Wednesday, October 2, 2013

 
Wayne Rooney akiteleza kuchukua mpira kwa
  Ashley Young kwenye mazoezi yao
 kabla ya kuelekea kucheza na Shakhtar Donetsk Ukraine
 
Rooney ambaye anachezea timu ya 
Taifa ya Uingereza anatarajiwa kucheza kesho
 Jumatano kwenye maudiano na timu ya Ukraine -Shakhtar Donetsk
Jumanne Oktoba 1 na Jumatano Oktoba 2 Mashindano ya
 UEFA CHAMPIONS LEAGUE, UCL, ambayo sasa yapo hatua za Makundi yakiwa na Makundi 8 ya Timu 4 kila moja ambako Timu 2 za juu husonga na kuingia Raundi ya Mtoano ya Timu 32, yataingia Mechi zake za pili baada ya kuanza hapo Septemba 17. 
 Robin van Persie chini akicheza na mchezaji
 mwenzake Young kwenye mazoezi yao kabla ya kuelekea Ukraine
 
Rooney akiteta na kucheka na kocha Phil Neville
 
Van Persie akiongoza wenzake kwenye mazoezi yao wakijiandaa na Uefa Champions League
 
Marouane Fellaini akionesha manjonjo yake wakati akipasha kwenye mazoezi
 
Kipa David de Gea nae alikuwa miongoni mwao akipasha  
Van Persie akijigamba na kuja kuziona nyavu za 
Donetsk kesho jumatano wakati wa marudiano 
Kagawa na Chris Smalling wakipiga danadana kwenye mazoezi
 
Nani (katikati) ni mchezaji anayetarajiwa kupata namba kesho Ukraine
Kocha mkuu Moyes kuwaongoza
 United Ukraine kesho jumatano
 
Ferdinand akichota mpira kutoka kwa Rooney
 wakati wa mazoezi yao kabla ya kuelekea Ukraine leo hii
 
Midfielders Michael Carrick na Tom Cleverley wakipasha
Ni Ashley Young na Moyes  hapa.
.
Kazi ya Ziada inatakiwa hapa: 
Kocha  Moyes kumtumia  Danny Welbeck kwenye kukaba
 
Ryan Giggs ni mmoja  wa viongozi wa 
kuwaongoza United pamoja na kocha mkuu  Moyes

Jumatano 2 Oktoba 2013
FC Shakhtar Donetsk v Manchester United FC
Bayer 04 Leverkusen v Real Sociedad de Fútbol
Juventus v Galatasaray A.Åž.
Real Madrid CF FC København
Paris Saint-Germain v SL Benfica
RSC Anderlecht v Olympiacos FC
Manchester City FC v FC Bayern München
PFC CSKA Moskva v FC Viktoria Plzeň

Photo: .... Mwanjelwa, Matokeo ya Vurugu zilizotokea punde







 Polisi wakiwa katika ulinzi mkali 
 Maduka yakiwa yamefungwa 
 Wafanya biashara wakiwa uwanjani kungoja kusikiliza nini  hatma yao
 Baadhi ya watu wakiwa wanakimbia 
Baada ya Mabomu ya machozi kuanza kurushwa kuepusha vurugu
 Mawe yakiwa yamepangwa kuzuia magari yasiende kokote
 Maduka yote yakiwa yamefungwa eneo
 la mwanjelwa kupinga ununuzi wa mashine hizo za TRA
 Vijana hawa wakiwa wana nawa uso baada ya Bomu la machozi kuwapitia 
 Jiwe kubwa likiwa limewekwa katika Barabara magari yasipite
 Hali tete Tayari vijana wameanza kuchoma mataili.....


 
Ramires akiifungia timu yake Chelsea bao la kwanza na kufanya 1-0 dakika ya 19. Bao la pili wamejifunga wenyewe dakika za mwishoni za kipindi cha kwanza dakika ya 44 kupitia mchezaji wao Steaua Bucurest Daniel Georgievski aliyejimaliza mwenyewe baada ya patashika kwenye lango lao.
 
Mchezaji wa Chelsea Juan Mata akiongoza mashambulizi kuiua Steaua Bucharest usiku huu.
  
 Mchezaji wa Steaua Bucharest Daniel Georgievski aliyejifunga bao
Dakika ya 55 kipindi cha pili Ramires akaiongezea tena bao Chelsea na kufikisha bao 3-0 dhidi ya timu ya Steaua Bucurest. 
Ramires akifunga bao na kuipa ushindi Chelsea  
Ramires akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la tatu dhidi ya Steaua Bucharest ambao hawakupata hata la kufuta machozi  na hatimaye Frank Lampard akawashona tena bao la mwisho na dakika za lala salama dakika ya 90 na matanage kumalizika kwa 4-0 usiku huu.

RATIBA/MATOKEO
Mechi za Makundi-Raundi ya Pili:
Mechi zote Saa 3 Dakika 45 Usiku

Jumanne 1 Oktoba 2013
FC Basel 1893 0 v 1 Schalke 04
FC Steaua BucureÅŸti 0 v 4 Chelsea
Borussia Dortmund 3 v 0 Olympique de Marseille
Arsenal  2 v 0  Napoli
Football Club Zenit 0 v 0 FK Austria Wien
FC Porto Club 1 v 2 Atlético de Madrid
AFC Ajax 1 v 1 AC Milan
Celtic FC 0 v 1 FC Barcelona



Jumatano 2 Oktoba 2013
FC Shakhtar Donetsk v Manchester United FC
Bayer 04 Leverkusen v Real Sociedad de Fútbol
Juventus v Galatasaray A.Åž.
Real Madrid CF FC København
Paris Saint-Germain v SL Benfica
RSC Anderlecht v Olympiacos FC
Manchester City FC v FC Bayern München
PFC CSKA Moskva v FC Viktoria Plzeň
Dada akiwa amebebwa alipokuwa akivushwa kwa malipo kwenye dimbwi la maji ya mvua eneo la Magomeni Kagera, Dar es Salaam
Mbebaji akiwa amemwangusha dada huyo kwenye dimbwi
Dada akimkunja kijana aliyemdondosha kwenye dimbwi.
Wasamaria wema wakimsaidia dada kumtoa kwenye dimbwi

Dada akilia baada ya kuokolewa.

waliotembelea blog