina yake akiwa kwenye kona ya uwanja wao Etihad
 
 

 


Kipindi cha kwanza dakika ya nne Jay Rodriguez anaipatchikia bao timu yake ya Southampton akiwa ndani ya box. Bao hilo limepatikana baada ya kupewa basi safi kutoka kwa Morgan Schneiderlin. Dakika ya 31 mchezaji wa Southampton Dejan Lovren akaongeza bao jingine baada ya kupigwa mpira kama kona. Dakika moja kupita kwenye dakika ya 32 mchezaji wa Sunderland Fabio Borini nae akaonesha makali yake akaipatia bao Sunderland.

Jay Rodriguez akishangilia bao lake baada ya kuweka 1-0 dhidi ya wenyeji Sunderland mapema kipindi cha kwanza dakika ya nne. Rodriguez akipongezwa na wachezaji wenzie wa Southampton baada ya kufunga bao. Dejan Lovren akitupia bao la pili na kufanya 2-0 dhidi ya Sunderland. Fabio Borini akitupia na yeye baada ya dakika moja kupita na kuwapa bao Sunderland baada ya kupata krosi safi kutoka kwa Adam Johnson  Bosi Mauricio Pochettino akimpa maelekezo mchezaji
Mwenyekiti mpya wa Southampton Katharina Liebherr baada ya Klabu hiyo kumkubali na kumteua kwa kile kilioonekana azibe nafasi ya Nicola Cortese.


RATIBA:
Jumamosi Januari 18
15:45 Sunderland v Southampton
18:00 Arsenal v Fulham
18:00 Crystal Palace v Stoke
18:00 Man City v Cardiff
18:00 Norwich v Hull
18:00 West Ham v Newcastle
20:30 Liverpool v Aston Villa
Jumapili Januari 19
16:30 Swansea v Tottenham
19:00 Chelsea v Man United
Jumatatu Januari 20
23:00 West Brom v Everton



MSIMAMO WA LIGI KUU YA ENGLAND

Pos.Logo &TeamPWDLGDPts
1ArsenalArsenal2115332248
2Manchester CityManchester City2115243647
3ChelseaChelsea2114432146
4LiverpoolLiverpool2113352542
5EvertonEverton2111821541
6Tottenham HotspurTottenham Hotspur211245140
7Manchester UnitedManchester United2111461137
8Newcastle UnitedNewcastle United211038233
9SouthamptonSouthampton21867430
10Hull CityHull City216510-523
11Aston VillaAston Villa216510-723
12Stoke CityStoke City21579-1322
13Swansea CitySwansea City215610-421
14West Bromwich AlbionWest Bromwich Albion21498-521
15Norwich CityNorwich City215511-1820
16FulhamFulham216114-2419
17West Ham UnitedWest Ham United214611-918
18Cardiff CityCardiff City214611-1918
19SunderlandSunderland214512-1517
20Crystal PalaceCrystal Palace215214-1817

waliotembelea blog