Thursday, January 29, 2015


LIGI KUU ENGLAND
RATIBA:
Jumamosi Januari 31

15:45 Hull v Newcastle
18:00 Crystal Palace v Everton
18:00 Liverpool v West Ham
18:00 Man United v Leicester
18:00 Stoke v QPR
18:00 Sunderland v Burnley
18:00 West Brom v Tottenham
20:30 Chelsea v Man City

Jumapili Januari 18
16:30 Arsenal v Aston Villa
19:00 Southampton v Swansea

MSIMAMO ULIVYO KWA SASA:
POSLOGO &TEAMPWDLGDPTS
1ChelseaChelsea2216423252
2Manchester CityManchester City2214532347
3SouthamptonSouthampton2213362142
4Manchester UnitedManchester United2211741540
5ArsenalArsenal2211651439
6Tottenham HotspurTottenham Hotspur221147237
7West Ham UnitedWest Ham United2210661036
8LiverpoolLiverpool221057435
9Swansea CitySwansea City22868-430
10Stoke CityStoke City22859-429
11Newcastle UnitedNewcastle United22769-927
12EvertonEverton22589-423
13Crystal PalaceCrystal Palace22589-823
14West Bromwich AlbionWest Bromwich Albion225710-922
15Aston VillaAston Villa225710-1422
16SunderlandSunderland223118-1420
17BurnleyBurnley224810-1520
18Hull CityHull City224711-1019
19Queens Park RangersQueens Park Rangers225413-1619
20Leicester CityLeicester City224513-1417


Ujumbe wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) upo nchini kuchunguza tuhuma za upangaji matokeo.
Waamuzi waliosimamishwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) pamoja na watu wengine watahojiwa na ujumbe huo. Matokeo ya uchunguzi huo yatatangazwa na FIFA baada ya shughuli hiyo kukamilika.
Tunaendelea kuwahimiza wanafamilia wa mpira wa miguu wazidi kuzingatia kanuni za maadili za TFF, Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) na FIFA katika utendaji wao. FIFA itahakikisha kuwa haki inatendeka katika uchunguzi ambao inaufanya.


Cuadrado To Join Chelsea This Week
Chelsea are set to complete the transfer of Fiorentina winger Juan Cuadrado "within the next 48 hours,


2-3(Ag 2-4) ndivyo majibu yalivyokuwa mpaka dakika ya mwisho ya dakika ya 90 na Barca kuibuka na Ushindi huku mchezaji wao matata Neymar akiifungia bao 2.Neymar aliwafungia bao la tatu Barcelona baada ya kuwachomoka mabeki wa Atletico Madrid kwa kuwakacha na Jordi Alba kutoa pasi aliyoimalizia Langoni Neymar katika dakika ya 41.

Bao la kusawazisha Barca wamejifunga wenyewe Atletico Madrid kupitia kwa Miranda katika dakika ya 38 baada ya kumalizia mpira uliopigwa kona.
Dakika ya 30 Raúl García aliifungia bao la pili Atlletico Madrid na kufanya 2-1 kwa mkwaju wa penati. Katika Mechi ya Kwanza iliyochezwa Nou Camp Wiki iliyopita, Barcelona waliibuka washindi kwa Bao 1-0 kwa Bao la Dakika ya 85 la Lionel Messi ambalo alilifunga baada ya Penati yake kuokolewa na Kipa na Mpira kumrudia tena na kuukwamisha wavuni na hivyo Barcelona kusonga Nusu Fainali kwa Jumla ya Mabao 4-2 na watakutana na Mshindi kati Getafe na Villareal ambao katika Mechi yao ya kwanza, Villareal alishinda Bao 1-0.
Kwenye Mechi ya usiku huu, Fernando Torres aliipa Atletico Bao la kuongoza na Neymar kusawazisha.
Kisha Penati ya Raul Garcia ikawapa Atletico Bao la Pili lakini Beki wao Miranda akajifunga mwenyewe na Neymar akaipa Barca Bao la 3 na la ushindi.
Balaa kwa Atletico lilikuja pale Gabi alipopewa Kadi Nyekundu wakati wa Haftaimu Wachezaji wakielekea Vyumba vya Kubadili Jezi na Mario Suarez kufuatia mwishoni.


Dakika ya 9 Neymar aliwasawazishia bao barcelona na kufanya 1-1 (Agg ikiwa 1-2). Bao hilo lilipatikana baada ya Luis Suarez kutoa pande kwa Neymar.Dakika ya 1 tu Fernando Torres anaichapa bao Barca na kufanya 1-0 dhidi ya Timu ya Barcelona baada ya kupata mpira kutoka kwa Guilherme Siqueira.1-0 Torres aliweka bao la kwanza mapeeema ndani ya dakika 1Mechi ya Kwnza Messi aliifungia bao BacaVIKOSI:
ATLETICO MADRD XI (4-4-1-1): Oblak; Juanfran, Miranda, Gimenez, Siqueira; Gabi, M Suarez, Raul Garcia; Ardia, Griezmann, Torres
AKIBA: Moya, Gamez, Lucas, Saul, Cani, Jimenez, Mandzukic

BARCELONA XI (
4-3-3): Stegen; Pique, Mascherano, Alba, Alves; Busquets, Iniesta, Rakitic; L Suarez, Messi, Neymar
AKIBA: Masip, Xavi, Pedro, Rafinha, Bartra, Adriano, Mathieu
You might also like:

waliotembelea blog