Wednesday, January 8, 2014


Leo zipo Mechi nyingine kadhaa za Kwanza za Raundi ya Mtoano ya Timu 16 ikiwa pamoja na ile ya Mabingwa wa Spain Barcelona wakiwa kwao Nou Camp kucheza na Getafe huku Duniani ikitarajia kumuona Nyota Lionel Messi akirejea dimbani baada kuwa Majeruhi kwa Miezi miwili.
 
Valencia jana walifanikiwa kutoka Sare ya Bao 1-1 na Mabingwa Watetezi wa Copa del Rey Atletico Madrid katika Mechi ya Kwanza ya Raundi ya Mtoano ya Timu 16 iliyochezwa Nyumbani kwa Valencia.
Timu hizi zitarudiana hapo Januari 14 huko Vicente Calderon Nyumbani kwa Atletico Madrid.
Bao la Atletico lilifungwa na Raul Garcia katika Dakika ya 72 na Valencia kusawazisha kwenye Dakika ya 90 kwa Bao la Helga Postiga.
Leo zipo Mechi nyingine kadhaa za Kwanza za Raundi ya Mtoano ya Timu 16 ikiwa pamoja na ile ya Mabingwa wa Spain Barcelona wakiwa kwao Nou Camp kucheza na Getafe huku Duniani ikitarajia kumuona Nyota Lionel Messi akirejea dimbani baada kuwa Majeruhi kwa Miezi miwili.
 
 
VIKOSI:
Valencia: Guaita; Guardado, Mathieu, Costa, Pereira; Fuego, Parejo; Bernat (Canales 73'), Míchel (Feghouli 63'), Fede (Piatti 77'); Postiga.
Goals: Postiga (93').
Atlético Madrid: Courtois; Felipe Luis, Alderweireld, Miranda, Juanfran; García, Gabi, Guilavogui (Arda 59'), Koke (Tiago 81'); Diego Costa, Adrián (Rodríguez 67').
Goals: García (72').

COPA del REY
Raundi ya Mtoano ya Timu 16
RATIBA/MATOKEO:
Jumanne Januari 7
Valencia 1 v Atletico de Madrid 1
Jumatano Januari 8
22:00 Real Betis v Athletic de Bilbao
22:00 Alcorcon v RCD Espanyol
24:00 FC Barcelona v Getafe CF
24:00 Real Racing Santander v UD Almeria
Alhamisi Januari 9
21:30 Real Sociedad v Villarreal CF
23:30 Real Madrid CF v Osasuna
23:30 Rayo Vallecano v Levante
Jumanne Januari 14
21:30 UD Almeria v Real Racing Santander
23:30 Atletico de Madrid v Valencia
Jumatano Januari 15
21:30 Athletic de Bilbao v Real Betis
21:30 RCD Espanyol v Alcorcon
23:30 Osasuna v Real Madrid CF
23:30 Levante v Rayo Vallecano
Alhamisi Januari 16
22:00 Villarreal CF v Real Sociedad
24:00 Getafe CF v FC Barcelona


 
Dakika za nyongeza za kipindi cha kwanza 45+2 Giggs anafanya makosa anajifunga bao, Sunderland wanaenda mapumziko wakiwa mbele ya bao 1-0 dhidi ya Manchester United. Kipindi cha pili dakika ya 52 Nemanja Vidic anawasawazishia bao United kwa kufanya 1-1 baada ya kona kupigwa na Vidic kujituma kwa kufunga bao la kichwa. Dakika ya 65 United wanafungwa goli la pili kwa mkwaju wa penati wa utata na kufanya bao kuwa 2-1. mfungaji wa penati hiyo akiwa ni Fabio Borini. Ushindi huu wa Sunderland unawaweka pazuri wakija kurudiana huko Old Trafford mwezi huu  januari siku ya jumatano tarehe 22.
Up high: Nemanja Vidic powers his header past Vito Mannone to bring his side level
Nemanja Vidic akisawazisha bao na kufanya 1-1 hapa
 
 
 
 

Kocha wa Manchester United David Moyes akiwa amesimama kidete kuwaangalia vijana wake  
 
!. Subdued: Bryan Robson, Alex Ferguson and Bobby Charlton watch on in front of Anderson
 

N
 

 
 
Fabio Borini akichonga penati
 
 

VIKOSI:
Sunderland: Mannone, Bardsley, O'Shea, Brown, Alonso, Larsson, Cattermole, Ki, Borini, Fletcher (Altidore 72), Giaccherini (Johnson 56).
Subs: Gardner, Celustka, Colback, Ji, Dixon.

Booked: Bardsley, Giaccherini, Altidore.
Goal: Giggs, 45+2og, Borini 65pen
Man United: De Gea, Rafael Da Silva, Vidic, Evans (Smalling 61), Evra, Carrick, Cleverley (Fletcher 75), Valencia (Hernandez 87), Giggs, Januzaj, Welbeck.
Subs: Lindegaard, Kagawa, Buttner, Zaha.

Booked: Evra, Rafael, Smalling.
Goal: Vidic 52.
Referee: Andre Marriner


CAPITAL ONE CUP
NUSU FAINALI
[Saa 4 Dakika 45 Usiku]
Jumanne Januari 7

Sunderland 2 v Manchester United 1
Jumatano Januari 8
Manchester City v West Ham United
Marudiano
Jumanne Januari 21

West Ham United v Manchester City
Jumatano Januari 22
Manchester United v Sunderland

 HONGERA: Wakili wa CHADEMA Tundu Lisu (kulia) akilazimika kumpongeza aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, Zitto Kabwe baada ya Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, John Mkamwa, kuridhia zuio la Zitto asijadiliwe na ngazi yoyote ya maamuzi ya Chadema, hadi kesi ya msingi aliyofungua dhidi ya chama hicho itakapomalizika. Jaji huyo amekubali kesi ya msingi iungurume na itaanza kusikilizwa Februari 13, mwaka huu.
 Zitto akitoka kwa msaada wa mabaunsa wake katika chumba cha mahakama kuu baada ya uamuzi huo wa  Mahakama kuu leo jioni.
Tundu Lisu na wapambe wake wakionekana kutoka kwa aibu Mahakamani baada ya kubwagwa

 Tundulisu aklizungumza na waandishi nje ya mahakama
 Wakili wa Zitto akizungumza na waandishi nje ya mahakama kuu
 Wafuasi wa Chadema wanaomuunga mkono Zitto wakishangilia abaada ya ushindi wa kiongozi huyo

waliotembelea blog